Nimewashangaa sana mashabiki wa matofalini kuona ni kitu cha kuongelea sana Casemiro kucheza CB mpaka kutubeza kwa ishindi mwembamba tuliopata na wakati ni kitu ambacho siku zote kinatarajiwa pale timu inapokuwa ina crisis kwenye backline yake.Xhaka kashacheza LB
Fabio akiwa liva kashaceza CB.
Kimmich kacheza CB.
Alaba anafika Bayern ni DM ila akawekwa CB.
Kama hauelewi maana ya DM ni Defensive Midfielder means anajua kila kitu kwenye standing tackles, interceptions, ball carrying, sliding tackles n.k.
Ikatokea huna beki the next option unayokua nayo ni DM. Timu nyingi zimechezesha DMs kama mabeki nyumbu hua nasema hawajui mpira so kwao wanahisi ni jambo la ajabu.
Kuna beki wanachezea mpira vizuri mpaka wanapelekwa kua viungo mfano Kimmich, Alaba na kuna kipindi mashabiki wa liva walisuggest Trent awekwe kama CM. Ni sawa na sisi tulivyotamani White apelekwe Midfield.
Muwe mnaelewa kwanini kwangu ni ngumu kuongea mpira na mashabiki wa kenge na nyumbu
Tuliwahi kuona Henderson akicheza CB karibu msimu mzima kipindi Liverpool wamekosa VVD, hata juzi hapa tumeona Real madrid wakimtumia Tchoumen baada ya kuwakosa Alaba na Miltao kwa kipindi kirefu.
Yaani sijui kwanini hata wanataka lionekane ni suala la ajabu.... hii inaonesha ni jinsi gani wasivyowaamini wachezaji wao na wasipopoteza mechi kwa scoreline kubwa hasa kwa timu tishio kwao ni mafanikio.
Pathetic fanbase indeed