makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,815
- 103,865
Mtu anapewa sifa nzuri au mbaya kulingana na wingi wa mazuri na mabaya yake ... Kai kwangu anakera zaidi kuliko kufurahisha, haimaanishi kina trossard, saliba, raya hawakosei, nao inatokea wanakosea lakini mazuri yao ni mengi zaidi.Kai alipata chance ya kushoot afunge, eti anajaribu kumpa pasi Rice na kuna beki kati yao. Next move similar situation ila hakuna beki kati yake na Trossard ila kuna beki kati yake na kipa na amepata chance ya kutoa pass, akashoot na kukosa goli.
Mimi namuandama sana jamaa ingawa kuna mazuri pia anafanya. Kama goli la kwanza alihusika kwenye build-up alipopokea mali kwa Saka, akampa mali Partey, Partey kwa Rice na Rice kwa Trossard...
Kwangu ngongoti kai ni big NO mpaka abadilike.
