makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,858
- 103,992
Hakuna mchezaji, kwenye mpira ni dhmbi kubwa kumfananisha ozil na huyu mpumbavu kai.Namuona Ozil kwenye miguu ya kai
Hakuna mchezaji, kwenye mpira ni dhmbi kubwa kumfananisha ozil na huyu mpumbavu kai.Namuona Ozil kwenye miguu ya kai
Incredible playerDogo ana utulivu na akili kubwa sana ya mpira. Namheshimu sana aliyeona anafaa kuwa team captain.
Jezi yangu inanukia makaveli 😂😂😂Hakuna mchezaji, kwenye mpira ni dhmbi kubwa kumfananisha ozil na huyu mpumbavu kai.
wanga wabaya sana asee....leo tumeshinda kuna watu wataibuka toka mashimoni mwaoYaan hii Arsenal pamoja na kuwa ndo timu ilofunga magoli mengi zaidi lakini haijaweka top scorer 4 ktk ligi. What a team work. 💪🏼
We ongeza dua tu, jezi uhakika.Jezi yangu inanukia makaveli 😂😂😂
Dua muhimuWe ongeza dua tu, jezi uhakika.
Huyu rice anakuwa mtamu zaidi kama chini yake akiwepo partey. Kaupiga mwingi ila odegaard ni balaa.Unajiuliza MOTM apewe nani kati ya Rice au Ødegaard mpaka unaumiza kichwa.
Aisee leo apewe Ødegaard tu.
View attachment 2972250
kakosa clear chances 3. ila odergard ni fundi sanaMartinelli ametuangusha goli la 6. Tunashukuru kwa haya 5
Imeisha hiyo, hesabia jezi umepata, bado kuivaa tu.Dua muhimu
Imeisha hiyo, hesabia jezi umepata, bado kuivaa tu.Dua muhimu
mmeanza kuwaombea wenzenu mabayaJumapili tuombeane uzima yani mtaeleza
View attachment 2972249J
inasikitisha kwa kweliUnajiuliza MOTM apewe nani kati ya Rice au Ødegaard mpaka unaumiza kichwa.
Aisee leo apewe Ødegaard tu.
View attachment 2972250
😂😂😂....leo ulitabiri tutalambwa Tano...ila Mungu mkubwa sisi ndo tumemsokomeza mtu kono la Sokwe....Sasa baadae leo tutakuwa viunga vya Goodison Park tukiangalia ugomvi wa maweJumapili tuombeane uzima yani mtaeleza
View attachment 2972249J
Niliwahi kusema Rice na Arteta wanatuongepea kusema Rice ni bora zaid akicheza kama 6,,, ila Akicheza 8 tunapata vitu vingi sana kutoka kwake na ni ngumu kuvipata kwa mchezaji mwingine yoyote pale Arsenal akicheza 8..Unajiuliza MOTM apewe nani kati ya Rice au Ødegaard mpaka unaumiza kichwa.
Aisee leo apewe Ødegaard tu.
View attachment 2972250
Kabisa anachofanya Rice kwenye 8 ni vitu tunavyomis kama akicheza 6..H
Huyu rice anakuwa mtamu zaidi kama chini yake akiwepo partey. Kaupiga mwingi ila odegaard ni balaa.