Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kaangalie takwimu kaka. Saliba hakuna beki mule kama unabisha muulize Didier Dechamp
Ngoja nikacheki, lakini suala la kucahgua mchezaji wa kocha ni mapenzi yake.. giroud vs benzema, tchoumeni vs camavinga, kai vs jesus, mjomba NTIBAZOKIZA 🤣
 
Bila hili kombe ,shabiki yeyote WA Arsenal Hakuna kitu anaweza nambia kabisa😂
 

Attachments

  • mancity-20231213-0002.jpg
    mancity-20231213-0002.jpg
    158.5 KB · Views: 8
Sio mbaya, mo elneny aliongezewa mkataba na muda mwingi alikua akiutumia benchi/wodini ila Jorginho yeye anakupa guarantee ya kucheza maana sio injury prone
Elneny aliumia vibaya ndiyo maana tukamuongezea mkataba ili apate nafasi ya kupona na kurudi katika hali yake na aweze kupata timu. Bila hivyo, Arsenal waliogopa career yake itaisha . Nafikiri pia ameanza mafunzo ya ukocha muda sasa. Anaweza kujikuta anafundisha U16s au U18s.
 
Kukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.

1. CARABAO: MMETOLEWA❌❌❌❌

2. FA CUP: MMETOLEWA❌❌❌❌

3. UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MMETOLEWA❌❌❌❌

4. PREMIER LEAGUE: BADO MNADANGANYANA MTASHINDA(🔞🔞🔞🔞)
Ni katika harakati za kukumbushana tuu, tusichukiane wakuu.

Kukumbushana tu ndugu zetu vibwengo wa arteta.

1. CARABAO: MMETOLEWA❌❌❌❌

2. FA CUP: MMETOLEWA❌❌❌❌

3. UEFA CHAMPIONS LEAGUE: MMETOLEWA❌❌❌❌

4. PREMIER LEAGUE: BADO MNADANGANYANA MTASHINDA(🔞🔞🔞🔞)
 
Leo ile naingia X nakutana na kioja cha mwaoa 2024

🚨🚨| NEW: Arsenal have confirmed they will hold a Premier League trophy open top bus parade on Monday the 20th May if they win the title. 😮🏆



View: https://twitter.com/centregoals/status/1788692974538235914?t=gJvq9vdjEpgxg54_lfKqiA&s=19

cc Flano Mkohoti

Sasa hao wachawi iliowatag hapo, unawaita kwa sababu gani?

😀 😀

Sisi tumesema tu 'ikitokea tumeshinda', tutapiga bonge moja la parade. Hatujasema 'tutashinda na kufanya bonge la parade'.
 

Attachments

  • 20240510_011222.jpg
    20240510_011222.jpg
    205.1 KB · Views: 9
Nyumbu apigwe ngapi?
Binafsi nashauri apigwe 5, kuweka sawa GD

Bingwa wa msimu huu ataamauliwa na GD
 
Back
Top Bottom