HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,631
- 7,027
Na pia unafurahi chelkenge kushindwa kuwanyang'anya nafasi ya 7.Tatizo kubwa la Chelsea ni boss wao Boehly, wakati anainunua hii timu yeye alikua anajua amenunua timu ya Cricket ndio maana akamtimua Tuchel na kuwaletea makocha wa Kihindi.
Haya matokeo yamenifurahisha kitu kimoja, yatamtoa Masingeli huko vichakani na kumrudisha humu aendeleze zile false hopes![]()

