Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 10,553
- 19,748
Jorginho atabaki Arsenal msimu ujao.
Amesaini mkataba mpya nadhani wa mwaka mmoja.
Amesaini mkataba mpya nadhani wa mwaka mmoja.
Sio mbaya, mo elneny aliongezewa mkataba na muda mwingi alikua akiutumia benchi/wodini ila Jorginho yeye anakupa guarantee ya kucheza maana sio injury proneJorginho atabaki Arsenal msimu ujao.
Amesaini mkataba mpya nadhani wa mwaka mmoja.
Elneny aliumia vibaya ndiyo maana tukamuongezea mkataba ili apate nafasi ya kupona na kurudi katika hali yake na aweze kupata timu. Bila hivyo, Arsenal waliogopa career yake itaisha . Nafikiri pia ameanza mafunzo ya ukocha muda sasa. Anaweza kujikuta anafundisha U16s au U18s.Sio mbaya, mo elneny aliongezewa mkataba na muda mwingi alikua akiutumia benchi/wodini ila Jorginho yeye anakupa guarantee ya kucheza maana sio injury prone
Ni katika harakati za kukumbushana tuu, tusichukiane wakuu.Kukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.
1. CARABAO: MMETOLEWA❌❌❌❌
2. FA CUP: MMETOLEWA❌❌❌❌
3. UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MMETOLEWA❌❌❌❌
4. PREMIER LEAGUE: BADO MNADANGANYANA MTASHINDA(🔞🔞🔞🔞)
Leo ile naingia X nakutana na kioja cha mwaoa 2024
🚨🚨| NEW: Arsenal have confirmed they will hold a Premier League trophy open top bus parade on Monday the 20th May if they win the title. 😮🏆
View: https://twitter.com/centregoals/status/1788692974538235914?t=gJvq9vdjEpgxg54_lfKqiA&s=19
cc Flano Mkohoti
Leo ile naingia X nakutana na kioja cha mwaoa 2024
🚨🚨| NEW: Arsenal have confirmed they will hold a Premier League trophy open top bus parade on Monday the 20th May if they win the title. 😮🏆
View: https://twitter.com/centregoals/status/1788692974538235914?t=gJvq9vdjEpgxg54_lfKqiA&s=19
cc Flano Mkohoti
Unateseka ukiwa wapi ewe kuku mwenye kideriXhaka's last loss was in Arsenal's Shirt. Kenge nyie.
Unaeza mpiga Manjestaa wewe ,Nyumbu apigwe ngapi?
Binafsi nashauri apigwe 5, kuweka sawa GD
Bingwa wa msimu huu ataamauliwa na GD
Leo ile naingia X nakutana na kioja cha mwaoa 2024
🚨🚨| NEW: Arsenal have confirmed they will hold a Premier League trophy open top bus parade on Monday the 20th May if they win the title. 😮🏆
View: https://twitter.com/centregoals/status/1788692974538235914?t=gJvq9vdjEpgxg54_lfKqiA&s=19
cc Flano Mkohoti
Huyu jamaa wa nyuma ni kama vile haamini anachokiona..uo m'binuko siyo powa 😂😂😂😂😂Hizi kondoo zinafikiri ubingwa ni hayo hapo kwenye picha.View attachment 2986708
Itapendeza na wao wakipata kono la nyani kama wenzao ze blauz, tena bila ya kugusa nyavu zenu.View attachment 2987318
Hizi kima nyumbuz, hiyo jpili tuzipige ngapi wadau?