Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mpira bwana

Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.

Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya counter na transition kwenye low block haruki.

Hata wiki haijaisha proof hii hapa.

Mateta hua namuona miyeyusho eti leo ndiye kawanyima usingizi hawa mijusi. Kuna mtu anazurura kusumbua watu mara chelsea atawafanya hiki na kile yeye leo kapigwa ndonga mbili kalegea
 
Mpira bwana

Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.

Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya caounter na transition kwenye low block haruki.

Hata wiki haijaisha proof hii hapa.

Mateta hua namuona miyeyusho eti leo ndiye kawanyima usingizi hawa mijusi. Kuna mtu anazurura kusumbua watu mara chelsea atawafanya hiki na kile yeye leo kapigwa ndonga mbili kalegea
Mijusi wamekamuliwa na Mateta sio🤣🤣🤣
 
Matarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.

Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.

So again this season, we're against everyone.
 
Matarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.

Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.

So again this season, we're against everyone.
😎😲🤣 emirates league au
 
Mwaka jana tulipopoteza uongozi wa points tano tuliitwa 'bottlers'

Mwaka huu liverpunda wamepoteza wao uongozi wa points tano kwetu, nane kwa city wanasema 'wame-overperform'

It is what it is
20240425_020418.jpg
 
Mpira bwana

Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.

Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya counter na transition kwenye low block haruki.

Hata wiki haijaisha proof hii hapa.
Ni vizuri kuwa na wachezaji wa profile tofautitofauti, tutakuwa unpredictable
 
Matarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.

Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.

So again this season, we're against everyone.
Honestly kwangu mimi mechi ngumu tuliyobaki nayo ni Bournemouth. Msiwachukulie poa
 
Back
Top Bottom