Na kuongezea sometimes sio mentality bali ni mipango kama nilivoweka pale juu.Achievements kwa misimu miwili mfululizo kuingia top4 na kutoshuka daraja sio?
Ndio maana nikasema hizi ni mentality za mid table teams, Arsenyo kwa ubora mliokua nao kwa hii misimu miwili mfululizo hamkupaswa misimu yote kumaliza mikono mitupu bila ya kombe lolote.
Yaani misimu yote miwili ya kujisifu kwa ubora wa timu halafu mnamaliza msimu mikono mitupu bila ya Uefa, Epl, FA, Carabao halafu mnajisifia achievment?
Kuingia top4 ni achievment kwa mid table teams, Aston Villa akisema ameachieve kwa kuingia top4 wala hatuwezi kushangaa, ila Arsenal kwa level yenu sasa hivi sio kujisifu na kufurahia top 4, nyinyi kwa hii misimu miwili mlistahili zaidi ya top4.
Hizo mentality za top4 waachieni kina Spurs, Brighton, Villa etc.
Kwa kipindi hiki ambacho Nyumbu, Chelkenge na Livapunda wanajikongoja nyinyi kwa ubora mlionao mlitakiwa kipindi hiki kukitumia vizuri kwa kujaza makombe kwenye kabati lenu kabla hizi timu nyingine hazijaanza kujipata, matokeo yake Man Utd na ubovu wake msimu ulioisha kabeba Carabao na msimu huu yupo fainali ya FA, Liverpool msimu huu pamoja na kusuasua tayari ameshabeba Carabao, halafu nyinyi mnaondoka mikono mitupu na kuanza kusifiana ujinga humu kua kutokushuka daraja na kubaki top4 kwenu ni achievment kubwa![]()
Kumbuka 2010's mashabiki wa man u walikuwa hawatambui kombe Major lolote zaidi ya UEFA na EPL. Walitucheka sana tumekaa miaka mingi bila EPL.
Angalia sasa hata Carabao ni kubwa kwao.
Walishindwa kujipanga na inaweza wachukua milele kurudi walipotoka football .
Je utasema na wao wana mentality ya Mid table.?



