Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 4,960
- 13,376
Broo nisamehe sana sijui nilighafilika nini mpaka nikasahau kumuweka dogo janja Chamberlain kwenye orodha.Kaka nina ombi moja kwako! Naomba uniwekee na Picha za Alex-Oxlade Chamberlain baada ya kuondoka Arsenal.
Natanguliza Shukurani
Nina imani hata kesho kina Sakatonge na Ordegard wakiamua kuondoka kwenye hio Academy wanaenda kubeba makombe makubwa.
RVP mpaka kesho akihojiwa hua analaani kwelikweli kupoteza miaka 11 ya career yake kwa kuchezea Gundu Fc.