Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kesho tuanakuja na boli la kufukuza mashabiki wa manyumbu uwanjani.
Mkuu kama ulisahau kupiga picha msimamo wa ligi kabla ya game ya Fulham vs City nasikitika kukwambia kua ndio umeshakosa kumbukumbu ya kumuona tembo juu ya mti.
GCsD1lCXwAANBlV.jpg
 
As of now we've lost 5 games with games left

Last season we lost 6

This tells you we haven't moved an inch into learning our mistakes
Nakubaliana na wewe hapa kwa namna ya mechi tulizopoteza. Ukitaka ubingwa wa ligi, hupaswi kufungwa zaidi ya mechi 3. Na pia hupaswi kutoka sare zaidi ya mechi 3 kwenye ligi yenye Man City ya Guardiola. Yule jamaa ni bonge la mmafia.

Ila kwenye kujifunza, sema tumejitahidi sana pia na kuna kihatua tumepiga. Pamoja na ujinga wa kutoshoot, tumeongeza idadi ya magoli ya kugunga. Kipa wetu kabeba golden glove. Wachezaji wetu wakiangalia msimu huu, watahuzunika kiasi kwa kupoteza ubingwa ila si kama msimu uliopita.

Arteta alianza na kumaliza wa 8 msimu miwili. Akaja kumaliza wa 5. Sasa anaweza kumaliza wa 2 misimu miwili mfululizo. Karika kumaliza wa 2, msimu mmoja aliachwa nyuma points 5, mwingine, huu, anaweza kuachwa kwa points 2.

Arteta ana mambo ya kijinga ila anajitahidi kujifunza na kuimarika mechi hadi mechi na msimu hadi msimu. Wachambuzi kadhaa wanasema hili suala la kujifunza (kwa haraka) ni moja kati ya silaha zake kubwa zinazomtenga yeye na makocha wengine.
 
Nakubaliana na wewe hapa kwa namna ya mechi tulizopoteza. Ukitaka ubingwa wa ligi, hupaswi kufungwa zaidi ya mechi 3. Na pia hupaswi kutoka sare zaidi ya mechi 3 kwenye ligi yenye Man City ya Guardiola. Yule jamaa ni bonge la mmafia.

Ila kwenye kujifunza, sema tumejitahidi sana pia na kuna kihatua tumepiga. Pamoja na ujinga wa kutoshoot, tumeongeza idadi ya magoli ya kugunga. Kipa wetu kabeba golden glove. Wachezaji wetu wakiangalia msimu huu, watahuzunika kiasi kwa kupoteza ubingwa ila si kama msimu uliopita.

Arteta alianza na kumaliza wa 8 msimu miwili. Akaja kumaliza wa 5. Sasa anaweza kumaliza wa 2 misimu miwili mfululizo. Karika kumaliza wa 2, msimu mmoja aliachwa nyuma points 5, mwingine, huu, anaweza kuachwa kwa points 2.

Arteta ana mambo ya kijinga ila anajitahidi kujifunza na kuimarika mechi hadi mechi na msimu hadi msimu. Wachambuzi kadhaa wanasema hili suala la kujifunza (kwa haraka) ni moja kati ya silaha zake kubwa zinazomtenga yeye na makocha wengine.
Pia tumejitahidi kuwafunga washindani wetu wakiwemo Man City.
 
Shekhee Hamis amepotea wapi? Yeye ndo mchambuzi wa uhakika ila akifungwa anakimbia jukwaa....hana kifua. Kabisa.
 
Umemsahau Pep ni shetani wa aina gani?
Sisi tunatakiwa u kujitahidi kushinda mechi zetu ili tujihakikishie kwamaba tumepiga hatua, kwamba msimu huu ni bora kuliko iliyopita. Ila ubingwa ni kitu kisichowezekana katika hali hii.
Spurs anaweza kufanya maajabu
 
Spurs anaweza kufanya maajabu
Tumuombee ila mimi simuamini kabisa.

Tuone leo tutachezaje na manyumbu.
Old trafford pamekuwa mwiba kweyu sana hata pale manyumbu wanapokuwa na wakati mgumu. Si ajabu kuona tumeshinda mara moja tu kati ya 16 pale. Kiushabiki nasema kabisa wale tutawapiga tena sana tu ila sijui huwa nini kinatokea kwetu pale uwanjani kwao.
 
Back
Top Bottom