Tulia wewe mtoto mdogo, Shows za wakubwa hiziWametuuza hawa kama walivyotarajia
Yamekuwa maombi ya hivi tena hahahahahaaaa, Maombi ya kunimaliza.Spurs anapambania top4, akishindwa sisi haituhusu. London tutakuwa wenyewe Uefa.
Ozil naye alishindwa aje awape kai na saka 😄😄😄Ameshindwa kuwapa ubingwa fabregas eti aje partey ndio awape 🤣🤣🤣🤣