Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Screenshot_20240514-235906.png
 
Wakuu usiku mwema... binafsi ndio nimehitimisha rasimi kuangalia mechi za EPL usiku huu kwa msimu huu. Nafikiri tukutane tena msimu ujao kunako majaliwa.

Ila yule mkorea akili hana hata kidogo, na kwa zile papara para zake ndio maana mpaka leo hii hana hata medali ya kikombe cha uji.... mshenzi sana yule ameikosesha dunia furaha
 
Wakuu usiku mwema... binafsi ndio nimehitimisha rasimi kuangalia mechi za EPL usiku huu kwa msimu huu. Nafikiri tukutane tena msimu ujao kunako majaliwa.

Ila yule mkorea akili hana hata kidogo, na kwa zile papara para zake ndio maana mpaka leo hii hana hata medali ya kikombe cha uji.... mshenzi sana yule ameikosesha dunia furaha
Ni dunia gan unaiongelea
😂
 

Attachments

  • FB_IMG_17021997197292803.jpg
    FB_IMG_17021997197292803.jpg
    375 KB · Views: 10
Wakuu usiku mwema... binafsi ndio nimehitimisha rasimi kuangalia mechi za EPL usiku huu kwa msimu huu. Nafikiri tukutane tena msimu ujao kunako majaliwa.

Ila yule mkorea akili hana hata kidogo, na kwa zile papara para zake ndio maana mpaka leo hii hana hata medali ya kikombe cha uji.... mshenzi sana yule ameikosesha dunia furaha
Huyo jamaa ana kombe la mabingwa bara la asia, tena alichukua akiwa captain
 
Wakuu usiku mwema... binafsi ndio nimehitimisha rasimi kuangalia mechi za EPL usiku huu kwa msimu huu. Nafikiri tukutane tena msimu ujao kunako majaliwa.

Ila yule mkorea akili hana hata kidogo, na kwa zile papara para zake ndio maana mpaka leo hii hana hata medali ya kikombe cha uji.... mshenzi sana yule ameikosesha dunia furaha
Daaaaah😂😂😂😂😂
 
Tulikubaliana kila mtu ashinde mechi zake, lawama kwa spurs zinatoka wapi?

Wakati msimu unaanza tuliomba ushirikiano wenu ili kumpindua Pep, tukawa tunawasaidia kumpunguza nguvu city,villa na liverkuku mkatuona sie vilaza mkajiona mna uwezo wa kupambana peke yenu. Sasa tumewaachia mjambe naye wenyewe mmerudi kuomba msaada kwa spurs.

Hamna shukrani nyie, acha sisi tuchukue FA halafu tuonyeshane makabati ya vikombe na sio mambo ya overload na inverted full back (Havertz akiwa national team) kucheza kama CF aisenoo
 
Back
Top Bottom