Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kaka nina ombi moja kwako! Naomba uniwekee na Picha za Alex-Oxlade Chamberlain baada ya kuondoka Arsenal.

Natanguliza Shukurani
Broo nisamehe sana sijui nilighafilika nini mpaka nikasahau kumuweka dogo janja Chamberlain kwenye orodha.
Nina imani hata kesho kina Sakatonge na Ordegard wakiamua kuondoka kwenye hio Academy wanaenda kubeba makombe makubwa.
RVP mpaka kesho akihojiwa hua analaani kwelikweli kupoteza miaka 11 ya career yake kwa kuchezea Gundu Fc.
1715855498703.jpg
 
Nilikua naangalia press conference ya Ange baada ya mechi jamaa anaonekana amekasirika vibaya mno. Anaongelea juu ya misingi ndani ya timu kua legelege akaulizwa hilo swala kaona nje ya timu au ndani ya timu akajibu kote.

This means Ange focus yake ni ushindi ila timu haina huo utamaduni, kwao mafanikio ya msimu ni kumaliza juu ya Arsenal au Arsenal asipochukua ubingwa. Makocha wawili waliopita Jose na Conte wote waliongelea hilo swala kwamba "Timu haina winning mentality"

Conte alienda mbali akasema labda hii ni historia ya Tottenham. Lakini hili swala la misingi Jose alilisema akiwa na nyumbu pia, mwingine aliyeongelea misingi ya nyumbu ni Zlatan, Pogba na Cristiano.

Kama Bongo, mafanikio ya Simba ni Yanga asishinde kitu bila kujali kama yeye hatoshinda pia and vice versa. Conte alifukuzwa kwa hili alilofanya Ange, so tusubiri kuona ikiwa Tottenham wataona aibu na kujirudi au watamfungashia virago Ange.

Loser mentality zipo kwa midtable teams mara nyingi, atafurahia kusuluhu au usipomfunga magoli mengi. Wewe upo ulimwengu mwingine kabisa yeye yupo busy kufuatilia unacheza na nani next game. Atatoa ubashiri pale, haitakua anavyotaka. Atakunywa K Vant kutuliza hasira, atajichua kidogo. Kisha anarudi tena kuleta ubashiri mpya au kuandika utumbo mpya.

Lolote litakalomjia kichwani muda huo.
Sasa unalialia nini mambo ya kawaida haya. Steven Gerrard aliwai kumpa pasi drogba ili Chelsea wasinde na united wakose ubingwa.

Everton waliwahi kumuuzia mechi Guardiola ili Liverpool tusiwe mabingwa. Nyie mlitegemea kabisa mchukue ubingwa kwa msaada wa spazi mnaowatukana kila siku??
 
Ifike hatua tukubaliane Epl walau kuanzia mechi 3 za mwisho kuelekea msimu kuisha ziwe zinachezwa kwa muda sawa.

Hii itasaidia kuongeza ushindani katika ligi na kuepusha uelekea wa maamuzi ya matokea ya baadhi ya mechi.

Waiweke katika kanuni zao kabisa bila kujali hali msimamo wa ligi.

Nawaza pengine hizi game 3 za mwisho zingekuwa zinafanyika kwa namna hiyo, mbali na kuleta msisimko lakini zingweza kuwa na matokeo tofauti.
Mimi nachojua kitendo cha Arsenal kuanza kucheza game harafu mpinzani ndio anafata hio Ni advantage kubwa Sana ....

Pressure inakuwa kubwa Sana Kwa timu ambayo inakiporo ,....cheki kama Ile intensity ya game ya Spurs kama huna experienced player na coach ile game unapoteza ...

Man city tumekuwa na game moja au mbili mkononi Kila msimu tunapotaka kumaliza league kutokana na michuano tunayokuwa tunashiriki .....watu hawajui ila hii inakuwa kama kumdiscourge MTU ....Kwa timu nyingine lazima ipoteze tu
 
Sasa unalialia nini mambo ya kawaida haya. Steven Gerrard aliwai kumpa pasi drogba ili Chelsea wasinde na united wakose ubingwa.

Everton waliwahi kumuuzia mechi Guardiola ili Liverpool tusiwe mabingwa. Nyie mlitegemea kabisa mchukue ubingwa kwa msaada wa spazi mnaowatukana kila siku??
Unawinda visababu vya kua na chuki unavikosa inabidi uwe na gubu sasa.
This is me kwenye webistes zingine nikiongelea juu ya hiyo game. Ni sawa na nilivyojibu wengine humu kwamba acha City ishinde.
1715875636851.png
 
Unawinda visababu vya kua na chuki unavikosa inabidi uwe na gubu sasa.
This is me kwenye webistes zingine nikiongelea juu ya hiyo game. Ni sawa na nilivyojibu wengine humu kwamba acha City ishinde.
View attachment 2991757
Shindeni mechi zenu zote msimu ujao muone kama hamtakuwa mabingwa.

Kabla ya kulaumu flani, jiulize umepoteza points ngapi kizembe dhidi ya timu za kawaida?, mfano umepigwa nje ndani na Villa, hapo ulitegemea maajabu gani ya Spurs kuifunga City wakati Spurs hiyohiyo mechi 5 za mwisho zisizohusisha City alishinda 1 tu?.

Mbona Leicester City alichukua makombe na hao mnaoita watu wenye hela za mafuta wakiwepo?.

