Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Achievements kwa misimu miwili mfululizo kuingia top4 na kutoshuka daraja sio?
Ndio maana nikasema hizi ni mentality za mid table teams, Arsenyo kwa ubora mliokua nao kwa hii misimu miwili mfululizo hamkupaswa misimu yote kumaliza mikono mitupu bila ya kombe lolote.
Yaani misimu yote miwili ya kujisifu kwa ubora wa timu halafu mnamaliza msimu mikono mitupu bila ya Uefa, Epl, FA, Carabao halafu mnajisifia achievment?
Kuingia top4 ni achievment kwa mid table teams, Aston Villa akisema ameachieve kwa kuingia top4 wala hatuwezi kushangaa, ila Arsenal kwa level yenu sasa hivi sio kujisifu na kufurahia top 4, nyinyi kwa hii misimu miwili mlistahili zaidi ya top4.
Hizo mentality za top4 waachieni kina Spurs, Brighton, Villa etc.
Kwa kipindi hiki ambacho Nyumbu, Chelkenge na Livapunda wanajikongoja nyinyi kwa ubora mlionao mlitakiwa kipindi hiki kukitumia vizuri kwa kujaza makombe kwenye kabati lenu kabla hizi timu nyingine hazijaanza kujipata, matokeo yake Man Utd na ubovu wake msimu ulioisha kabeba Carabao na msimu huu yupo fainali ya FA, Liverpool msimu huu pamoja na kusuasua tayari ameshabeba Carabao, halafu nyinyi mnaondoka mikono mitupu na kuanza kusifiana ujinga humu kua kutokushuka daraja na kubaki top4 kwenu ni achievment kubwa
Na kuongezea sometimes sio mentality bali ni mipango kama nilivoweka pale juu.
Kumbuka 2010's mashabiki wa man u walikuwa hawatambui kombe Major lolote zaidi ya UEFA na EPL. Walitucheka sana tumekaa miaka mingi bila EPL.
Angalia sasa hata Carabao ni kubwa kwao.
Walishindwa kujipanga na inaweza wachukua milele kurudi walipotoka football .
Je utasema na wao wana mentality ya Mid table.?
 
Achievements kwa misimu miwili mfululizo kuingia top4 na kutoshuka daraja sio?
Ndio maana nikasema hizi ni mentality za mid table teams, Arsenyo kwa ubora mliokua nao kwa hii misimu miwili mfululizo hamkupaswa misimu yote kumaliza mikono mitupu bila ya kombe lolote.
Yaani misimu yote miwili ya kujisifu kwa ubora wa timu halafu mnamaliza msimu mikono mitupu bila ya Uefa, Epl, FA, Carabao halafu mnajisifia achievment?
Kuingia top4 ni achievment kwa mid table teams, Aston Villa akisema ameachieve kwa kuingia top4 wala hatuwezi kushangaa, ila Arsenal kwa level yenu sasa hivi sio kujisifu na kufurahia top 4, nyinyi kwa hii misimu miwili mlistahili zaidi ya top4.
Hizo mentality za top4 waachieni kina Spurs, Brighton, Villa etc.
Kwa kipindi hiki ambacho Nyumbu, Chelkenge na Livapunda wanajikongoja nyinyi kwa ubora mlionao mlitakiwa kipindi hiki kukitumia vizuri kwa kujaza makombe kwenye kabati lenu kabla hizi timu nyingine hazijaanza kujipata, matokeo yake Man Utd na ubovu wake msimu ulioisha kabeba Carabao na msimu huu yupo fainali ya FA, Liverpool msimu huu pamoja na kusuasua tayari ameshabeba Carabao, halafu nyinyi mnaondoka mikono mitupu na kuanza kusifiana ujinga humu kua kutokushuka daraja na kubaki top4 kwenu ni achievment kubwa
Hivi unaujua ubingwa wa uingereza ulivyo tafu? Unadhani kushinda na klop na pep ambao hata ulaya watu wanakalishwa? Kufikisha pointi 80 ligi kuu sio poa
 
