arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Tena kama kile ki Cucurella chepesi unaweza kukibeba ukakitundika kwny Mwamba wa juu wa goli kabisa
TAfuteni mabeki wa kueleweka siku hyo...lawama hatutakiSet piece ambayo mchezaji anaweza kumsogelea kipa bila kua offside ni kona tu.
So katika magoli 23+ ya set pieces ya Arsenal kona ni ngapi? Free kicks ngapi?
Kuna mechi ya Arsenal ilikua ni kona Ramsdale alitokea mchezaji wa timu pinzani akasimama mbele ya Ramsdale kipa akashindwa kuufikia mpira ile kona ikaingia moja kwa moja.
Ikifika muda wa kureturn favour itakua kichekesho tukiwaangalia usoni.
White ataendelea kuwavua gloves makipa, ataendelea kumsukuma Cucurella kila wakikutana.
Hawa wakora walianza kuwaza kwamba tutawafanyia hii kitu mwishon mwa msimu Wenger orphans mlikuwa na matumaini makubwa kuwa mpaka mnacheza na sisi man u mtakuwa mshanyanyua kwapa🤣🤣🤣
Muulizeni shoga yenu Liverpool alimaliza ligi kafungwa game 1 tu na point 97 na ubingwa akubeba.
Kilicho baki sisi vijana wa Bwenyenye Sir Jim ni kupigilia msumali wa mwisho siku ya Jumapili.
Mungu awezi ruhusu ili litokee kabisa sisi kuwapigia nyie makofi Mungu wetu sio mkatili ivyo.
View attachment 2981381