Timu tangu 2004 huko hakuna cha maana, kila mwaka janja janja zile zile za kusajili wachezaji wachanga wa mafungu wengi halafu mnataka mchukue ubingwa upi?
 
Shindeni mechi zenu zote msimu ujao muone kama hamtakuwa mabingwa.

Kabla ya kulaumu flani, jiulize umepoteza points ngapi kizembe dhidi ya timu za kawaida?, mfano umepigwa nje ndani na Villa, hapo ulitegemea maajabu gani ya Spurs kuifunga City wakati Spurs hiyohiyo mechi 5 za mwisho zisizohusisha City alishinda 1 tu?.

Mbona Leicester City alichukua makombe na hao mnaoita watu wenye hela za mafuta wakiwepo?.

Timu tangu 2004 huko hakuna cha maana, kila mwaka janja janja zile zile za kusajili wachezaji wachanga wa mafungu wengi halafu mnataka mchukue ubingwa upi?
Simu yako ingekua inafungua picha ungesoma nilichoandika ungeona wazi hichi unachoniandikia mimi sina kazi nacho
 
watu kelele kibao kwa gunners eti tumekosa kombe
angali timu yako inatafuta hata chance ya kucheza conference,
are you insane?
nye nye nye alafu litimu lako lipo nafasi ya ngapi sijui huko na mnafahamu kabisa
sisi na nyie hatugombanii nafasi mliyopo,nyie batlle yenu ni kwa nyukesto
 
False hopers FC aka yatima wa Wenger aka bottlers FC aka asenane FC aka Arsenyetoz fc aka partey efusiiiiii aka asenyani FC
Ninyi kombe mtakalobeba ni kibuyu cha pombe ya ulanzi ,
Nilishawaambia tangia msimu unaanza ,ila kwa vile mna vichwa vizito kuelewa mnakaza fuvu na kujazana upepo kwenye hichi kijiwe Chenu .
Ninyi ni poor fc
Hamis na genge lako mhame humu ,
Kenge kabisa , yaani ninyi ni wa kutegemea Totenham awape ubingwa kwa kumvizia kipara ?
Mna wazimu ninyi
Halafu mna guts za kujiita kings of london football .
Ninyi ni level za akina Fulham na Brentford hapo london .
Kweli nimeamini London itabaki kuwa blue always .
Yaani nikajua ninyi fisi mwaka huu kwa form mliyonayo basi mtakaza muondoe aibu ya Epl kubebwa na timu moja muda mrefu ,ila wapi .
Kwenye Arsenyetoz ni Arsenyetoz tu .

Mlikuwa mnajitutumua humu kubeba treble mwaka huu , tukaanza kuhesabu carabao mkala vitasa , tukaja FA mkala ngumi ya chembe kidevu ,tukaja UEFA mkala katafunua tena toka kwa Bayern huyu huyu mliyekuwa mnamtukana kila siku kuwa ni dhaifu na mnataka mkutane naye mumtie adabu na sasa Epl mmechezea katafunua nyingine toka kwa city tena city hii dhaifu kuliko ya msimu uliopita .
sawa malkia wa mipasho,tumesikia maoni yako
 
Nilikua naangalia press conference ya Ange baada ya mechi jamaa anaonekana amekasirika vibaya mno. Anaongelea juu ya misingi ndani ya timu kua legelege akaulizwa hilo swala kaona nje ya timu au ndani ya timu akajibu kote.

This means Ange focus yake ni ushindi ila timu haina huo utamaduni, kwao mafanikio ya msimu ni kumaliza juu ya Arsenal au Arsenal asipochukua ubingwa. Makocha wawili waliopita Jose na Conte wote waliongelea hilo swala kwamba "Timu haina winning mentality"

Conte alienda mbali akasema labda hii ni historia ya Tottenham. Lakini hili swala la misingi Jose alilisema akiwa na nyumbu pia, mwingine aliyeongelea misingi ya nyumbu ni Zlatan, Pogba na Cristiano.

Kama Bongo, mafanikio ya Simba ni Yanga asishinde kitu bila kujali kama yeye hatoshinda pia and vice versa. Conte alifukuzwa kwa hili alilofanya Ange, so tusubiri kuona ikiwa Tottenham wataona aibu na kujirudi au watamfungashia virago Ange.

Loser mentality zipo kwa midtable teams mara nyingi, atafurahia kusuluhu au usipomfunga magoli mengi. Wewe upo ulimwengu mwingine kabisa yeye yupo busy kufuatilia unacheza na nani next game. Atatoa ubashiri pale, haitakua anavyotaka. Atakunywa K Vant kutuliza hasira, atajichua kidogo. Kisha anarudi tena kuleta ubashiri mpya au kuandika utumbo mpya.

Lolote litakalomjia kichwani muda huo.
umetema madini ya kutosha
japo ni mchomo kwa watu flani hiviii,kutwa kutuletea taarab kama hadija kopa
 
Arsenyo ni sawa na vile vidada kila vikipata bwana vinawatambia marafiki zake kua mwaka huu lazima vitaolewa, matokeo yake vinaishia kutiwa mimba na kukimbiwa, mwakani kikipata bwana mwingine story zinajirudia tena vilevile tu.
Mpaka sasa hivi tayari ameshapata mabwana 20 na wote wamempiga chini, mwakani atapata bwana mwingine na kurudi humu na story zake zilezile kua mwaka huu lazima ataolewa
1692001519149.jpg
 
Back
Top Bottom