Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Acheni kumkana kijana wenu, msiwe kama Mayuda Eskarioti.
Hata kama kweli sio Arsenyo ila ana elements na mentality za Kiarsenyau[emoji16][emoji16][emoji16]
Amini unachotaka mzee
 

Attachments

  • IMG_2158.jpeg
    IMG_2158.jpeg
    376.3 KB · Views: 17
Anaitwa Kai Miguno...Kai michano...Kai miswaga🤠🤠...jana kashangilia kishenzi...Chelsea inaonekana walimtimua kabisa yle jamaa...wakaleta Kai wa kiafrika🤠🤠...mzee wa kubadili blichi kichwani...na wakimshindwa watupe sisi tumtumie yy na mwenzie Mudryk
Mi mwenyewe leo nimemuacha Kai huku mtandaoni ila jana alishanitibua wakati wa game. Alipofunga nilishangaa sana halafu ndiyo nikashangilia
ai
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom