Camilo_Cienfuegos
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 11,378
- 15,384
We are lucky to have finished the game before pitch was in puddles
Sikumbuki pia Arsenal huko kabla pamoja na ubovu aliowahi kuwa nao alishawahi kumaliza league akiwa na negative(-ve) goal difference. Kitu ambacho nakiona kwa Man utd kinaenda kutokea. Poor Man utdsasa kama mmeshinda kipapatu papatu kwa man u iliyojiishia hii beki casemiro na evans zile nane mtaludisha lini.🤣🤣🤣
Je wajua Wenger orphans ndo timu pekee kubwa pale EPL aina record ya kumfunga man u goal kuanzia 4 toka EPL ianzishwe. tuonane msimu ujao.View attachment 2988893
Sikumbuki pia Arsenal huko kabla pamoja na ubovu aliowahi kuwa nao alishawahi kumaliza league akiwa na negative(-ve) goal difference. Kitu ambacho nakiona kwa Man utd kinaenda kutokea. Poor Man utdsasa kama mmeshinda kipapatu papatu kwa man u iliyojiishia hii beki casemiro na evans zile nane mtaludisha lini.🤣🤣🤣
Je wajua Wenger orphans ndo timu pekee kubwa pale EPL aina record ya kumfunga man u goal kuanzia 4 toka EPL ianzishwe. tuonane msimu ujao.View attachment 2988893
GD aina maana yoyote kama ina maana bebeni kombe.Sikumbuki pia Arsenal huko kabla pamoja na ubovu aliowahi kuwa nao alishawahi kumaliza league akiwa na negative(-ve) goal difference. Kitu ambacho nakiona kwa Man utd kinaenda kutokea. Poor Man utd
Tumekusikia mkuu🤠🤠...tunawashukuru sana kwa mchango wa points 6 msimu huu na goal 4....hamna baya ndugu zetuGD aina maana yoyote kama ina maana bebeni kombe.
Point zitakuwa na maana kama mtatoka na kombe ila bila ivyo mkatafte pakujificha maana na mzigo wa meme na post za shombo za kina hamis77Tumekusikia mkuu🤠🤠...tunawashukuru sana kwa mchango wa points 6 msimu huu na goal 4....hamna baya ndugu zetu
Tumekusikia....karibu j2 pale Emirates tushangilie ubingwa pamoja🤠🤠🤠Point zitakuwa na maana kama mtatoka na kombe ila bila ivyo mkatafte pakujificha maana na mzigo wa meme na post za shombo za kina hamis77
Mnataka tushinde siku ya mother's daykwani tumekua wamama


ndio hapo sasa.Wakuu Flano na allypipi heshima zenu
Kwaniaba ya wadau wa Jukwaa hili, tunawashukuru sana Kwa kuwa nasi kwenye vipindi vyote tulivyopitia hadi leo kucheza mechi yetu ya 37 huku tukijikusanyia alama 86.
Hizi ni alama nyingi uki-compare na alama 84 tulizokusanya Mwaka Jana
Kama Mungu akipenda tunaweza kuchukua Ubingwa Mwaka huu iwapo mpinzani wetu Man City atapoteza Kwa Spurs Jumanne.
Arteta ameonesha anakitu, hivyo iwapo ataendelea kuaminiwa na kupewa muda zaidi huenda akaja kutupatia Ubingwa Siku za hivi karibuni.
Endeleeni kutuombea ndoto yetu itimie
Iwapo tutafanikiwa kushinda Ubingwa nawahaidi kuwapatia Vocha za 10k Kila mmoja katika kusherehekea Ubingwa
COYGs![]()


Kwa Man Utd hii iliyojichokea ya beki John Evans na Casemiro tena bila ya uwepo wa Engine ya team Captain Bruno Fernandez niliamini kabisa leo Arsenyo bila ya kikwazo chochote anaenda kurudisha zile goli 8 tulizomgonga mwaka 2011, kitu cha kushangaza kabisa eti United pamoja na kufungwa kagoli kamoja eti ndio imedominate game. 




Kila mechi Mwalimu huja na mbinu tofauti, kumbuka tumecheza hivi karibu almost michezo 21 hapo OT ni hii miwili ndiyo tumewafungeni hapo kwenuKwa Man Utd hii iliyojichokea ya beki John Evans na Casemiro tena bila ya uwepo wa Engine ya team Captain Bruno Fernandez niliamini kabisa leo Arsenyo bila ya kikwazo chochote anaenda kurudisha zile goli 8 tulizomgonga mwaka 2011, kitu cha kushangaza kabisa eti United pamoja na kufungwa kagoli kamoja eti ndio imedominate game.
United hii iliyojichokea inayogongwa mpaka na kina Crystal Palace 4 - 0 halafu shabiki wa Arsenyau anajisifu kabisa kuifunga goli moja, kikubwa mmejipatia points3 za bure hongereni kwa hilo endeleeni tu kujipea false hopes kwenye game 2 zilizobaki za City huku pia msisahau kutuombea tufungwe kwenye fainali ya FA
Ila na msimu tukibahatika tena kubeba kombe halafu Arsenyo mkatoka mikono mitupu mtafute kabisa sayari ya kwenda kujifichaView attachment 2988908
Mmepoteza point 3 bado mnajisifu?Kwa Man Utd hii iliyojichokea ya beki John Evans na Casemiro tena bila ya uwepo wa Engine ya team Captain Bruno Fernandez niliamini kabisa leo Arsenyo bila ya kikwazo chochote anaenda kurudisha zile goli 8 tulizomgonga mwaka 2011, kitu cha kushangaza kabisa eti United pamoja na kufungwa kagoli kamoja eti ndio imedominate game.
United hii iliyojichokea inayogongwa mpaka na kina Crystal Palace 4 - 0 halafu shabiki wa Arsenyau anajisifu kabisa kuifunga goli moja, kikubwa mmejipatia points3 za bure hongereni kwa hilo endeleeni tu kujipea false hopes kwenye game 2 zilizobaki za City huku pia msisahau kutuombea tufungwe kwenye fainali ya FA
Ila na msimu tukibahatika tena kubeba kombe halafu Arsenyo mkatoka mikono mitupu mtafute kabisa sayari ya kwenda kujifichaView attachment 2988908
WanajifarijiMme
Mmepoteza point 3 bado mnajisifu?
Aya leta takwimu mechi ya kwanza si mlitimiaKwa Man Utd hii iliyojichokea ya beki John Evans na Casemiro tena bila ya uwepo wa Engine ya team Captain Bruno Fernandez niliamini kabisa leo Arsenyo bila ya kikwazo chochote anaenda kurudisha zile goli 8 tulizomgonga mwaka 2011, kitu cha kushangaza kabisa eti United pamoja na kufungwa kagoli kamoja eti ndio imedominate game.
United hii iliyojichokea inayogongwa mpaka na kina Crystal Palace 4 - 0 halafu shabiki wa Arsenyau anajisifu kabisa kuifunga goli moja, kikubwa mmejipatia points3 za bure hongereni kwa hilo endeleeni tu kujipea false hopes kwenye game 2 zilizobaki za City huku pia msisahau kutuombea tufungwe kwenye fainali ya FA
Ila na msimu tukibahatika tena kubeba kombe halafu Arsenyo mkatoka mikono mitupu mtafute kabisa sayari ya kwenda kujifichaView attachment 2988908