999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Spurs Striker wao wote wajeruhi. Mmesikia nyie mashabiki wa spurs
Spurs Striker wao wote wajeruhi. Mmesikia nyie mashabiki wa spurs
Miaka 20 hamna epl hivi hamna hata mshipa wa aibu?Huyo kuku hapo juu tangu upepo wao ukate amehamia kwenye kupiga ramli tu
Kutoka quadruple to Energy drink parade
Nimewashangaa sana mashabiki wa matofalini kuona ni kitu cha kuongelea sana Casemiro kucheza CB mpaka kutubeza kwa ishindi mwembamba tuliopata na wakati ni kitu ambacho siku zote kinatarajiwa pale timu inapokuwa ina crisis kwenye backline yake.Xhaka kashacheza LB
Fabio akiwa liva kashaceza CB.
Kimmich kacheza CB.
Alaba anafika Bayern ni DM ila akawekwa CB.
Kama hauelewi maana ya DM ni Defensive Midfielder means anajua kila kitu kwenye standing tackles, interceptions, ball carrying, sliding tackles n.k.
Ikatokea huna beki the next option unayokua nayo ni DM. Timu nyingi zimechezesha DMs kama mabeki nyumbu hua nasema hawajui mpira so kwao wanahisi ni jambo la ajabu.
Kuna beki wanachezea mpira vizuri mpaka wanapelekwa kua viungo mfano Kimmich, Alaba na kuna kipindi mashabiki wa liva walisuggest Trent awekwe kama CM. Ni sawa na sisi tulivyotamani White apelekwe Midfield.
Muwe mnaelewa kwanini kwangu ni ngumu kuongea mpira na mashabiki wa kenge na nyumbu
Hao hao manyumbu wanakuja kucheka cheka na kutuuliza kwa nini tumewafunga moja tu na timu yao ile.Mfano kati ya beki wanne unao watatu kama wewe ni kocha kwanini hauchezi back 3?
Hua nasema kama timu beki mbovu basi hizo forwards zitengeneze chances na kuonyesha ni threat kwa defence pinzani.
Mpira siyo uchawi hauchezwi gizani kila mtu anaona, kama forwards zako ni upuuzi dunia nzima inaona. Kama beki ni upuuzi dunia nzima inaona.
Fools are hating but what can we do? Wanachukia sisi kufunga set pieces nyingin, wanachukia points tulizonazo na hawawezi kuzifikia, wanachukia threads zao hakuna anayeenda.
Wewe unachojua ni kupiga mdomo tu maana sidhani kama umewai fundisha timu yoyote ya mpira hapa unataka kusema wewe ni bora kuliko benchi nzima la Manchester United.Mfano kati ya beki wanne unao watatu kama wewe ni kocha kwanini hauchezi back 3?
Hua nasema kama timu beki mbovu basi hizo forwards zitengeneze chances na kuonyesha ni threat kwa defence pinzani.
Mpira siyo uchawi hauchezwi gizani kila mtu anaona, kama forwards zako ni upuuzi dunia nzima inaona. Kama beki ni upuuzi dunia nzima inaona.
Fools are hating but what can we do? Wanachukia sisi kufunga set pieces nyingin, wanachukia points tulizonazo na hawawezi kuzifikia, wanachukia threads zao hakuna anayeenda.
Xhaka kashacheza LB
Fabio akiwa liva kashaceza CB.
Kimmich kacheza CB.
Alaba anafika Bayern ni DM ila akawekwa CB.
Kama hauelewi maana ya DM ni Defensive Midfielder means anajua kila kitu kwenye standing tackles, interceptions, ball carrying, sliding tackles n.k.
Ikatokea huna beki the next option unayokua nayo ni DM. Timu nyingi zimechezesha DMs kama mabeki nyumbu hua nasema hawajui mpira so kwao wanahisi ni jambo la ajabu.
Kuna beki wanachezea mpira vizuri mpaka wanapelekwa kua viungo mfano Kimmich, Alaba na kuna kipindi mashabiki wa liva walisuggest Trent awekwe kama CM. Ni sawa na sisi tulivyotamani White apelekwe Midfield.
Muwe mnaelewa kwanini kwangu ni ngumu kuongea mpira na mashabiki wa kenge na nyumbu
Ally tumia akili usiniquote ili unijibu.Wewe unachojua ni kupiga mdomo tu maana sidhani kama umewai fundisha timu yoyote ya mpira hapa unataka kusema wewe ni bora kuliko benchi nzima la Manchester United.
Na nyie tafuteni kocha wa makombeHawa kuku wakishabadilisha kocha inabidi wabadilishe na kipa pia
Aisee we jamaa ondoka kabisa huku usionekane kamwe. Hovyo kabisa nyie. Yaani mmemwachiaje Aston Villa bhana?Na nyie tafuteni kocha wa makombe
Wana wachezaji gani wa kumzuia Aston Villa?Aisee we jamaa ondoka kabisa huku usionekane kamwe. Hovyo kabisa nyie. Yaani mmemwachiaje Aston Villa bhana?
Tunasubiri kocha wenu wa makombe afike aonyeshwe ile ligi imeundwa na nini hadi mkasubiri miaka 30 kupata kombeNa nyie tafuteni kocha wa makombe
🤣🤣🤣🤣Tulitaka tuwakomesheAisee we jamaa ondoka kabisa huku usionekane kamwe. Hovyo kabisa nyie. Yaani mmemwachiaje Aston Villa bhana?
Unaona sasa wote tumekosa ubingwa kizembe?🤣🤣🤣🤣Tulitaka tuwakomeshe
We have to learn our lesson the hard way.Unaona sasa wote tumekosa ubingwa kizembe?
Unaweza kukuta hyu anayejiita ImMrLiverpool ni kijana wa miaka 19 anayejifunza uchawi akiwa bdo kijana mdogo sana🤠🤠...na leo ndo atalia kabisa baada ya Spurs kupata Draw dhidi ya CityUnaona sasa wote tumekosa ubingwa kizembe?
The only way Spurs anaweza kwenda CL ni ikiwa atamfunga City tu na si kingine.Unaweza kukuta hyu anayejiita ImMrLiverpool ni kijana wa miaka 19 anayejifunza uchawi akiwa bdo kijana mdogo sana🤠🤠...na leo ndo atalia kabisa baada ya Spurs kupata Draw dhidi ya City