HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Muangalie vizuri. Siku hizi anajiweka tu mbele ya kipa.Unakuwaga rational kwenye kujadili soka, Benwhite bado anaendelea kuwagonga makipa na imechafua hali ya hewa kabisà. Inafanya marefa wa EPL wadharaulike kabisa