Anaelekea kuliwa banaNa haitakiwi iwe ivyo inatakiwa Liver Aliwe
kaka sijui Wana mchukuliaje ozil, ozil ile ni namba nyingine 😆🔥Hakuna mchezaji, kwenye mpira ni dhmbi kubwa kumfananisha ozil na huyu mpumbavu kai.
Naona mnakandwa huku..ila kwa Mbinde sana wakuu🤣🤣🤣Timo Werner has liked your post
Inabidi wapimwe mkojo 🤣kaka sijui Wana mchukuliaje ozil, ozil ile ni namba nyingine 😆🔥
Duh wahenga na misemo yenu yaki FasihiSafar bado ni ndefu mkuu.
Kuna mlima na bonde bado hatujavuja.
Liver wameshuka kuchimba dawa bahat mbaya bus kimewaacha uwenda wakatufukuzia na boda boda wakatukuta.

😂😂😂😂😂 wamechezea kudadekiNaona ndugu zetu washaleft group huko.
Ozil football work yake ni kiwango Cha kimataifa, sio kuunga unga 😁Inabidi wapimwe mkojo 🤣
Mijusi wamekamuliwa na Mateta sio🤣🤣🤣Mpira bwana
Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.
Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya caounter na transition kwenye low block haruki.
Hata wiki haijaisha proof hii hapa.
Mateta hua namuona miyeyusho eti leo ndiye kawanyima usingizi hawa mijusi. Kuna mtu anazurura kusumbua watu mara chelsea atawafanya hiki na kile yeye leo kapigwa ndonga mbili kalegea
😎😲🤣 emirates league auMatarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.
Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.
So again this season, we're against everyone.
Ni vizuri kuwa na wachezaji wa profile tofautitofauti, tutakuwa unpredictableMpira bwana
Wiki iliyopita wamesifia Isak leo kawa hovyo kabisa.
Niliandika ile siku kwamba wanaosema tunamhitaji wajue kwamba anascore sana magoli ya counter na transition kwenye low block haruki.
Hata wiki haijaisha proof hii hapa.
Kabla hajaanza nyondo zake, lakini baada 350K per week, hakuwa Ozil tuliyemjuakaka sijui Wana mchukuliaje ozil, ozil ile ni namba nyingine 😆🔥
Honestly kwangu mimi mechi ngumu tuliyobaki nayo ni Bournemouth. Msiwachukulie poaMatarajio ya wapinzani wetu kwa sasa yamebaki kwa City, ambao wanategemea watashinda mechi zote huku sisi tukiambiwa tumebakiza mechi ngumu.
Wengine wanaumia kwa kutokubali kama tupo kwenye ubora kuliko timu zao na ikatokea tukashinda ligi msimu huu basi wanajua hawatopumua, na watakosa hoja kwenye EPL, kimbilio lao litabaki kwenye CL.
So again this season, we're against everyone.