Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ila kwa sasa guys ligi imebadilika saaana.
Mechi moja unayopoteza August inaweza ikakuhukumu may
Ni kama kocha na wachezaji wanatakiwa kuwa full perfect with no room for errors and correction
Ukitazama quality ya makocha walioko epl kwa sasa unauona ugumu wa kubeba ligi
Hakika mkuu, siku hizi hautaji tu kuwa bora hili uweze kuchukua ligi, bali yakupasa uwe na ubora ambao hauna makosa kabisa... yaani kama unafanya mistakes basi hakikisha wapinzani wako nao wawe wamefanya mistakes ambazo zina impacts sawa na kwako.

Zamani ilikuwa ukishinda mechi 25 tu kati ya mechi 38 basi wewe moja moja kwa moja una uhakika wa ubingwa, Manchester united amechukua ubingwa mara 20, na mara zote hizo hakuwahi kushinda mechi zaidi ya 26, hata points nyingi alizowahi kuzifikisha ni 85, lakini ndio timu yenye mafanikio zaidi kwenye EPL, sababu ilikuwa ni bora tu.

Msimu wa 2018/2019 Liverpool alishinda mechi 31 na alimaliza na points 97 lakini bado akaukosa ubingwa..... hii inaonesha ni jinsi gani unaweza ukawa bora lakini bado ukakosa ubingwa kwa sababu hauna perfection.

Jana Arsenal tumeshinda mechi ya 26 tangu msimu umeanza na hizi ndio mechi nyingi tulizowahi kushinda tangu tupande daraja, kwa mara ya mwisho kushinda mechi nyingi hivi ilikuwa ni msimu wa 2003/2004(invincible season) ambapo tulishinda mechi 25.

Unaweza ukaona kipara ameweka standards za hali ya juu mno hili kuchukua ubingwa, yaani unahitaji karibu kila timu uwe unajipigia tu na hasa round ya pili.

Kwakweli ni kazi sana, ila ninachojivunia kuna mabadiliko makubwa sana kulinganisha na misimu mingi iliyopita huko nyuma. Acha tuone kesho Spurs pengine labda anaweza akatupa ubingwa licha ya chuki kali aliyonayo dhidi yetu
 
Kudus akija Arsenal tutamkataa.
Kudus anacheza timu ambayo inategemea sana long balls na kuzishambulia spaces za mpinzani.
ARSENAL ina timu Nzuri sana ila haina WACHEZAJI wengi wazuri sana. Castr ARSENAL ilimuhitaji Mudryk ila ikaishia Mpata TROSSARD, Hajawa chaguo Baya na amekuwa na Mchango Mkubwa ila kama ARTETA angempata MUDRYK Yule Bwana angekuwa anaimbwa.

KUDUS ilikuwa Chaguo la kwanza kwa ARTETA. Stori yake ingefanana na MARTINELI. Leo hii MARTINELI anapambania Nafasi, SAKA amekuwa kama ana kura Turufu sababu hana Mpinzani wa kueleweka kwenye Nafasi yake.

Kama KUDUS angeenda ARSENAL angefanya Makubwa. AJAX wanacheza mpira wa kumiliki kwa hiyo isingempa Changamoto ARSENAL, Hapa ni kumpongeza namna ameweza ingia Poa timu inacheza tofauti kabisa na Alipotoka.
 
Hakika mkuu, siku hizi hautaji tu kuwa bora hili uweze kuchukua ligi, bali yakupasa uwe na ubora ambao hauna makosa kabisa... yaani kama unafanya mistakes basi hakikisha wapinzani wako nao wawe wamefanya mistakes ambazo zina impacts sawa na kwako.

Zamani ilikuwa ukishinda mechi 25 tu kati ya mechi 38 basi wewe moja moja kwa moja una uhakika wa ubingwa, Manchester united amechukua ubingwa mara 20, na mara zote hizo hakuwahi kushinda mechi zaidi ya 26, hata points nyingi alizowahi kuzifikisha ni 85, lakini ndio timu yenye mafanikio zaidi kwenye EPL, sababu ilikuwa ni bora tu.

