Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
Sa mbona huyo jamaa ni shabiki wa United?
Tatizo ni kwamba majukwaa yenu hayakaliki so hata wapuuzi wanakuja humu pia.
Trace week mbili nyuma alikua anapenda kusema Arsenal tuscreenshot msimamo wa ligi kabisa kwakua Liva au city anatutoa.


Acheni kumkana kijana wenu, msiwe kama Mayuda Eskarioti. Hata kama kweli sio Arsenyo ila ana elements na mentality za Kiarsenyau


