hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,261
- 26,648
Huyu kocha ana mdomo sana ,inatakiwa siku hiyo ni kuwapiga Pini ,piga msako sana ,
Erik Ten Hag after beating Liverpool YESTERDAY:
“At Arsenal, the fourth game of the season - we should have had a penalty in the 87th minute, we scored with Garnacho, disallowed. Then we concede a goal that should always have been disallowed.” 🥱 #afc
Bora Chelsea Huwa Wana turn up na wanaweza kukupa game ngumu, sio Hawa manjesta, Jana Liverpool walipoongoza 2-1 , wakawa wanacheza tu muda uishe ,walikuwa wanaweza kuwapiga hata goli zaidi ,
Huo ujinga Arsenal hatuna ,ukiingia kwenye mfumo tunakulamba za kutosha
Cheki wanavyoaacha manafasi halafu sio mara moja ,
Unahitaji pasi 1 had 3 kufika golini kwao
Kabla msimu haujaisha ,manjesta atapigwa 5-0 had 6-0
Bado Kuna timu zinafanya utani sana
Erik Ten Hag after beating Liverpool YESTERDAY:
“At Arsenal, the fourth game of the season - we should have had a penalty in the 87th minute, we scored with Garnacho, disallowed. Then we concede a goal that should always have been disallowed.” 🥱 #afc
Bora Chelsea Huwa Wana turn up na wanaweza kukupa game ngumu, sio Hawa manjesta, Jana Liverpool walipoongoza 2-1 , wakawa wanacheza tu muda uishe ,walikuwa wanaweza kuwapiga hata goli zaidi ,
Huo ujinga Arsenal hatuna ,ukiingia kwenye mfumo tunakulamba za kutosha
Cheki wanavyoaacha manafasi halafu sio mara moja ,
Unahitaji pasi 1 had 3 kufika golini kwao
Kabla msimu haujaisha ,manjesta atapigwa 5-0 had 6-0
Bado Kuna timu zinafanya utani sana

USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