Msimu wa 2018/2019 Liverpool alishinda mechi 31 na alimaliza na points 97 lakini bado akaukosa ubingwa..... hii inaonesha ni jinsi gani unaweza ukawa bora lakini bado ukakosa ubingwa kwa sababu hauna perfection.

Jana Arsenal tumeshinda mechi ya 26 tangu msimu umeanza na hizi ndio mechi nyingi tulizowahi kushinda tangu tupande daraja, kwa mara ya mwisho kushinda mechi nyingi hivi ilikuwa ni msimu wa 2003/2004(invincible season) ambapo tulishinda mechi 25.

Unaweza ukaona kipara ameweka standards za hali ya juu mno hili kuchukua ubingwa, yaani unahitaji karibu kila timu uwe unajipigia tu na hasa round ya pili.

Kwakweli ni kazi sana, ila ninachojivunia kuna mabadiliko makubwa sana kulinganisha na misimu mingi iliyopita huko nyuma. Acha tuone kesho Spurs pengine labda anaweza akatupa ubingwa licha ya chuki kali aliyonayo dhidi yetu
ulaya ulaya ni ulaya, mwenye uwezo ndio atakae funga kesho.
 
ARSENAL ina timu Nzuri sana ila haina WACHEZAJI wengi wazuri sana. Castr ARSENAL ilimuhitaji Mudryk ila ikaishia Mpata TROSSARD, Hajawa chaguo Baya na amekuwa na Mchango Mkubwa ila kama ARTETA angempata MUDRYK Yule Bwana angekuwa anaimbwa.

KUDUS ilikuwa Chaguo la kwanza kwa ARTETA. Stori yake ingefanana na MARTINELI. Leo hii MARTINELI anapambania Nafasi, SAKA amekuwa kama ana kura Turufu sababu hana Mpinzani wa kueleweka kwenye Nafasi yake.

Kama KUDUS angeenda ARSENAL angefanya Makubwa. AJAX wanacheza mpira wa kumiliki kwa hiyo isingempa Changamoto ARSENAL, Hapa ni kumpongeza namna ameweza ingia Poa timu inacheza tofauti kabisa na Alipotoka.
Mchezaji akitoka Ajax ligi ambayo dominant ni Ajax, Feyenoord na zingine mbili uwezekano wa kupigwa ni mkubwa.

Antony na Malacia ni mfano wa haraka kwa nyinyi United.

Nionyeshe wachezaji wabaya wa Arsenal ambao kwa Arsenal ni starters na unaamini hawana mchango wowote
 
Niliwahi shauri kwa mzaha ila kuna ukweli ndani yake.
Makocha wa epl hasa top six wameshaonjeshwa uji wa moto wa kipara.
Hawa kina arteta na wenzake wakae chini wamwite kipara,wamshukuru kwa uwepo wake ndani ya ligi kwa miaka 8 kisha kwa heshima wamwambie apeleke kimbunga chake SERIE A au LA LIGA

Kipara mwenye enough fund source ataendelea kuinyanyasa ligi 😂😂😂

Ikishindikana wachangishane mkwanja wampe aende akale pensheni huko,jamaa na waarabu wake wanajua hadi wanakera
 
Niliwahi shauri kwa mzaha ila kuna ukweli ndani yake.
Makocha wa epl hasa top six wameshaonjeshwa uji wa moto wa kipara.
Hawa kina arteta na wenzake wakae chini wamwite kipara,wamshukuru kwa uwepo wake ndani ya ligi kwa miaka 8 kisha kwa heshima wamwambie apeleke kimbunga chake SERIE A au LA LIGA

Kipara mwenye enough fund source ataendelea kuinyanyasa ligi 😂😂😂

Ikishindikana wachangishane mkwanja wampe aende akale pensheni huko,jamaa na waarabu wake wanajua hadi wanakera
Vinahitajika vilabu angalau vitano vyenye consistency ya kipara.
Kipara anaimarisha kikosi every season. Ananunua mchezaji 100M na hamtumii na wala siyo kesi kwakua timu inaleta matokeo mezani.

