Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kai alipata chance ya kushoot afunge, eti anajaribu kumpa pasi Rice na kuna beki kati yao. Next move similar situation ila hakuna beki kati yake na Trossard ila kuna beki kati yake na kipa na amepata chance ya kutoa pass, akashoot na kukosa goli.

Mimi namuandama sana jamaa ingawa kuna mazuri pia anafanya. Kama goli la kwanza alihusika kwenye build-up alipopokea mali kwa Saka, akampa mali Partey, Partey kwa Rice na Rice kwa Trossard...
Mtu anapewa sifa nzuri au mbaya kulingana na wingi wa mazuri na mabaya yake ... Kai kwangu anakera zaidi kuliko kufurahisha, haimaanishi kina trossard, saliba, raya hawakosei, nao inatokea wanakosea lakini mazuri yao ni mengi zaidi.

Kwangu ngongoti kai ni big NO mpaka abadilike.
 

Kai Havertz is making fools of those – well me, actually – who labelled him an “Arteta vanity project” when he struggled to identify his place in the team earlier in the season.
 
Ndio makombe yenu haya msimu huu

1) Raya cleansheet Cup
2) We defeated Liverpool Cup
3) Odegaard BiG IQ cup
4) We scored Many Goals Cup
Hapo Quadraple tayari.
Ww dawa yako leo udundwe....hiki kiherehere chte kitaisha🤠🤠...kufungwa afungwe Chelkenge ila kiwewe upate ww...inaonekana jana usiku usingizi ulikosekana kabisa...Kila ukiwaza zile Tano hamu inakuisha
 
Mtu anapewa sifa nzuri au mbaya kulingana na wingi wa mazuri na mabaya yake ... Kai kwangu anakera zaidi kuliko kufurahisha, haimaanishi kina trossard, saliba, raya hawakosei, nao inatokea wanakosea lakini mazuri yao ni mengi zaidi.

Kwangu ngongoti kai ni big NO mpaka abadilike.
Chelkenge wa Reddit nao wana hasira sana na Kai, ingawa hakika ni kwa sababu zingine kabisa...

1713965125236.png
 
Martin Odegaard compared with players from the top 5 leagues in Europe:
source; r/gunners


Daah. Leo nafanya kazi ya Hamisi aisee
Siyo poa
 

Attachments

  • 1713970207545.jpeg
    1713970207545.jpeg
    280.4 KB · Views: 7
  • 1713970207723.png
    1713970207723.png
    1.2 MB · Views: 8
Martin Odegaard compared with players from the top 5 leagues in Europe:
source; r/gunners


Daah. Leo nafanya kazi ya Hamisi aisee
Siyo poa
 
ARSENAL tunazidi kuboresha mbinu kwenye set pieces. Kwenye kona iliyozaa goli la pili alilofunga Benny Blanco, Saliba alimkamata Enzo na kumzuia asitoke kwenye 6-yard box huku akimsukuma kuelekea golini ili ahakikishe anabaki kuwa last man ili wachezaji wetu wasiwe offiside wakati wa chelsea wanajitahidi kutoka.

Mpira ulideflect off a chelsea player so isingekuwa offside. Lakini hata mpira ungetoka kwa Partey bado isingekuwa offside maana Enzo alikuwa anazuiwa asitoke na Saliba
 
| Mikel Arteta on Thomas Partey vs Chelsea:
“We thought it was a really good game for him to come back, he looks like he is in rhythm, he trained really well the last few days, the way that they set-up, the players that they have in and the way they attack especially, we believe it was the right call to make. He stepped up and had a great performance and was really important for the team.”

[Arsenal]
IMG-20240424-WA0007.jpg
 
Back
Top Bottom