Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ili mchukue ubingwa mnahitaji kocha wa kueleweka mwenye mentality za ki utu uzima sio premature kama Arteta.
Tafuteni Attacking mid wa maana Odegaard anachangamsha kijiji tu.
Saka sio mchezaji wa kuwapa kombe la maana huyu anatakiwa kuwa bench warmer. Kwa kifupi nyie kenge mna world class mmoja tu Declan Rice wengine wote ni magarasa
Wewe ni miongozi mwa UPINDE mliojificha JF
 
Wana wachezaji gani wa kumzuia Aston Vill

Unaweza kukuta hyu anayejiita ImMrLiverpool ni kijana wa miaka 19 anayejifunza uchawi akiwa bdo kijana mdogo sana🤠🤠...na leo ndo atalia kabisa baada ya Spurs kupata Draw dhidi ya City
🤣🤣🤣🤣🤣 Una Halland, Rodri, Kdb, Foden eti utoe sare na spazi
 
Ally tumia akili usiniquote ili unijibu.

Nimesema kwamba kocha wenu alichofanya ndicho makocha wote wanafanya ila mashabiki mnaandika kama vile hilo ni jambo geni.

Na kuhusu kufundisha timu nishafundisha na sasa hivi nafundisha pia. Tarehe 18 kuna bonanza uwanja wa Hekima njoo
pamoja na yote Wenger orphans kitu mtachobeba msimu huu ni hii tu🤣🤣
IMG-20230521-WA0024.jpg
 
Moja ya kitu kinachonipa matumaini kwamba leo Spurs anaturejeshea nafasi ya kuchukua ubingwa ni rekodi mbovu aliyonayo Guardiola nyumbani kwa Spurs.

Pep Guardiola has never won any premier league match at Tottenham Hotspur Stadium ever since he came to England, out of all 7 visits he has barely managed to collect 2 draws and suffered 5 losses.

Now it is my great anticipation to see our dear neighbours putting their energy to make sure this perennial winless streak prevail... at least this is the only good record they can brag of for us.
 
Moja ya kitu kinachonipa matumaini kwamba leo Spurs anaturejeshea nafasi ya kuchukua ubingwa ni rekodi mbovu aliyonayo Guardiola nyumbani kwa Spurs.

Pep Guardiola has never won any premier league match at Tottenham Hotspur Stadium ever since he came to England, out of all 7 visits he has barely managed to collect 2 draws and suffered 5 losses.

Now it is my great anticipation to see our dear neighbours putting their energy to make sure this perennial winless streak prevail... at least this is the only good record they can brag of for us.
Bt rekodi huwa zinavunjwa mkuu.

Juzi Arsenal imetoka kushinda ugani Old Trafford baada Muda mrefu Sana.Kwa hiyo rekodi huwa zinavunjwa mkuu.
 
Koc
ARSENAL ni TIMU NZURI SANA ila haina Wachezaji Wengi wazuri sana. Mchango wa Mchezaji ndo Unapelekea kutengeneza timu Nzuri! Unaona kikosi cha ARTETA Ni wachache sana wanaweza kuwa STARTERS katika timu zao za TAIFA hasa Mataifa makubwa Kisoka.

Nadhani umemaanisha Ligi ya Uholanzi, UTD & ARSENAL Ni wanufaika wakubwa toka Hii ligi. Mchezaji kupigwa ni Suala la Mifumuko ya Bei na Kukosa watu Makini wa Mpira.

Hoja ni KUDUS, Kama ARSENAL Ingempata Hali ya SAKA Ingekuwa kama Martinelli na Trossard. Wachezaji wa Kiingereza wako na Tabia ya Kujisikia wasipopata Ushindani na SAKA + PALMER wameshaingia kwenye kundi hilo.
Kocha katuonesha ubora wake, ni muda wa wachezaji bora kuonesha thamani ya mwalimu, watu kama rice, odeergad, saliba, ben white wana ubora mkubwa sana, sasa huku kwingine lazima tupate wachezaji wenye ubora mkubwa zaidi. Partey ni bora ila umri kushney, martineli kapoa nilitegemea, ngoja tuone kama atajiongeza, hili hata saka namuona hivyo pia. Anahitajika namba 9 hatari, winga hatari upande wa saka, midfielder mwingine mwenye kuonesha kila alichonacho odeergad, tutakuwa tumepiga hatua kubwa sana, na msimu ujao huenda ndoo tukabeba tena mapema tu. Ila hivi hivi itakuwa changamoto.
 
Moja ya kitu kinachonipa matumaini kwamba leo Spurs anaturejeshea nafasi ya kuchukua ubingwa ni rekodi mbovu aliyonayo Guardiola nyumbani kwa Spurs.

Pep Guardiola has never won any premier league match at Tottenham Hotspur Stadium ever since he came to England, out of all 7 visits he has barely managed to collect 2 draws and suffered 5 losses.

Now it is my great anticipation to see our dear neighbours putting their energy to make sure this perennial winless streak prevail... at least this is the only good record they can brag of for us.
This record ilikuwa kipindi kile golini kunalorris halaf mbele kuna kane.
 
N
Spurs afungwe au asifungwe atajua mwenyewe

Haina haja ya kubebwa na matokeo ya timu zingine wakati games tulizotakiwa kushinda na tungeweza sisi tukapoteza.
Na kwa man city hii, tusitegemee kupata ubingw kwa makosa ya mpinzani bali kwa ubora wetu, game za kipuuzi, hizi na aston villa, 2-2 vs chelsea, game na westham, kuna fulham, Tottenham ile game ya kwanza, ndio zimetuangusha saana,...
 
Back
Top Bottom