BJB FC
JF-Expert Member
- Aug 25, 2015
- 2,169
- 2,487
Ndo maana ya ushabiki mkuu. Unatakiwa uchuje, kuna kipindi linazungumzwa ball, kuna kipindi ni ushabiki. Sasa mimi naanzaje kusema Chelsea anatufunga leo?Hata Bayern mbovu mlikua pia hamuiogopi, mnakomedi sana nyie!! ndio mana tunapenda kuja huku jukwaani kwenu kuondoa stress.
Leo Cheltako mkong'oto unawahusu











