makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,820
- 103,876
Rice anatakiwa kucheza hapo hapo 8, chini yake tupate jitu lenye mpira wa kipartey partey.Kabisa anachofanya Rice kwenye 8 ni vitu tunavyomis kama akicheza 6..
Huu mjadala niliuona umu ndani wakati ligi haijaanza pale tu tulipomsajili Rice.

