Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Japo Bayern katutoa ila kwa namna wanacheza, inabidi wasali sana Madrid apite. City hii ya kina Haaland itakwenda kuwapa kichapo cha mbwa koko hasa. Arsenal ni kama hatukua serious kupambana kupata ushindi, we were too scared to make reasonable attacks. All in all we have learned the hard way. Let us meet next season once again.
Madrid unamjua unamsikia?[emoji23][emoji23]
 
unapigwa comeback na wa watotoo wadogo... wewe ata europa huendi next season. .. mzee walter white hawapeleki nchi ya ahadi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Man Utd tunakula kwa jasho huku ndugu zetu Arsemwali wao hua wanazaa kwa uchungu kila mwisho wa msimu.
1713723279967.jpg
 
Ten hag 2 years 3 finals
Arteta 4 years 0......????

the worst team with the worst coach and the worst playing style got silverware against the most complete quality team

sometimes lucky matters the most in these certain criterias if you want to gain achievements

God is with us all the time... all the time god is good
And that's the Nature you need to have
 
Ten hag 2 years 3 finals
Arteta 4 years 0......????

the worst team with the worst coach and the worst playing style got silverware against the most complete quality team

sometimes lucky matters the most in these certain criterias if you want to gain achievements

God is with us all the time... all the time god is good
And that's the Nature you need to have
Kweli kabisa. Nyie mpo hapo si kwa nguvu zenu wenyewe, bali...
😄😄😄
 
Carling cup??🤠🤠...hzi final za FA cup tunajuq mnaenda kukamilisha ratiba tu...hamna jipya....mnapigwa comeback na timu ya daraja la 10 halafu unqkuja kutujazia nzi hmu
Ten hag 2 years 3 finals
Arteta 4 years 0......????

the worst team with the worst coach and the worst playing style got silverware against the most complete quality team

sometimes lucky matters the most in these certain criterias if you want to gain achievements

God is with us all the time... all the time god is good
And that's the Nature you need to have
 
Leo umeibuka baada ya kubahatisha ushindi pale craven cottage [emoji1783][emoji1783]....bdo zingine za ugenini tunawaombea dua ya kunguni
Nipo humu hata kabla mechi ya Liver haijaanza
Na hata ratiba nilikuwa sijui maana nimekuwa busy sana hizi wiki

Ila hizi habari za ars8 zimenichekesha mno,,ndio naziona leo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie,nimefurahi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukimkuta Masingeli anavyoiponda manyumbu United yenye carabao Cup msimu jana,[emoji23]
Unaweza dhani timu yake ya maana sana
Kumbe haina kikombe chochote zaidi ya kisinia cha biriyani cha miaka hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ukimkuta Masingeli anavyoiponda manyumbu United yenye carabao Cup msimu jana,[emoji23]
Unaweza dhani timu yake ya maana sana
Kumbe haina kikombe chochote zaidi ya kisinia cha biriyani cha miaka hiyo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kisinia cha biriani na hiko kikombe cha kahawa vina tofauti gani🤠🤠...carling cup ilitakiwa waweke ziwe zinacheza timu zinazoshika nafasi ya 10 kushuka chini unazichanganya na timu za championship huko
 
Kisinia cha biriani na hiko kikombe cha kahawa vina tofauti gani🤠🤠...carling cup ilitakiwa waweke ziwe zinacheza timu zinazoshika nafasi ya 10 kushuka chini unazichanganya na timu za championship huko
Tangu mwaka 2019,ukitoa Hilo biriyani,una kombe gani la maana?

Wenzio tuna UEFA ambayo wewe umetolewa nje na timu uliyokuwa unaiita mbovu😂
Na ushukuru,ungekutana na real Madrid angekufanyia mauaji ya kimbarii
Nasema uongo ndugu wajumbe?🤣🤣🤣🤣

Sisi tuna EPL ambayo wewe tangu 2004 last born wangu amezaliwa,na sasa kqgraduate chuo, arse8 hajagusa 🤣.

Tuna FA msimu juzi ambayo kwako ni historia.

Tuna Carabao msimu juzi na msimu leo ya moto motooo,unayooita kikombe cha chai ila bado kahawa yenyewe imekupiga chini hujainywa😆.

Hadi sasa timu ipo mikono mitupu haina kombe lolote na haeleweki hatma yake .. aluta continua tunaendelea tulipoishia Makombeless FC 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ramsdale ameona isiwe noma
Mshkaji kaamua kupiga fanta orange kisabato,no way maana asipokaa sawa hata fanta orange itampita babeki😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 

Attachments

  • 20230317_140105 (1).jpg
    20230317_140105 (1).jpg
    83.7 KB · Views: 15

Similar Discussions

Back
Top Bottom