Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,227
- 76,750
Mfano kati ya beki wanne unao watatu kama wewe ni kocha kwanini hauchezi back 3?
Hua nasema kama timu beki mbovu basi hizo forwards zitengeneze chances na kuonyesha ni threat kwa defence pinzani.
Mpira siyo uchawi hauchezwi gizani kila mtu anaona, kama forwards zako ni upuuzi dunia nzima inaona. Kama beki ni upuuzi dunia nzima inaona.
Fools are hating but what can we do? Wanachukia sisi kufunga set pieces nyingin, wanachukia points tulizonazo na hawawezi kuzifikia, wanachukia threads zao hakuna anayeenda.
Hua nasema kama timu beki mbovu basi hizo forwards zitengeneze chances na kuonyesha ni threat kwa defence pinzani.
Mpira siyo uchawi hauchezwi gizani kila mtu anaona, kama forwards zako ni upuuzi dunia nzima inaona. Kama beki ni upuuzi dunia nzima inaona.
Fools are hating but what can we do? Wanachukia sisi kufunga set pieces nyingin, wanachukia points tulizonazo na hawawezi kuzifikia, wanachukia threads zao hakuna anayeenda.