Pamoja na roho mbaya yako, tunasubiria pongezi za ilaaa..Sio kwa ubaya. Ila tunakumbushana tuu
Expectation vs Reality
1. Carabao cup : ❌❌❌❌🔞🔞🔞🔞
2:EPL loading : VILIO VINAKARIBIA
3: UEFA loading: ❌❌❌❌🔞🔞🔞🔞
4: FA Cup': ❌❌❌❌🔞🔞🔞🔞
Ni sahihi kuna game kila ukizifikiria unatamani ufukuze timu yote.N
Na kwa man city hii, tusitegemee kupata ubingw kwa makosa ya mpinzani bali kwa ubora wetu, game za kipuuzi, hizi na aston villa, 2-2 vs chelsea, game na westham, kuna fulham, Tottenham ile game ya kwanza, ndio zimetuangusha saana,...
Mara ngapi City amekufa na hao wakiwepo. Ama unajitoa akili tu na roho mbaya yako.🤣🤣🤣🤣🤣 Una Halland, Rodri, Kdb, Foden eti utoe sare na spazi
Sasa ukute jamaa wanavyomsifia Klopp utasema anawapa ubingwa kila mwaka 😂😂We jamaa ni fala tabaka la juu kabisa. Mwenye mentality ya ubingwa ni Klopp au sio?
Ambaye since 2015 mpaka sasa, msimu wa 9 ana EPL moja.
Klopp akiwa Liverpool
2015/16 Hola
16/17 Hola
17/18 Hola
18/19 Hola
19/20 Ndo hapa kapata kombe la Corona
20/21 Hola
21/22 Hola
22/23 Hola
23/24 Hola
Huyu Klopp, wakati anakuja Liverpool ilibidi asubiri miaka minne ndo apate kombe lake la kwanza la ligi. Baada ya hapo kaendelea kusugua. Na wengi wa mashabiki wa Liver mliufyata kimya.
Klopp anakuja Liverpool akiwa ni kocha mzoefu kabisa, kashacheza mpaka fainali ya UCL.
Miaka 9, EPL moja
City hii game anashinda. Ba ubingwa wanachukua. Huu ni ukweli mchungu.Yale makelele ya "Arteta sio kocha" mbona siyasikii? Tuache ujuaji kwenye professional za watu.
Erik Ten Hag kocha la makocha anamaliza utawala wa PepCity hii game anashinda. Ba ubingwa wanachukua. Huu ni ukweli mchungu.
City wataendekea kudominate pl mpaka pep aondoke.
Gaps kubwa sana pembeni, haswa upande wa kulia ambapo Kyle maspidi ya duma Walker anajiachia tu. Hawa wataadhibiwa muda si mrefu.Wanacheza vizuri hawaachi gaps . 115fc kawaachia mpira anasubiri wakosee kuna muda walionyesha wanakosea ila kipindi cha kwanza bahati imekua upande wao.
Huyu ambaye washaanza kumletea majungu ili united wamtimue!!! Timu nayoiona inakuja kuleta upinzani kwa city ni chelsea.Erik Ten Hag kocha la makocha anamaliza utawala wa Pep
Wana wachezaji gani wa kumzuia Aston Vill
🤣🤣🤣🤣🤣 Una Halland, Rodri, Kdb, Foden eti utoe sare na spaziUnaweza kukuta hyu anayejiita ImMrLiverpool ni kijana wa miaka 19 anayejifunza uchawi akiwa bdo kijana mdogo sana🤠🤠...na leo ndo atalia kabisa baada ya Spurs kupata Draw dhidi ya City