Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni ngumu ila tunatakiwa kujitahidi.
Pep ni mtu mwingine kabisa na Man City yake. Wao kila mwaka wapo pale juu, huku sisi wengine tunasindikaza kwa kupokezana. Ona sasa Villa kaingia top 4. Last season, Man United na Newcastle walikuwepo ila sasa hawana uhakika hata wa Europa. Ligi tamu sana hii.
Ferguson pia kuna kipindi alikua ni hatari kuliko Pep mwisho wa siku wakaja wengine.kikubwa Arsenal tuendelee na mikakati. We are almost there.
 
Dogo amekuwa mpole sana baada ya kumshambulia Klopp kwa muda mrefu sasa amekubali uhalisia kuhusu kushindana na Pep.
View attachment 2990507
Kwel kabisa, kufikisha point 99 ama 97 na bado usiwe bingwa unaanzaje kutoa lawama.

Binafsi naona walau ukiweza kufikisha point 90+ hata ukikosa ubingwa ujue u had the best oponent dhidi yako na unapaswa kukubaliana na hilo.
 
Ferguson pia kuna kipindi alikua ni hatari kuliko Pep mwisho wa siku wakaja wengine.kikubwa Arsenal tuendelee na mikakati. We are almost there.
Nataka kusema Ferguson ashapitwa sana tu na Guardiola aisee. Kuna mambo Guardiola amefanya katika kushinda ambayo Ferguson hajawahi. Hata Klopp naweza kusema kamfunika Fergie. Kama Klopp angekutana na Fergie yule, kwa mpira huu alioupiga Liverpool, Klopp ndiye angekuwa habari ya mujini.
 
Tunaanza phase 4 muda si mrefu. Yaani kwa wachezaji itakuwa ni mwendo wa 'toa chuma, weka chuma'. Hao akina Nelson, Tierney, Nketiah...hawatakuwepo. Utakutana na akina Sesko, Xavi Simmons....

Kama mkorea anavyosema 'maji mtaita mma'
Uzuri mnafurahia msimu mzima ila mwisho wa msimu mnakuwa hamna furaha kabisa😂
 
Selikavu ...
Siyo mimi aisee. Namponda sana Arteta ila huwa napenda kuangalia mema pia.
Ukicheki misimu yetu iliyopita na tulipo sasa:
2019/20 - 8th -56 points
2020/21 - 8th - 61 points
2021/22 -5th - 69 points
2022/23 -2nd - 84 points
2023/24 - 2nd - 86 points. Bado mechi moje. Uwezekano wa kumaliza na 89 upo.
Hii inaonesha tunafanya maboresho, yapo kidogo, msimu kwa msimu.

Tumetoka kutamani top 4 na kufurahia kuingia ulaya, sasa tunataka ubingwa na tumeonesha tunataka kuwa timu kubwa EPL na Ulaya kwa ujumla.

Tatizo ni kupata ile hali ya kuchoka kupambana. Ila tukiendelea hivi, hatuna haja ya kuwa na wasiwasi. Yajayo yanafurahisha.
 
Tunaanza phase 4 muda si mrefu. Yaani kwa wachezaji itakuwa ni mwendo wa 'toa chuma, weka chuma'. Hao akina Nelson, Tierney, Nketiah...hawatakuwepo. Utakutana na akina Sesko, Xavi Simmons....

Kama mkorea anavyosema 'maji mtaita mma'
Mashabiki wa Fungu la kukosa Fc naona mpaka mnachanganyikiwa na kurudisha phase nyuma.
Sio kwa nia mbaya bali nakukumbusha tu hii phase inayoisha ndio Fezi foo, msimu ujayo tunaanza na Fezi faivu
 
Selikavu ...
Siyo mimi aisee. Namponda sana Arteta ila huwa napenda kuangalia mema pia.
Ukicheki misimu yetu iliyopita na tulipo sasa:
2019/20 - 8th -56 points
2020/21 - 8th - 61 points
2021/22 -5th - 69 points
2022/23 -2nd - 84 points
2023/24 - 2nd - 86 points. Bado mechi moje. Uwezekano wa kumaliza na 89 upo.
Hii inaonesha tunafanya maboresho, yapo kidogo, msimu kwa msimu.

Tumetoka kutamani top 4 na kufurahia kuingia ulaya, sasa tunataka ubingwa na tumeonesha tunataka kuwa timu kubwa EPL na Ulaya kwa ujumla.

