OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,931
- 25,245
Huyu jamaa wa nyuma ni kama vile haamini anachokiona..uo m'binuko siyo powa 😂😂😂😂😂Hizi kondoo zinafikiri ubingwa ni hayo hapo kwenye picha.View attachment 2986708
Huyu jamaa wa nyuma ni kama vile haamini anachokiona..uo m'binuko siyo powa 😂😂😂😂😂Hizi kondoo zinafikiri ubingwa ni hayo hapo kwenye picha.View attachment 2986708
Itapendeza na wao wakipata kono la nyani kama wenzao ze blauz, tena bila ya kugusa nyavu zenu.View attachment 2987318
Hizi kima nyumbuz, hiyo jpili tuzipige ngapi wadau?
Arsenal gani imecheza Europa msimu huu?View attachment 2986461Mnachekesha sana kenge pori nyie.
Sisi tunasimama pamoja na Manjestaa..Kenge na nyumbu unganeni mtengeneze squad yenu. Mkitufunga mnachukua points 6 mgawane
Tukishinda tukachukua points zetu 3 tu
Saliba hakuna beki?!Kaangalie takwimu kaka. Saliba hakuna beki mule kama unabisha muulize Didier Dechamp
Mimi bado nawahesabia na Spurs, sijawakatia tamaaHii game ndo ya city kupoteza au kudraw je sisi tunaweza shinda game zetu zilizobaki?
City achana nae kabisa. Huyu jamaa anapoteza mechi akiwa ameshabeba kombe.Hii game ndo ya city kupoteza au kudraw je sisi tunaweza shinda game zetu zilizobaki?
Spurs sisi tulikuwa tumpige 3-0 kwake. Chelkenge wamempiga. Livakuku wamempiga. Sioni kama anafaa kuaminiwa. Akishaona hawezi kupata top 4, ataona bora apigwe ili Arsenal isibebe kombe.Mimi bado nawahesabia na Spurs, sijawakatia tamaa
Kama wakishindwa kukaza basi wawaumize hata wachezaji saba tuWakuu vipi, Fulham wanaaminika?