Nataka abaki hapo hapo kipindi hichi ambacho matumizi yanaanza kubanwa
 
Vinahitajika vilabu angalau vitano vyenye consistency ya kipara.
Kipara anaimarisha kikosi every season. Ananunua mchezaji 100M na hamtumii na wala siyo kesi kwakua timu inaleta matokeo mezani.

Nataka abaki hapo hapo kipindi hichi ambacho matumizi yanaanza kubanwa
Hili ni jambo ambalo kila mtu analisubiri kwa hamu kubwa
Tunataka kuona kipara bila pesa ya kumwaga anaweza fanya anachofanya?

Tactically hatuna wasiwasi nae,ila ngoja tuone akiminywa swala la technical recruitment je ataendelea kufanya tunachoona leo?
Jamaa absolutely ni gifted ila pesa ya mwarabu imempa upper hand kwenye title races
 
Ili mchukue ubingwa mnahitaji kocha wa kueleweka mwenye mentality za ki utu uzima sio premature kama Arteta.
Tafuteni Attacking mid wa maana Odegaard anachangamsha kijiji tu.
Saka sio mchezaji wa kuwapa kombe la maana huyu anatakiwa kuwa bench warmer. Kwa kifupi nyie kenge mna world class mmoja tu Declan Rice wengine wote ni magarasa
 
Ili mchukue ubingwa mnahitaji kocha wa kueleweka mwenye mentality za ki utu uzima sio premature kama Arteta.
Tafuteni Attacking mid wa maana Odegaard anachangamsha kijiji tu.
Saka sio mchezaji wa kuwapa kombe la maana huyu anatakiwa kuwa bench warmer. Kwa kifupi nyie kenge mna world class mmoja tu Declan Rice wengine wote ni magarasa
We jamaa ni fala tabaka la juu kabisa. Mwenye mentality ya ubingwa ni Klopp au sio?
Ambaye since 2015 mpaka sasa, msimu wa 9 ana EPL moja.

Klopp akiwa Liverpool

2015/16 Hola
16/17 Hola
17/18 Hola
18/19 Hola
19/20 Ndo hapa kapata kombe la Corona
20/21 Hola
21/22 Hola
22/23 Hola
23/24 Hola

Huyu Klopp, wakati anakuja Liverpool ilibidi asubiri miaka minne ndo apate kombe lake la kwanza la ligi. Baada ya hapo kaendelea kusugua. Na wengi wa mashabiki wa Liver mliufyata kimya.

Klopp anakuja Liverpool akiwa ni kocha mzoefu kabisa, kashacheza mpaka fainali ya UCL.

Miaka 9, EPL moja
 
ARSENAL ina timu Nzuri sana ila haina WACHEZAJI wengi wazuri sana. Castr ARSENAL ilimuhitaji Mudryk ila ikaishia Mpata TROSSARD, Hajawa chaguo Baya na amekuwa na Mchango Mkubwa ila kama ARTETA angempata MUDRYK Yule Bwana angekuwa anaimbwa.

KUDUS ilikuwa Chaguo la kwanza kwa ARTETA. Stori yake ingefanana na MARTINELI. Leo hii MARTINELI anapambania Nafasi, SAKA amekuwa kama ana kura Turufu sababu hana Mpinzani wa kueleweka kwenye Nafasi yake.

Kama KUDUS angeenda ARSENAL angefanya Makubwa. AJAX wanacheza mpira wa kumiliki kwa hiyo isingempa Changamoto ARSENAL, Hapa ni kumpongeza namna ameweza ingia Poa timu inacheza tofauti kabisa na Alipotoka.
Hiyo comment ya CASTR, kwamba KUDUS tungemkataa Emirates, niliisoma jana nikawa sijamuelewa kabisa. Umefafanua vizuri kilichopo kichwani mwangu.
 
