Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,649
- 5,074
Kuna game tulizipoteza siku za nyuma zinaumiza sana. Sema ni vile mpira tu. Ila leo ndo zinatuweka kwenye presha.Aston Villa huenda akaharibu sikukuu ya mwezi mei, naona wengine wote waliobaki wanachezea tu. City anaweza kusuluhu na nani ili twende sawa?



. Kwa Arteta sio shida, coz anamjua vizuri alivyo calm katika situation hizo.