Tuandamane tukamlete kwa nguvu.Pamoja na Manyumbu kupigwa vile, bado Hamisi hataki kuja huku wala kwenda unyumbuni kupiga spana...
Mimi hata simkubali huyu mwamba ila acha nifanye kazi ya shbiki wake mkubwa, Hamisi...
View attachment 2984276
Inaelekea jamaa ana kitu...




Mnajifanya mnajua kununua magarasa na kuyaboresha haya Núñez uyo hatutaki pesa nyingi milioni 20 tu
Unakatwa na Laccazete 😂😂😂😂🤣Ollashoga mama la mama
Yani mukaliwa😳😳Nunez anaweza kutula na kila mtu akamshangaa
Ollashoga mama la mamaUnakatwa na Laccazete 😂😂😂😂🤣
Soma ulichoandika kisha fananisha na ulicholenga.Yani mukaliwa😳😳
Msimu ujao Jackson atakuwa ni kama Kai watatu, unajua akija Emirates hakosi namba kabisa ..Soma ulichoandika kisha fananisha na ulicholenga.
Kukusaidia, mie sio shabiki wa liver mie ni arsenal. Nimemjibu huyo wa liver aliyesema tuchukue nunez, ndio nikamwambia nunez anahitaji vitu vidogo tu, akitulia basi watu watamshangaa, ni kama lile chizi lenu jackson, likituliza kichwa tu, watu watamkataa kama ndio jackson waliyemzoea
Unakatwa na Laccazete 😂😂😂😂🤣Ollashoga mama la mama
Ollashoga mama la mamaUnakatwa na Laccazete 😂😂😂😂🤣
Yule jamaa ni mchezaji hatari sanaNunez anaweza kutula na kila mtu akamshangaa
VVD yupo hapo kwa sababu ya lile bonge la assist aliloshirikiana na Allison kumpa Martinelli.View attachment 2985790kenge saliba na kenge Gabriel walitaka wawemo humu🤣🤣🤣 VVD atabaki kuwa the best CB kwenye epl kenge wakubwa nyie