arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,357
- 4,402
Anaitwa Kai Miguno...Kai michano...Kai miswagaš¤ š¤ ...jana kashangilia kishenzi...Chelsea inaonekana walimtimua kabisa yle jamaa...wakaleta Kai wa kiafrikaš¤ š¤ ...mzee wa kubadili blichi kichwani...na wakimshindwa watupe sisi tumtumie yy na mwenzie Mudryk
aiMi mwenyewe leo nimemuacha Kai huku mtandaoni ila jana alishanitibua wakati wa game. Alipofunga nilishangaa sana halafu ndiyo nikashangilia