Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Life's not fair kabisa, wakati Nyumbu fc tukiwa tuna bweka kuhusu wachezaji wetu pamoja na Baba Ubaya, kina Sancho na Sabitzer wao wanaenda kucheza fainali ya Uefa Champions League.
1715176925034.jpg
 
Arse8 ya arsene Wanger sahii ingekuwa tayari na kombe lolote kubwa musimu ..ila hili group la arteta Sasa ..liko kwenye peak hakuna maelezo halafu linamaliza ligi bila kombe lolote lile ..zaid ya shiling ile ya ngao ya jamii😀😀
 
Yani mukaliwa😳😳
Soma ulichoandika kisha fananisha na ulicholenga.
Kukusaidia, mie sio shabiki wa liver mie ni arsenal. Nimemjibu huyo wa liver aliyesema tuchukue nunez, ndio nikamwambia nunez anahitaji vitu vidogo tu, akitulia basi watu watamshangaa, ni kama lile chizi lenu jackson, likituliza kichwa tu, watu watamkataa kama ndio jackson waliyemzoea
 
Soma ulichoandika kisha fananisha na ulicholenga.
Kukusaidia, mie sio shabiki wa liver mie ni arsenal. Nimemjibu huyo wa liver aliyesema tuchukue nunez, ndio nikamwambia nunez anahitaji vitu vidogo tu, akitulia basi watu watamshangaa, ni kama lile chizi lenu jackson, likituliza kichwa tu, watu watamkataa kama ndio jackson waliyemzoea
Msimu ujao Jackson atakuwa ni kama Kai watatu, unajua akija Emirates hakosi namba kabisa ..
 
Back
Top Bottom