Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Aibu kwa EPL kuruhusu magoli ya kitapeli. Tuewazoea kina M. Dean na upendeleo usio na kikomo.


BTW
Mfarisayo ati amepona leo kutoka ICU baada ya kuona jamaa wanabebwa .... ... khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



25-yard strike =no offside
 
Tottenham-v-Arsenal-Kyle-Walker-goal_2659951.jpg

Tottenham-v-Arsenal-Kyle-Walker-celeb_2659952.jpg
 
Duh Mr Bean kanuna ahaaaa haaaaa.


Wacha fujo wewe nenda kamtafutie maandazi De Gea ana njaa anaweza kufa kama wale malnourished children khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee wa nchi gani ile .....
 
Mkuu Wacha unafiki kauli yangu ipi ambayo imekukwaza and then kwa nini uniambie hivyo leo ..... ... can you quote me what is not appropriate.

Easy mkuu...........Sikuwa na dhamira mbaya juu yako......Naomba unisamehe kama nimekukwaza......Kuitana mashoga kunaleta picha mbaya kwa wanamichezo kama mimi na wewe.......
_55568427_55568426.jpg


Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Chacha nani Ooops Nani ataanza inquest ya mashoga .. ... ... ..

The first point since 2008 when promoted to EPL from Manure
Chijui utachema nini leo lakini ni sawa tu huna aibu wewe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Mashoga wako United huku umeingia choo cha wakubwa khe khe khe khe



Anatafuta wakumshughulikia ... .. khe khe kheeeeeeeeeeeeeee
 
Easy mkuu...........Sikuwa na dhamira mbaya juu yako......Naomba unisamehe kama nimekukwaza......Kuitana mashoga kunaleta picha mbaya kwa wanamichezo kama mimi na wewe.......


Mkuu hakuna neno labda watu hawaelewi kwa nini Manure ni timu ya mashoga ukweli huu hapa chini everybody knows ..... .... .... sasa labda tufiche ukweli ulio wazi ambao ulishuhudiwa na umati wa watazamaji hakuna udaku hapo wala nini. Ogah ameniambia mimi ni shoga chacha chijui kama kajibu au la lakini kama unavyojua nitasema ukweli daima fitna kwangu ni mwiko.

article-1268534-092CB0B8000005DC-748_468x286.jpg



Ugly moment: Gary Neville finds his ideal partner
in Paul Scholes


Mkuu usipate tabu sana na hawa wanaoshadidia mashoga ni nguvu ya soda tu EPL bado ndefu sana hata halftime bado hatujafika.



Mkuu chacha mimi sijachema kwa member yoyote wa JF kwamba yeye ni shoga au kumwita yeyote shoga hapa forum .... .... bali ni facts tu, wako mashoga wanaonekana pale uwanjani hadharani nina haki ya kuwaita mashoga.


 
Mkuu usipate tabu sana na hawa wanaoshadidia mashoga ni nguvu ya soda tu EPL bado ndefu sana hata halftime bado hatujafika.

Kweli we kilaza yani watu wanashinda ubingwa 19 times unasema nguvu ya soda?
 
Vipi umerudi kutoka ICU lini? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee Mkuu tatizo wenzetu Spurs walikuwa wanacheza netball wakati sisi tunacheza football ... .... ...

Ni kweli nilienda ICU lakini sikupata nafasi ya kulazwa kwa kuwa nafasi zimejaa na wewe umelazwa muda mrefu na hakuna matumaini ya kuruhusiwa hivi karibuni so ikabidi nipone tu kigumu na ninaendelea kutoa dozi kwa wengine
 
Back
Top Bottom