Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Masingeli sasa atakuja kuendelea na uchambuzi
Habari, hujambo?
20240423_073823.jpg
 
Oya wanangu wa Arsenal leo nimefurahi sana kuwafunga wale Genge la Cheltano 💪
Huyu alikuwa tumpige kama 8 hivi ili wamfukuze Pochetino kabla hakujakucha .

20240424_072105.jpg
 
kenge nao hawadhaminiki
 

Attachments

  • IMG_20240421_080106.jpg
    IMG_20240421_080106.jpg
    29.7 KB · Views: 9
Kwa Spazi Kipigo mnakipata
KWa Bounermouth Sare
Kwa Everton mtashinda hata kumi
Kwa Manyumbu mtashinda hata ishirini bila
Mtabeba ubingwa wa kufunga magoli mengi
 
partey role yake timber pia anaiweza.. arteta akituliza akili vizuri.. timber anaeza kuwa kiraka mzuri tu.

rice pia anaweza kufanya majukumu ya partey.. kuwa juu ya CBs na pia ata kwenye majukumu yake yeye ya rice kama jinsi sasaivi anavocheza pia timber
nae anaweza kufanya vizuri.
Shida sio majukumu, tatizo ni ike nyongeza ya partey, kuna tofauti kubwa rice akicheza pale chini na partey akicheza, utaona utofauti tu. Kiazi kai 😂 akicheza LCM na rice akicheza LCM wote wanatimiza majukumu ila kuna utofauti mkubwa mnoo.
 
Hivi mchambuzi nguli hamis77 yupo kweli? Huwa tukifanya vizuri anatoa uchambuzi balaa, tukifanya vibaya anapotea.
Masingeli ana type halafu anafuta, kila akifikiria jinsi anavyo wananga wale wanao ongea ukweli timu ikifungwa nafsi inamsuta, hua anawashambulia na kuwaambia timu ikifanya vizuri hua hawaonekani jukwaani wakipongeza ila timu ikidundwa wanajazana humu, sasa na yeye kumbe ni yaleyale Arsenyo ikifanya vizuri anaonekana humu na kuzurura kwenye majukwaa yote kufanya fujo halafu timu yake ikidundwa analikimbia jukwaa na kuwaachia msala chawa wake mkorea na arsenal2004 wanachezea spana humu 24/7.
Ila siamini yaani Chai Kiazi amefunga magoli mawili halafu ifike mpaka jioni Masingeli asije kuleta ngonjera zake humu, Jamaa anampenda Harvez kuliko hata anavyoipenda Arsenyau
 
Hii picha si nzuri
Tunapo zungumzia malezi ya pande mbili hua mnahisi kama vile tuna chuki tu binafsi dhidi yenu, ina nakuhakikishia katika majukwaa ya timu zote humu hili jukwaa lenu ndio linaongoza kwa utovu wa nidhamu.
Malezi, Malezi, Malezi, vijana wengi badala ya kulelewa na baba na mama wao wamelelewa na beki 3.
 
Tunapo zungumzia malezi ya pande mbili hua mnahisi kama vile tuna chuki tu binafsi dhidi yenu, ina nakuhakikishia katika majukwaa ya timu zote humu hili jukwaa lenu ndio linaongoza kwa utovu wa nidhamu.
Malezi, Malezi, Malezi, vijana wengi badala ya kulelewa na baba na mama wao wamelelewa na beki 3.
Sa mbona huyo jamaa ni shabiki wa United?

Tatizo ni kwamba majukwaa yenu hayakaliki so hata wapuuzi wanakuja humu pia.

Trace week mbili nyuma alikua anapenda kusema Arsenal tuscreenshot msimamo wa ligi kabisa kwakua Liva au city anatutoa.
 
Hyu alopost hyo picha ni mnazi wa Chelkenge....na anajulikana...mitusi ipo majukwaa yteyte....Kila jukwaa kuna kichaa mmoja ambaye fyuzi inakuwa imekatika....sijui watu huwa wanafeli wapi...hivi mtu huoni aibu ku post matusi aisee....
Tunapo zungumzia malezi ya pande mbili hua mnahisi kama vile tuna chuki tu binafsi dhidi yenu, ina nakuhakikishia katika majukwaa ya timu zote humu hili jukwaa lenu ndio linaongoza kwa utovu wa nidhamu.
Malezi, Malezi, Malezi, vijana wengi badala ya kulelewa na baba na mama wao wamelelewa na beki 3.
Alo
 
Back
Top Bottom