Tatizo ni kupata ile hali ya kuchoka kupambana. Ila tukiendelea hivi, hatuna haja ya kuwa na wasiwasi. Yajayo yanafurahisha.
Mngojee am running out of energy 😂
 
Huyo jamaa ana kombe la mabingwa bara la asia, tena alichukua akiwa captain
Hana kombe lolote la maana huyo Son, hilo unalosema la mabingwa ni kombe gani sasa... Asia games? Michuano ambayo kuna baadhi ya wachezaji huwa hawashiriki sababu muda mwingine huwa inachezwa kati kati ya misimu? Hebu acha utani sidhani kama yeye mwenyewe huwa anajivunia hiyo medal... maana amecheza michuano mingi mikubwa na kaambulia patupu.
 
Ana medal ya Uefa yule Kama Club yako mafanikio yake makubwa kubeba medal ya mshindi wa pili Uefa
Losing medal doesn't count anyway...no one remembers the losers, ndio maana watu kama Sergio Ramos anakwambia kwenye kabati lake hana runners up medal hata moja, huwa anazigawa.

Ni yanga tu pekee walisherekea kupata medal ya mshindi wa pili.
 
Ni ngumu ila tunatakiwa kujitahidi.
Pep ni mtu mwingine kabisa na Man City yake. Wao kila mwaka wapo pale juu, huku sisi wengine tunasindikaza kwa kupokezana. Ona sasa Villa kaingia top 4. Last season, Man United na Newcastle walikuwepo ila sasa hawana uhakika hata wa Europa. Ligi tamu sana hii.
Bwana Josep Guardiola ameitia najisi hii ligi, yaani amefanya ionekane kuchukua ubingwa ni kitu rahisi sana na pia vile vile ni kitu kigumu sana....how?

Kwamba yakupasa uwe na vikosi viwili vyenye wachezaji wanaolingana uwezo, yaani kila position iwe na wachezaji wawili wenye uwezo sawa ambao wanaweza wakaanza kwenye timu yoyote ile ulaya.. hii inasaidia sana kwenye rotation sahihi.

Kingine wachezaji hao wawe na consistency ya hali ya juu, yaani hata kama wana drop form basi wabaki na ile class na mentality ya ushindi ambayo ndio wataitembelea kwenye kuipa timu matokeo hata kama watacheza vibaya.

Kingine yakupasa uwe na ujuzi wa kuwachenga wapinzani au tuseme uwe flexible wasikukariri, kama mtakuwa mmechunguza mtagundua kila msimu man city huwa wana adjust patterns za uchezaji wao baadhi ya maeneo hasa kwenye eneo la mwisho, ukiangalia jinsi walivyokuwa wanashambulia msimu uliopita kuna tofauti na wanavyoshambulia msimu huu na nna amini hata msimu ujao watakuja kivingine.

Kingine usiruhusu wachezaji wawe na complacency hata kidogo, yaani siku zote wawe na njaa ya vikombe tu na waone kama kuchukua ubingwa ni haki yao ya msingi na hivyo wasiwe na huruma hata kidogo na wapinzani wao wanapokuwa uwanjani.

Kingine uwe na hela, yaani uwe mna uwezo wa kumnunua mchezaji yoyote kutoka popote na pia mchezaji awe anatamani kucheza kwenye timu yako.

UKIWEZA KUYAFANYA HAYO YOTE BASI UBINGWA ITAKUWA NI KITU RAHISI SANA.... USIPOWEZA KUFANYA HATA MOJA WAPO UBINGWA UTAKUWA NI ASSIGNMENT NGUMU KULIKO KUMSHAWISHI MLEVI KUWA JUICE NI BORA KULIKO POMBE
 
Moja ya kitu kinachonipa matumaini kwamba leo Spurs anaturejeshea nafasi ya kuchukua ubingwa ni rekodi mbovu aliyonayo Guardiola nyumbani kwa Spurs.

Pep Guardiola has never won any premier league match at Tottenham Hotspur Stadium ever since he came to England, out of all 7 visits he has barely managed to collect 2 draws and suffered 5 losses.

Now it is my great anticipation to see our dear neighbours putting their energy to make sure this perennial winless streak prevail... at least this is the only good record they can brag of for us.
..
 
Back
Top Bottom