Sio rahisiKwa nafasi mlizopata mlitakiwa mpaka HT mngekua mnaongoza kwa goli zisizopungua 3, hii mechi ina kila dalili ya kumalizika kwa draw.
Sasa hizi nafasi ndiyo tutazipata kwenu piaKwa nafasi mlizopata mlitakiwa mpaka HT mngekua mnaongoza kwa goli zisizopungua 3, hii mechi ina kila dalili ya kumalizika kwa draw.
Bado 2Bado 3
Jamani anaeelewa nini Kai anafanya humo ndani aje anielekeze tafadhali
au anipe strength zake kama mchezaji kwenye timu yetu ya arsenal naomba sanaa msaada maaana sielewi afu sielewi tena
The only reason unaiona mbovu ni uwezo wa Arsenal.Ila dah Chelsea imekuwa mbovu sana, achilia mbali ubora wa Arsenal.