Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Rice anatakiwa kucheza hapo hapo 8, chini yake tupate jitu lenye mpira wa kipartey partey.
Hapo ndo penyewe kabisa na ndo kutamfanya kushine zaid na zaid, namuona akitengeneza nafasi nyingi, akifunga sana kwenye 8, ila kupata replacement ya Partey daah sio rahis aisee yule mwamba ni habari nyingine kabisa
 
Tatizo kubwa la Chelsea ni boss wao Boehly, wakati anainunua hii timu yeye alikua anajua amenunua timu ya Cricket ndio maana akamtimua Tuchel na kuwaletea makocha wa Kihindi.
Haya matokeo yamenifurahisha kitu kimoja, yatamtoa Masingeli huko vichakani na kumrudisha humu aendeleze zile false hopes
Na pia unafurahi chelkenge kushindwa kuwanyang'anya nafasi ya 7.
 
Yaan hii Arsenal pamoja na kuwa ndo timu ilofunga magoli mengi zaidi lakini haijaweka top scorer 4 ktk ligi. What a team work. 💪🏼
Na bado kuna watu wataleta vitakwimu vya ufungaji wa vichezaji vyao humu. Tunahitaji striker katili ila zaidi tunahitaji mfumo huu uliopo uimarike na udumu.
 
Hapo ndo penyewe kabisa na ndo kutamfanya kushine zaid na zaid, namuona akitengeneza nafasi nyingi, akifunga sana kwenye 8, ila kupata replacement ya Partey daah sio rahis aisee yule mwamba ni habari nyingine kabisa
Wakituliz akili watapata mbadala wa partey, wachezaji wazuri wapo muhimu scouting ya kutosha.

Partey majeruhi ndio yamemponza, trip shamba, trip gereji.
 
Wakituliz akili watapata mbadala wa partey, wachezaji wazuri wapo muhimu scouting ya kutosha.

Partey majeruhi ndio yamemponza, trip shamba, trip gereji.

partey role yake timber pia anaiweza.. arteta akituliza akili vizuri.. timber anaeza kuwa kiraka mzuri tu.

rice pia anaweza kufanya majukumu ya partey.. kuwa juu ya CBs na pia ata kwenye majukumu yake yeye ya rice kama jinsi sasaivi anavocheza pia timber
nae anaweza kufanya vizuri.
 
partey role yake timber pia anaiweza.. arteta akituliza akili vizuri.. timber anaeza kuwa kiraka mzuri tu.

rice pia anaweza kufanya majukumu ya partey.. kuwa juu ya CBs na pia ata kwenye majukumu yake yeye ya rice kama jinsi sasaivi anavocheza pia timber
nae anaweza kufanya vizuri.
Kama mnataka ushindi kwenye makombe ya msingi siyo sahihi kujaribisha watu.

Kuna kipindi tulitamani White awe DM ila Arteta hakuwahi kumpa hiyo namba na sidhani kama atagewa Timber.

Trent alionekana mzuri eneo la kiungo mpaka akaanzishwa hilo eneo ikaonekana zile ni fantasies tu ila hutakiwi kumpa namba hapo.
 
Wazee utani kidogo tuu mmetushushia kipigo heavy aisee, tuongezeeni basi pesa kidogo kwa Kai, acheni ubahili.
20240424_004709.jpg
 
Wote waliotucheka kutoka UEFA na kupokea kipigo Cha Bayern.
Lazima watalipa yale machungu

Nyumbu jiandae kwa KONO LA NYANI
naona mmeshiba makande mmeanza kubwabwaja sasa yani nyie toka EPL ianze amna record ya kutufunga hata goal 4 na kuendelea ile ni OT wewe mkora kuwa makini.

usije ukakimbia jukwaa kama ndugu yako.
 
Best Chelsea squad ambayo Tuchel alisema itaogopwa dunia nzima iliifunga Arsenal mbovu 2 - 0 first leg.

Second leg wakafa pakiti.

Kwa msimu 23/ 24 Arsenal ni miongoni mwa timu ambazo zimewapa timu nyingi their biggest loss of the season.

Billion squad ya Boehly imeshindwa kupiga pasi zaidi ya 3 mfululizo kwenda mbele. Hii timu wakati nasema inahitaji kocha Hamiss77 alisema Pochettino ni kocha mzuri.

For the last time hamis77 Pochettino siyo kocha
 
Bado mechi 2 tukutane🤠🤠..yle mzee wa Breaking bad atatafuta mlango wa kutokea siku hyo....nyny kono la Sokwe linawahusu....Chelkenge wenzenu walibisha hvihvi ila yamewakuta ya kuwakuta bdo nyny....pambafu sana
naona mmeshiba makande mmeanza kubwabwaja sasa yani nyie toka EPL ianze amna record ya kutufunga hata goal 4 na kuendelea ile ni OT wewe mkora kuwa makini.

usije ukakimbia jukwaa kama ndugu yako.
A
 
Kabisa anachofanya Rice kwenye 8 ni vitu tunavyomis kama akicheza 6..

Huu mjadala niliuona umu ndani wakati ligi haijaanza pale tu tulipomsajili Rice.
Kwasababu Ile role ya no. 6 inamfaa zaidi mtu mnyumbulifu na passer mzuri kama Partey

Rice uzuri wake upo zaidi kwenye kukaba na kutembea na mpira.
 
Back
Top Bottom