Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal bana! when they play badly, they lose. When they play well, they lose. Are they now officially in a crisis!?
 
Ingawa tumepoteza mechi ya leo lakini naweza kusema ilikuwa ni bahati mbaya, kwani leo angalau tumecheza vizuri sana mpaka pengine dakika 15 za mwisho tofauti na mechi zile za mwanzoni.
Kukosekana kwa maandalizi mazuri ya pamoja pre-season kulitufanya tuanze ligi vibaya mno. Lakini tukiendelea na perfomance kama ya leo angalau naanza kuridisha imani kwamba tunaweza kufanikiwa kufaulu katika top four.
Hakuna kusarenda mpaka dakika ya mwisho.

pamoja mzazi.
 
Ingawa tumepoteza mechi ya leo lakini naweza kusema ilikuwa ni bahati mbaya..........Kukosekana kwa maandalizi mazuri ya pamoja pre-season kulitufanya tuanze ligi vibaya mno. Lakini tukiendelea na perfomance kama ya leo angalau naanza kuridisha imani kwamba tunaweza kufanikiwa kufaulu katika top four.

Top FOUR?? Acha bana
 
Huyu Wacha1 the Shoga yuko wapi na kelele zake.............khee khee khee kheeeeee kheeeee
Hizi sentensi naona zinaanza kuota mzizi hapa jukwaa la michezo......Wanamichezo wa kweli hatuna kauli za namna hii......Michezo ni utani na urafiki na si uadui na matusi(lugha zisizofaa)......

Ifikie kipindi tuwe wanamichezo wa kweli na kuachana na kauli za namna hii(Wacha1 & co achaneni na lugha zisizofaa wakuu)...

Bala.
 
Top FOUR?? Acha bana
Hii ni Oktoba mkuu May iko mbali sana, Ligi hii inakamata sura kuanzia February na kumbuka kuna key players watakaomaliza nusu ya pili ya ligi. Bado tuna advantage wachezaji wetu watakuwa fresh dakika za lala salama.
 
Manda bana.... haya bana,,,......

Hahaha! pole mtani...ila ungejua shida nayopata'ga' mkishinda pheeeeeew! mungu si athman wala si Wacha Boy....leo walau nna uhakika wik ijayo ntapumua, hm, kitaa ad kibaruani.
 
Taarifa zilizonifikia hv punde ni kuwa Wacha Boy a.k.a. Muzee ya Bahasha na Mupunga amekamatwa White HeartLane akijaribu kuingia uwanja kwa 'kuruka ukuta'...yuko Lupango hadi sasa.

Nimemwagiza Mbu aende aka m~bail out...

Updates zitamimika hapa jamvini tm aft tm.
 
Uzuri wa Gunner wakishinda leo ujue next game wanapoteza au droo
 
Hizi sentensi naona zinaanza kuota mzizi hapa jukwaa la michezo......Wanamichezo wa kweli hatuna kauli za namna hii......Michezo ni utani na urafiki na si uadui na matusi(lugha zisizofaa)......

Ifikie kipindi tuwe wanamichezo wa kweli na kuachana na kauli za namna hii(Wacha1 & co achaneni na lugha zisizofaa wakuu)...

Bala.

Nimekusikia Mkuu...........mniwie radhi wana JF mliokwazika........naenda ku-delete ile post............
 
Ndio uwezo wetu wakuu, tuangalia mechi ijayo tena.

Makosa yako mengi sana ya kiufundi mpaka ambayo sio ya kiufundi lakini ndio uwezo wa mwisho wa kila kitu kwa kocha wetu na wachezaji wetu.

Tuko pamoja tutafika tu.
Wachezaji hawako motivated kabisa!
Arteta na Ramsey wanacheza upupu tu.
Gervinho na Jekinstone ndio hawastaili kabisa kuvaa jezi ya arsenal! Walicot hakuwa na msaada wowote!
Van P, cocqueline, Song, Metersacher na Gibs ndio wamecheza vizuri!
 
wapi wacha 1 utuwekeee ma kheeeeeeeeeeeeeeekheeeeeeeeeeeeeeeeee yako hapa
Tottenham-v-Arsenal-Rafael-Van-der-Vaart-goal_2659915.jpg

Tottenham-v-Arsenal-Rafael-Van-der-Vaart-mobb_2659914.jpg
 
Wacha akija atakwambia goli lilikuwa offside
 
Aibu kwa EPL kuruhusu magoli ya kitapeli. Tuewazoea kina M. Dean na upendeleo usio na kikomo.


BTW
Mfarisayo ati amepona leo kutoka ICU baada ya kuona jamaa wanabebwa .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Hizi sentensi naona zinaanza kuota mzizi hapa jukwaa la michezo......Wanamichezo wa kweli hatuna kauli za namna hii......Michezo ni utani na urafiki na si uadui na matusi(lugha zisizofaa)......

Ifikie kipindi tuwe wanamichezo wa kweli na kuachana na kauli za namna hii(Wacha1 & co achaneni na lugha zisizofaa wakuu)...

Bala.

Mkuu Wacha unafiki kauli yangu ipi ambayo imekukwaza and then kwa nini uniambie hivyo leo ..... ... can you quote me what is not appropriate.

 
Ogah said:
Huyu Wacha1 the Shoga yuko wapi na kelele zake.............khee khee khee kheeeeee kheeeee


Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mkuu lini nilikufanyia ushoga? hebu lete proof hapa tusiandikie mate khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee na kama ukishindwa kuleta uthibitisho niombe radhi khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Oooops kwa Pm na hadharani sivyo nitaku-report kwa Invisible.

 
Hizi sentensi naona zinaanza kuota mzizi hapa jukwaa la michezo......Wanamichezo wa kweli hatuna kauli za namna hii......Michezo ni utani na urafiki na si uadui na matusi(lugha zisizofaa)......

Ifikie kipindi tuwe wanamichezo wa kweli na kuachana na kauli za namna hii(Wacha1 & co achaneni na lugha zisizofaa wakuu)...

Bala.

Mkuu Wacha unafiki kauli yangu ipi ambayo imekukwaza and then kwa nini uniambie hivyo leo ..... ... can you quote me what is not appropriate.




Naona vipigo vimewachanganya mpaka mnaanza kupigana wenyewe kwa wenyewe!
 
Back
Top Bottom