Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hata Bayern mbovu mlikua pia hamuiogopi, mnakomedi sana nyie!! ndio mana tunapenda kuja huku jukwaani kwenu kuondoa stress.
Ndo maana ya ushabiki mkuu. Unatakiwa uchuje, kuna kipindi linazungumzwa ball, kuna kipindi ni ushabiki. Sasa mimi naanzaje kusema Chelsea anatufunga leo?

Leo Cheltako mkong'oto unawahusu
 
Mwisho wa siku pamoja na GD nyingi bado mtatoka trophyless mkijazana ujinga wa tupo false 4( phase 4) mara false 5 kutakuwa hamna tofauti kati ya position ya 2 na 10 then tutaangalia individual performance nadhan hamna aliyemzidi isak timu au trippier timu yako nzima.
Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit
Msimu ulioisha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani
1713782188650.jpg
 
Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani
View attachment 2971699
Energy unayotumia kuandika kuhusu sisi.Kweli hiari yashinda utumwa.
 
Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani
View attachment 2971699
Hapo wewe umeingia fainali ya FA kwa kudra za VAR check ya mchongo. Mara paap, umembahatisha Kipara ukabeba kombe la FA...

Sijui hili jukwaa litakuwaje ikitokea hivyo...
 
Energy unayotumia kuandika kuhusu sisi.Kweli hiari yashinda utumwa.
Sekyuriti gadi kipindi hiki ni sawa tunakula mishahara ya bure tu, maana uhalifu umepungua sana, tunajikuta muda mwingi hatuna kazi ya kufanya kwenye lindo zaidi ya kutumia Wi-Fi ya bure kucomments humu kwenye jukwaa la comedy.
Ila Mkuu kama hua unakereka na comments zangu kwenye simu yako kuna option ya Ignore, ukiniweka kwenye ignore list itakusaidia sana kuepukana kusoma comments zisizo kufurahisha na kukuharibia siku yako
 
Hapo wewe umeingia fainali ya FA kwa kudra za VAR check ya mchongo. Mara paap, umembahatisha Kipara ukabeba kombe la FA...

Sijui hili jukwaa litakuwaje ikitokea hivyo...
nitakuja kuwafiriji tu humu na kuwasisitiza msikate tamaa na phase 5 inayofata ambayo ndio phase ya makombe
Kikubwa nilichogundua hili jukwaa bila ya uwepo wa ndugu yangu masingeli hua linapoteza kabisa mvuto.
Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi tuko chini ya miguu yako tunakuomba urudi utupe mchanganuo wa jinsi timu yetu ya Arsenyo itakavyo cheza fainali ya Uefa kwenye uwanja wetu wa nyumbani pale Wembley
1713776649904.jpg
 
Ndo maana ya ushabiki mkuu. Unatakiwa uchuje, kuna kipindi linazungumzwa ball, kuna kipindi ni ushabiki. Sasa mimi naanzaje kusema Chelsea anatufunga leo?

Leo Cheltako mkong'oto unawahusu
Kumbe mnaelewa sema huwa mnachangamsha genge, sio gemu rahis. Mnaongea kama vile mnaenda kucheza na Mtibwa.
 
Na mwenzie Havertz hahahaha....... hao jamaa wana DNA moja. Mmoja mzuri kwnye mipira ya juu, mwingine mipira ya chini. ila ni dugu moja.
Usimfananishe Havertz na hyo mmakonde wenu....kazi kubadili rangi ya nywele kichwani Kila siku
 
Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani
View attachment 2971699
Arsenal 3 - Chelsea 0

FT
 
Hawa Kima kila msimu wanatoka Mikono mitupu halafu kwa aibu wanatafuta vitu visivyo na faida yoyote vya kujivunia navyo, mwaka juzi yamemaliza ligi nafasi ya 5 Masingeli akawadanganya kua kwao nafasi ya 5 haina tofauti yoyote na ubingwa maana wao ndio wanaongoza kwa cleanshit
Msimu uliosha wameongoza ligi kwa siku 258 halafu kombe wakabeba wengine, Masingeli akawaambia watembee vifua mbele maana timu yao ndio inayoongoza kwa Pressing & Overloading pamoja na Position Interchange
Msimu huu wakati unaanza Masingeli Akawadanganya tena kua Arsenyo ya msimu huu ndio ile Arsenyo ya Asali na Maziwa waliokua wakiisubiri kwa miaka 40 iliyopita na tayari wameshafika nchi ya ahadi hivyo msimu huu lazima Arsenyo itabeba treble
Mashabiki waliokua na wasiwasi juu uwezo ya timu yao kubeba Uefa Masingeli akawahakikishia kua hakuna kombe rahisi duniani kubeba kama hilo kombe la Uefa, tena akawatolea mfano wa Madrid ni timu mbovu ambayo haifikii hata robo ya ubora wa timu ya Arsenyo lakini wana Uefa 14
Msimu huu waliodanganyana wanabeba treble wanamaliza pia mikono mitupu halafu utawasikia kina mkorea na arsenal2004 wanawajaza ujinga wenzao kua wanapaswa wajivunie timu yao maana ndio timu yenye GD kubwa kuliko timu yoyote duniani
View attachment 2971699
 
nitakuja kuwafiriji tu humu na kuwasisitiza msikate tamaa na phase 5 inayofata ambayo ndio phase ya makombe
Kikubwa nilichogundua hili jukwaa bila ya uwepo wa ndugu yangu masingeli hua linapoteza kabisa mvuto.
Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi tuko chini ya miguu yako tunakuomba urudi utupe mchanganuo wa kucheza fainali ya Uefa kwenye uwanja wetu wa nyumbani pale Wembley View attachment 2971758
 
Usimfananishe Havertz na hyo mmakonde wenu....kazi kubadili rangi ya nywele kichwani Kila siku
Mpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......
Masingeli sijui kawalisha nini wallah! dah!
 
Naangalia mpira Kila siku na uzuri naangalia wachezaji wte hao wawili... Jackson ni kama mbeba magunia hivi...amezoea shuruba lakini kufanya vitu rahisi kwa wakati sahihi hawezi
Mpaka wewe!!! Masingeli amefenikiwa kukuaminisha Havertz ni chezaji la Ballon D'or hahahaha......
Masingeli sijui kawalisha nini wallah! dah!
a
 
Back
Top Bottom