Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kweli nilienda ICU lakini sikupata nafasi ya kulazwa kwa kuwa nafasi zimejaa na wewe umelazwa muda mrefu na hakuna matumaini ya kuruhusiwa hivi karibuni so ikabidi nipone tu kigumu na ninaendelea kutoa dozi kwa wengine

ICU mnakwenda nyie mashabiki bandia mnaoshadidia mashoga mimi nipo hapa Live kama kawa hata siku moja huwezi kutoniona hapa wewe na wanazi wenzio baada ya kuwa stoked uliadimika hiyo ndio maana halisi ya ICU kwa hapa hata mashabiki wako wengine hawajarejea khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee msimu bado mrefu sana huu wala usiwe na shaka tutapiga mahesabu kabla ya Olympics khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Mkuu hakuna neno labda watu hawaelewi kwa nini Manure ni timu ya mashoga ukweli huu hapa chini everybody knows ..... .... .... sasa labda tufiche ukweli ulio wazi ambao ulishuhudiwa na umati wa watazamaji hakuna udaku hapo wala nini. Ogah ameniambia mimi ni shoga chacha chijui kama kajibu au la lakini kama unavyojua nitasema ukweli daima fitna kwangu ni mwiko.

article-1268534-092CB0B8000005DC-748_468x286.jpg



Ugly moment: Gary Neville finds his ideal partner
in Paul Scholes




Mkuu usipate tabu sana na hawa wanaoshadidia mashoga ni nguvu ya soda tu EPL bado ndefu sana hata halftime bado hatujafika.



Mkuu chacha mimi sijachema kwa member yoyote wa JF kwamba yeye ni shoga au kumwita yeyote shoga hapa forum .... .... bali ni facts tu, wako mashoga wanaonekana pale uwanjani hadharani nina haki ya kuwaita mashoga.



Hao ni wachezaji wa ManUnited kweli?!
 
Nakutafuta weye na MBU....uchaguzi umeisha..njooni tujenge jukwaa letu apa la michezo..no xcuz.
Mapito tu mkuu,hatuna chetu tena katika EPL this year,but for every single game ahead of us we will try as hard as possible to gain maximum points.
 
Mapito tu mkuu,hatuna chetu tena katika EPL this year,but for every single game ahead of us we will try as hard as possible to gain maximum points.

We ndo mshabiki wa ukweli sio huyo mwenzio WACHA1 amekalia ubishi tu usio na mana, mara ligi bado mbichi sijui, mara man utd nguvu ya soda, yani anajifariji tu ili mradi apunguze pressure
 
ICU mnakwenda nyie mashabiki bandia mnaoshadidia mashoga mimi nipo hapa Live kama kawa hata siku moja huwezi kutoniona hapa wewe na wanazi wenzio baada ya kuwa stoked uliadimika hiyo ndio maana halisi ya ICU kwa hapa hata mashabiki wako wengine hawajarejea khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee msimu bado mrefu sana huu wala usiwe na shaka tutapiga mahesabu kabla ya Olympics khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Ni kweli bado msimu ni mrefu kwani hadi sasa kufungwa mechi 4 ni chache sana, mechi 7 imepigwa 4, droo 1 na win 2 tu so mechi 38 imtakuwa mmefungwa mechi kama 20 hv.
 
Hivi ni kwa ni Wenger hamchezeshi Ju Young Park na badala yake anawang'ang'ani akina Chamakh na Arshavin???

Huwa najiuliza swali hilo hilo mkuu. Jamaa huwa anashindwa kujaribu mbinu au wachezaji wengine anapoona ka kwama. Yeye anataka kulazimisha tu njia hile hile kila siku.
 
Huwa najiuliza swali hilo hilo mkuu. Jamaa huwa anashindwa kujaribu mbinu au wachezaji wengine anapoona ka kwama. Yeye anataka kulazimisha tu njia hile hile kila siku .


It's called insanity, doing the same thing over and over again and expecting different results. That's all you get from a Nutty Professor, huo ndio mwisho wake wa kufikiri.
 
It's called insanity, doing the same thing over and over again and expecting different results. That's all you get from a Nutty Professor, huo ndio mwisho wake wa kufikiri.

Ungekuwa na uwezo wa japo 1% ya achivement ya prof usingekuwa unapiga tarumbeta JF khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Ungekuwa na uwezo wa japo 1% ya achivement ya prof usingekuwa unapiga tarumbeta JF khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
aaahhh Mdanandaaa!!!

kwekwekwekwekwekweweeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Lipia kwanza hakuna elimu ya bure siku hizi

Wacha kuparamia visivyokuhusu wewe, tangu umerudi kutoka ICU umekuwa unabwabwaja hovyo, wacha ngebe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeati elimu then why say it in a forum, something which iI do not know does not affect me. Phew! That shows how low you can be. khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Vidonge ninavyowapa vinafanya kazi ... ...
 
Hivi moderator anapofanya flooding anachukuliwa hatua gani?
 
Mikel Arteta has said he did not undergo a medical before completing his move from Everton to Arsenal on transfer deadline day. Full Story
 
Mikel Arteta has said he did not undergo a medical before completing his move from Everton to Arsenal on transfer deadline day. Full Story

Kwa hio kama ARS hawakujali kumfanyia medical nyie mnalalamika ili iwe nini? Mnachabgia malipo yake? Nay, ...
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom