City ni rahisi kupoteza game ligi ikiwa inaanza ila sio kipindi kama hiki, sisi liver tulishawahi mfukuza hadi tunafikisha points 90+ lakini bado ndoo hatukubebaCity achana nae kabisa. Huyu jamaa anapoteza mechi akiwa ameshabeba kombe.
Leo GD vs arsenal inaenda kumalizwaGoli la kwanza
City hafai. Tulifanya makosa last season ambayo tulirekebisha this season, ila tukaharibu tena kwa Aston Villa. City hawezi kukuhurumia kabisa ukikosea hivyo.City ni rahisi kupoteza game ligi ikiwa inaanza ila sio kipindi kama hiki, sisi liver tulishawahi mfukuza hadi tunafikisha points 90+ lakini bado ndoo hatukubeba
Kaka you simply meant tumeshindwa fanyia kazi makosa ya msimu uliopita na huo ndiyo ukweliCity hafai. Tulifanya makosa last season ambayo tulirekebisha this season, ila tukaharibu tena kwa Aston Villa. City hawezi kukuhurumia kabisa ukikosea hivyo.
Jinsi goli la City lilivyokua nilitarajia magoli yawe mengi kama mvua.Leo GD vs arsenal inaenda kumalizwa
Not exactly.Kaka you simply meant tumeshindwa fanyia kazi makosa ya msimu uliopita na huo ndiyo ukweli
Spurs ndio kajichokea mpaka baasiNo one expected Fulham to pose any challenge against City. Our hope is on Spurs
Reference hii hapaCity anacheza na Fulham, Westham na spurs.
Antonio alisema wao ndiyo wataamua mshindi wa ligi kwakua wanataka ushindi pia ili waende Europe. Shida ni kwamba wametoka kupigwa 5 na kenge hii inawapa ugumu kwenye hizo ndoto zao.
Spurs imetoka kupigwa 4 kwa 2 na magoli yote yameonyesha lack of defensive awareness na wachezaji muda wote wameswitch kua kwenye transition mode kiasi kwamba wanakosa umakini.
Fulham kihistoria hua hasumbukii ushindi akishaona ana points za kumbakisha ligi kuu. Na anazo 44. Huyu atacheza kwa kurelax no wonder akapigwa vizuri tu kwakua lengo lake ni kubaki ligi kuu na limetimia.
City anataka kupunguza GD amebadili hadi formation kwaajili ya hili. Amekua anashambulia sana kwa kipindi hichi.
Hii inaweza pia kufanya waingie kwenye style ya spurs kwakua timu inayoshambulia sana transition na highline pressing vinaweza kumbeba mpinzani.
Kuna jamaa anauliza sa tufanyeje ili tushinde ligi. For starters how about winning necessary games? Unafungwa na Villa, Westham, Newcastle games ambazo ulitakiwa kushinda no way utakua bingwa kwa ligi ya sasa.
Ambacho nitaona sawa ni ikiwa tutashinda mechi zetu zote zilizobaki. Ili hata citeh akichukua nitasema tulipigana mpaka mwisho.
Siku hizi maiti zinafufuliwa BuzaSpurs ndio kajichokea mpaka baasi
Man U atakushangaza kesho kijana 😂Arsenal inabd tuombee Tot ashinde mechi yake ya Leo pia tuombee Liverpool kesho amfunge Aston villa yakitokea hayo game ya jumanne city lazima wafe