Amini unachotaka mzeeAcheni kumkana kijana wenu, msiwe kama Mayuda Eskarioti.
Hata kama kweli sio Arsenyo ila ana elements na mentality za Kiarsenyau![]()
Unajizima data?? 😂😂😂😂Eh laki ipi tena hy mama angu
Na haitakiwi iwe ivyo inatakiwa Liver AliweLeo Pickford akiruhusu goli automatically Raya anakua kashinda golden glove.
kupata vichekesho km hivi bonyeza *103#Kwa nafasi mlizopata mlitakiwa mpaka HT mngekua mnaongoza kwa goli zisizopungua 3, hii mechi ina kila dalili ya kumalizika kwa draw.
Eh wakati naandika hvy nlkuwa bar, samahani.Unajizima data?? 😂😂😂😂
Hii 👇
Pumbavu 😂😂😂Eh wakati naandika hvy nlkuwa bar, samahani.
Em ntumie namba yako PM labla waweza kufanya lolote jamboPumbavu 😂😂😂
Nakupa ya wakala uniingizie mpunga wangu si tumebet na mkeka wangu umetick.Em ntumie namba yako PM labla waweza kufanya lolote jambo
Kwahy hutak niwe na namba yako 😔Nakupa ya wakala uniingizie mpunga wangu si tumebet na mkeka wangu umetick.
Mbaga? Mashabiki wa Arsenal unawajua au unawaskia tu?Mbona mechi ya Aston Villa mlikuwa mnamponda mnasema awaachie team yenu.?
Matapeli wa mpira 😂Mbaga? Mashabiki wa Arsenal unawajua au unawaskia tu?
Mbona hii ni mbinu ya wazi kabisa ya Kenge mmoja ili apate namba ya mrembo wa Ze Ganaz? Yeye wala hajali timu yake kufungwa maana alijua kabisa kufungwa kwao kupo nje nje tu...Unajizima data?? 😂😂😂😂
Hii 👇
Mi mwenyewe leo nimemuacha Kai huku mtandaoni ila jana alishanitibua wakati wa game. Alipofunga nilishangaa sana halafu ndiyo nikashangiliaMbaga? Mashabiki wa Arsenal unawajua au unawaskia tu?
😂😂😂😂 Na wewe umeona??Mbona hii ni mbinu ya wazi kabisa ya Kenge mmoja ili apate nama ya mrembo wa Ze Ganaz? Yeye wala hajali timu yake kufungwa maana alijua kabisa kufungwa kwao kupo nje nje tu...
Unazidi kuumiza moyo wangu 😔Ndio 🤣🤣🤣🤣
Jana mmekula 5 yani nilicheka mpk machozi 🤣🤣🤣🤣Unazidi kuumiza moyo wangu 😔
Ila kubeba kombe labla liwe la plastiki, mwisho wa siku Chelsea tunafuraha kuzidi nyie 😂Jana mmekula 5 yani nilicheka mpk machozi 🤣🤣🤣🤣