Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,929
Jana mmekula 5 yani nilicheka mpk machozi 🤣🤣🤣🤣Unazidi kuumiza moyo wangu 😔
Jana mmekula 5 yani nilicheka mpk machozi 🤣🤣🤣🤣Unazidi kuumiza moyo wangu 😔
Ila kubeba kombe labla liwe la plastiki, mwisho wa siku Chelsea tunafuraha kuzidi nyie 😂Jana mmekula 5 yani nilicheka mpk machozi 🤣🤣🤣🤣
aiMi mwenyewe leo nimemuacha Kai huku mtandaoni ila jana alishanitibua wakati wa game. Alipofunga nilishangaa sana halafu ndiyo nikashangilia
Arsenal hatuna huu uhuni kabisa mkuu, huyu atakuwa ni wenu au livakukuTunapo zungumzia malezi ya pande mbili hua mnahisi kama vile tuna chuki tu binafsi dhidi yenu, ina nakuhakikishia katika majukwaa ya timu zote humu hili jukwaa lenu ndio linaongoza kwa utovu wa nidhamu.
Malezi, Malezi, Malezi, vijana wengi badala ya kulelewa na baba na mama wao wamelelewa na beki 3.
Hasira hizo 😂😂😂Ila kubeba kombe labla liwe la plastiki, mwisho wa siku Chelsea tunafuraha kuzidi nyie 😂
Mie kai alipofunga sikushangilia wala nini, kwanza ile game niliona kabisa wanakufa sikuwa na muamko na goli, pili kai alikuwa kaishanikera mpaka kunikera tena.Mi mwenyewe leo nimemuacha Kai huku mtandaoni ila jana alishanitibua wakati wa game. Alipofunga nilishangaa sana halafu ndiyo nikashangilia
Kipigo tulichowapa Chelkenge jana kilikuwa ni adhabu ya kutuuzia yule kiazi. Tena tukaamua kumtumia kiazi huyo huyo kuwaadhibu.Mie kai alipofunga sikushangilia wala nini, kwanza ile game niliona kabisa wanakufa sikuwa na muamko na goli, pili kai alikuwa kaishanikera mpaka kunikera tena.
Kuna mpumbavu mmoja kai alipofunga akaniambia kaka umemuona kai huyo😂,
Nikamwambia chizi akiokoa mtoto kwenye moto haimaaninshi kapona, anaweza kwenda mbele huko akamdumbukiza kwenye kisima.😂
Kisha nikammaliza kwa kumwambia mtu si mbwa, kama ye ni bora kwa kufunga hizo mbili mbona ben cheupe katupia mbili na tena ni beki😂.
Akakaa kimya. 😂
SijaKipigo tulichowapa Chelkenge jana kilikuwa ni adhabu ya kutuuzia yule kiazi. Tena tukaamua kumtumia kiazi huyo huyo kuwaadhibu.
AArsenali akichukua ubingwa itabidi niame mtaa kenge nyie mna kelele sana.
Kama sio masihara, tungewakafua hata 8 wale kenge.Kipigo tulichowapa Chelkenge jana kilikuwa ni adhabu ya kutuuzia yule kiazi. Tena tukaamua kumtumia kiazi huyo huyo kuwaadhibu.
Kai alipata chance ya kushoot afunge, eti anajaribu kumpa pasi Rice na kuna beki kati yao. Next move similar situation ila hakuna beki kati yake na Trossard ila kuna beki kati yake na kipa na amepata chance ya kutoa pass, akashoot na kukosa goli.Kama sio masihara, tungewakafua hata 8 wale kenge.
Dhambi ya kutuuzia kai na kuwatapeli man u kwa mlima mason, itawatafuna mnoo 🤣
Na mimi nilitaka isipungue wiki maana bado kuna 6-0 wanatudai wale kenge.Kama sio masihara, tungewakafua hata 8 wale kenge.
Dhambi ya kutuuzia kai na kuwatapeli man u kwa mlima mason, itawatafuna mnoo 🤣
Nadhani bado kidooogo. Everton wana mechi 5 bado. He akiruhusu kwenye mechi moja kati ya hizo halafu zingine asiporuhusu na wakaishia wote na 14 clean sheets?Leo Pickford akiruhusu goli automatically Raya anakua kashinda golden glove.
Ndio makombe yenu haya msimu huuNadhani bado kidooogo. Everton wana mechi 5 bado. He akiruhusu kwenye mechi moja kati ya hizo halafu zingine asiporuhusu na wakaishia wote na 14 clean sheets?
Kabisa mkuu. Tunajivunia kwa hilo. Na bado kuna mengine bado tunayapambania.Ndio makombe yenu haya msimu huu
1) Raya cleansheet Cup
2) We defeated Liverpool Cup
3) Odegaard BiG IQ cup
4) We scored Many Goals Cup
Hapo Quadraple tayari.
Ni matatizo yetu tu wenyewe, ila ilibidi afe hizo kama kweli tupo serious.Na mimi nilitaka isipungue wiki maana bado kuna 6-0 wanatudai wale kenge.
Kwetu sisi na tulipotoka ni hatua kubwa.Ndio makombe yenu haya msimu huu
1) Raya cleansheet Cup
2) We defeated Liverpool Cup
3) Odegaard BiG IQ cup
4) We scored Many Goals Cup
Hapo Quadraple tayari.
True. Bado tuna viujinga vya rejarejaNi
Ni matatizo yetu tu wenyewe, ila ilibidi afe hizo kama kweli tupo serious.