Kudus akija Arsenal tutamkataa.

Kudus anacheza timu ambayo inategemea sana long balls na kuzishambulia spaces za mpinzani. Ambazo hizi unazipata kama mpinzani anakukaba kwa high pressing au hakufanyii low block.

Arsenal tunafanyiwa sana low block, Kudus akija itabidi aadopt kucheza kama Saka au asubiri game ambayo itaonekana transition na counter zitaleta majibu.

Muone Grealish akiwa Villa. City wakalipa 100M ila jamaa hakuscore karibia msimu mzima. Na akicheza huoni impact, nafikiri ndiyo maana Doku pia anakaa bench kwa sababu kama hizi.
Naamini ataadopt fasta na kuonesha ubora zaidi ya saka.

Kila nikimtizama saka, natamani tupate bora zaidi ya saka, arsenal ya msimu ujao inabidi ibadilike, nafasi ya saka unahitajika ubora wa mo salah yule wa misimu kadhaa hapo nyuma.

Kwenye ulinzi tumetulia, ila sasa safu ya ushambuliaji inabidi iongeze ukatili sana.
Kiungo atafutwe mtu wa kuziba pengo la partey chap kwa haraka.
 
Mchezaji akitoka Ajax ligi ambayo dominant ni Ajax, Feyenoord na zingine mbili uwezekano wa kupigwa ni mkubwa.

Antony na Malacia ni mfano wa haraka kwa nyinyi United.

Nionyeshe wachezaji wabaya wa Arsenal ambao kwa Arsenal ni starters na unaamini hawana mchango wowote
ARSENAL ni TIMU NZURI SANA ila haina Wachezaji Wengi wazuri sana. Mchango wa Mchezaji ndo Unapelekea kutengeneza timu Nzuri! Unaona kikosi cha ARTETA Ni wachache sana wanaweza kuwa STARTERS katika timu zao za TAIFA hasa Mataifa makubwa Kisoka.

Nadhani umemaanisha Ligi ya Uholanzi, UTD & ARSENAL Ni wanufaika wakubwa toka Hii ligi. Mchezaji kupigwa ni Suala la Mifumuko ya Bei na Kukosa watu Makini wa Mpira.

Hoja ni KUDUS, Kama ARSENAL Ingempata Hali ya SAKA Ingekuwa kama Martinelli na Trossard. Wachezaji wa Kiingereza wako na Tabia ya Kujisikia wasipopata Ushindani na SAKA + PALMER wameshaingia kwenye kundi hilo.
 
Kuna kiazi kimoja kipo mbele kuipa ushauri timu iliyo nafasi ya pili anaacha kujishauri yeye yupo matopeni huko hata ashinde mechi alizobakisha hafikii points zetu
 
ARSENAL ni TIMU NZURI SANA ila haina Wachezaji Wengi wazuri sana. Mchango wa Mchezaji ndo Unapelekea kutengeneza timu Nzuri! Unaona kikosi cha ARTETA Ni wachache sana wanaweza kuwa STARTERS katika timu zao za TAIFA hasa Mataifa makubwa Kisoka.

Nadhani umemaanisha Ligi ya Uholanzi, UTD & ARSENAL Ni wanufaika wakubwa toka Hii ligi. Mchezaji kupigwa ni Suala la Mifumuko ya Bei na Kukosa watu Makini wa Mpira.

Hoja ni KUDUS, Kama ARSENAL Ingempata Hali ya SAKA Ingekuwa kama Martinelli na Trossard. Wachezaji wa Kiingereza wako na Tabia ya Kujisikia wasipopata Ushindani na SAKA + PALMER wameshaingia kwenye kundi hilo.
Unahisi Arsenal inamhitaji Kudus kuliko United?
 
Back
Top Bottom