Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sa mbona huyo jamaa ni shabiki wa United?

Tatizo ni kwamba majukwaa yenu hayakaliki so hata wapuuzi wanakuja humu pia.

Trace week mbili nyuma alikua anapenda kusema Arsenal tuscreenshot msimamo wa ligi kabisa kwakua Liva au city anatutoa.
Acheni kumkana kijana wenu, msiwe kama Mayuda Eskarioti.
Hata kama kweli sio Arsenyo ila ana elements na mentality za Kiarsenyau
 
Hyu alopost hyo picha ni mnazi wa Chelkenge....na anajulikana...mitusi ipo majukwaa yteyte....Kila jukwaa kuna kichaa mmoja ambaye fyuzi inakuwa imekatika....sijui watu huwa wanafeli wapi...hivi mtu huoni aibu ku post matusi aisee....

Alo
Kuna watu wanashindwa kabisa kutofautisha kati ya utani na matusi.
Binafsi mimi kitaani kwetu najulikana kwa kupenda matani, na hua nataniana na kila mtu, ila nikishaona mtu ana elements za matusi matusi hua nakata kabisa mazoea nae maana mtu wa hivyo ni rahisi sana kukuvunjia heshima yako mbele ya watu wanaokuheshimu.
 

Attachments

  • IMG_2158.jpeg
    IMG_2158.jpeg
    376.3 KB · Views: 11
Back
Top Bottom