Hivi unaujua ubingwa wa uingereza ulivyo tafu? Unadhani kushinda na klop na pep ambao hata ulaya watu wanakalishwa? Kufikisha pointi 80 ligi kuu sio poa
Kaka mimi sizungumzii ubingwa wa Epl wala Uefa pekee, ni kweli sio kazi rahisi kupata ubingwa wa hayo makombe mawili, ila kwa ubora wa Arsenal hii mmeshindwa Epl na Uefa basi mngebeba hata hivyo vikombe vidogo vya FA na Carabao.
Hata wajukuu zenu siku mkija kuwahadithia kua Arsenal ya 2022/2023 na 2023/2024 ilikua ni ya moto kwelikweli, wakiwauliza ilishinda kombe gani? halafu mkawaambia haikushinda kombe lolote misimu yote miwili walimaliza mikono mitupu sidhani kama watawaelewa.
 
Kaka mimi sizungumzii ubingwa wa Epl wala Uefa pekee, ni kweli sio kazi rahisi kupata ubingwa wa hayo makombe mawili, ila kwa ubora wa Arsenal hii mmeshindwa Epl na Uefa basi mngebeba hata hivyo vikombe vidogo vya FA na Carabao.
Hata wajukuu zenu siku mkija kuwahadithia kua Arsenal ya msimu wa 2022/2023 na 2023/2024 ilikua ni ya moto kwelikweli, wakiwauliza ilishinda kombe gani? halafu mkawaambia haikushinda kombe lolote sidhani kama watawaelewa.
Unabwabwaja nn ww Lofa Mlinda mageti🤠🤠....akichukua kipara kastahili..tutajifunza kwa mistakes tulizofanya na mwakani kwny fezi foo tunabeba hii ndoo....msitufananishe sisi na nyny...tupo mbali sana kwa sasa
 
Unabwabwaja nn ww Lofa Mlinda mageti....akichukua kipara kastahili..tutajifunza kwa mistakes tulizofanya na mwakani kwny fezi foo tunabeba hii ndoo....msitufananishe sisi na nyny...tupo mbali sana kwa sasa
kila wisho wa msimu maneno yenu ni hayohayo tu mtajifunza kwa mistakes mlizofanya na mwakani kwenye fezi foo mtabeba ndoo, cha ajabu hizo fezi foo hua haziishi, kila msimu kwenu ni fezi foo na mbaya zaidi hua hata hamjifunzi kabisa kwa hizo mistakes mlizofanya msimu ulioisha
Mlinda geti kazi yangu humu ni kutembeza spana tu mpaka mjirekebishe na kuacha uzwazwa na false hopes za kijinga, tena umenikumbusha ngoja nianze kufukua makaburi maana ninazo quotes zako za kutosha humu ukiwadanganya misukule wenzako kua msimu huu lazima mtabeba Epl na Uefa
 
kila wisho wa msimu maneno yenu ni hayohayo tu mtajifunza kwa mistakes mlizofanya na mwakani kwenye fezi foo mtabeba ndoo, cha ajabu hizo fezi foo hua haziishi kila msimu kwenu ni fezi foo na mbaya zaidi hua hata hamjifunzi kabisa kwa hizo mistakes mlizofanya msimu ulioisha
Mlinda geti kazi yangu humu ni kutembeza spana tu mpaka mjirekebishe na kuacha uzwazwa na false hopes za kijinga, tena umenikumbusha ngoja nianze kufukua makaburi maana ninazo quotes zako za kutosha humu ukiwadanganya misukule wenzako kua msimu huu lazima mtabeba Epl na Uefa
 

What happens if Arsenal and Manchester City finish level on points?​

If there is a tie, the league is determined by goal difference, followed by goals scored, most points earned in head-to-head play, and most goals scored away from home in the head-to-head record
 
Picha imepigwa kesho jioni ya jumapili
IMG_1277.jpeg
 
False hopers mpo? Kesho ndo siku ambayo tulikua tunaisubiri kwa hamu ili maneno yetu yatimie.
Jamiii check wanasubiri nini kuthibitisha kama nyinyi huwa mna matumaini bandia ushahidi umeshaletwa kwa hisani ya Unai emery na vijana wake wa Aston villa.
Hongereni mwaka huu mmefanya bottle kitasha sana , mmeshasahau kuwa before game ya aston villa nyinyi ndo mlikuwa mnaongoza ligi.

Game week 33 , Arsenal vs Aston villa mkiwa emirates 2 points ahead zikiwa zimebaki game 5 ligi iiishe mkafa 2:0 😂😂😂 sasa nyinyi nae mtasema mlikuwa mnatafuta ubingwa😂😂, Nyinyi ni false hopers mtazidi kuwa false hoper tu kenge nyinyi yaani game zimebaki 5 mnashindwa kukomaa mpewe nini sasa nyinyi , kila mwaka mnajipa false hope mmejifunza kutokana na makosa mpaka mtazeeka bado mnajifunza tu.

Unaambiwa za ndani kabisa ilitabiriwa arsenal atabeba EPL mpaka mtoto wa mtoto wa malkia Elizabeth awe King ( yaani mtoto wa king charles awe king) ndo kama mnavyojionea prince harry nae kaukataa ufalme tayari😂😂 technically inamaanisha arsenal hawezi chukua EPL mpaka dunia inaishaaa.
 
Kule kwenye uzi wao kumejaa articles ndefu ndefuuuuu za kizungu za copy-paste za kina Manyanza na Grau, kuhusu Klopp kuondoka na Slot kuja. Hata hakuna anayezielewa. Wanaona bora waje huku watukere tu.
Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .

Tufanye umeanza kushabikia mpira mwaka ambao wenger ndo anakabiziwa team 1995 tukihesabu makombe arsenal aliyochukua ya epl mpaka tunavyoongea saivi 2024 ni makombe 3 tu 😂😂😂
1997/1998 , 2001/2002, 2003/2004 .
Tuchukulie dogo alianza kushabikia man city 2011 ana makombe ambayo ameyaona as fan of man city makombe 7 kesho la nane 😂😂
 
Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .

Tufanye umeanza kushabikia mpira mwaka ambao wenger ndo anakabiziwa team 1995 tukihesabu makombe arsenal aliyochukua ya epl mpaka tunavyoongea saivi 2024 ni makombe 3 tu 😂😂😂
1997/1998 , 2001/2002, 2003/2004 .
Tuchukulie dogo alianza kushabikia man city 2011 ana makombe ambayo ameyaona as fan of man city makombe 7 kesho la nane 😂😂
Kweli kabisa. Wamepiga hatua kubwa sana huku sisi wengine tumeharibu na kuzembea vibaya sana 😄😄
 
Sitaki kujua umeanza kushabikia mpira mwaka gani ila nina uhakika wa jambo mmoja tu, tukichukua shabiki yoyote yule wa Arsenal tukahesabu makombe aliyoyaona na kushabikia as arsenal fan bado hamzidi dogo aliyeanza kushabikia man city 2011 .

Tufanye umeanza kushabikia mpira mwaka ambao wenger ndo anakabiziwa team 1995 tukihesabu makombe arsenal aliyochukua ya epl mpaka tunavyoongea saivi 2024 ni makombe 3 tu 😂😂😂
1997/1998 , 2001/2002, 2003/2004 .
Tuchukulie dogo alianza kushabikia man city 2011 ana makombe ambayo ameyaona as fan of man city makombe 7 kesho la nane 😂😂
Huwa unaongeaga fact sana we jamaa, respect!
 
kila wisho wa msimu maneno yenu ni hayohayo tu mtajifunza kwa mistakes mlizofanya na mwakani kwenye fezi foo mtabeba ndoo, cha ajabu hizo fezi foo hua haziishi, kila msimu kwenu ni fezi foo na mbaya zaidi hua hata hamjifunzi kabisa kwa hizo mistakes mlizofanya msimu ulioisha
Mlinda geti kazi yangu humu ni kutembeza spana tu mpaka mjirekebishe na kuacha uzwazwa na false hopes za kijinga, tena umenikumbusha ngoja nianze kufukua makaburi maana ninazo quotes zako za kutosha humu ukiwadanganya misukule wenzako kua msimu huu lazima mtabeba Epl na Uefa
Ni lini nilisema tutabeba UEFA mkuu 🤠 🤠....usinilishe maneno shehe....ndoo ya EPL Emery katufanyia roho mbaya tu🤠🤠...ila fezi foo hii kitu tunanyakua...msimu ujao big six wte mjiandae kutuchangia points 6 maana tuna jambo letu
 
Back
Top Bottom