Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,842
- 16,292
N kweli mkuu ndo mana comment yake ya mwisho nimeshow love then sijamjibu


Pamoja Mkuu, huo sasa ndio ukomavu wa akili.N kweli mkuu ndo mana comment yake ya mwisho nimeshow love then sijamjibu


Pamoja Mkuu, huo sasa ndio ukomavu wa akili.Umerudi?! Ndio ukweli huoArteta ni World classic Coacher . Akina Pep na makocha wengi wakajifunze kwanza😂😂😂😂😂
Partey angekua fit tungeona hilo unalolisemaArteta asitudanganye na Rice pia Asitudanganye kua yeye ni number 6 bora kabisa, ila mbona kila akicheza namba 8 ndo tunauona ubora wake mkubwa kuliko 6.
Wenzenu akina nani 😂Safari ya ubingwa imefufuka. Sasa wenzetu wampige City huku sisi tukiwapiga akina kenge na nyumbu na kima ooote akatizae mbele yetu.


Motivational speaker mzee wa kuwapigia hesabu za Ubilionea wa kilimo cha Matikiti Maji bado hajafika? 


Atakayetoka salama hapo kweli aitwe mwamba. Kila mmoja hapo atapigwa.Motivational speaker mzee wa kuwapigia hesabu za Ubilionea wa kilimo cha Matikiti Maji bado hajafika?
Ndugu yangu Cha-mbuzi nguli la soka lenye leseni ya Fifa daraja A toka Zurich Uswiswi Arsenyo jana tumeshinda na tunaongoza ligi, hebu kuja pande hizi utupigie hesabu za Matikiti Maji utuonyeshe jinsi Arsenyau tunavyobeba Epl kwenye hizi mechi 5 zilizobaki
View attachment 2969825
Umekuwa mgeni na asenali tena?😂😂😂....Atakayetoka salama hapo kweli aitwe mwamba. Kila mmoja hapo atapigwa.
Saka na Saliba hawana back up za kuelewekaKuna wachezaji ni kama wameshuka viwango kwa sasa. Sijui ndo uchovu wa ligi ndefu ama vipi?
Trossard, Martinelli, Jesus, Saka na Saliba. Binafsi hawa naona kama pumzi imekata wamekuwa sio wa moto vile tumewazoea.
Wasipobadilika, tutateseka sana na ushindi.
AntiretroviralNyie KENGE...hivi mnajua tumeingia FAINALI ya FA? Au bado mnawaza kipigo cha BAYERN na VILLA?View attachment 2970200
Nyumbu kweli ni Nyumbu tuhNyie KENGE...hivi mnajua tumeingia FAINALI ya FA? Au bado mnawaza kipigo cha BAYERN na VILLA?View attachment 2970200
Wewe nyumbu unacheza na timu daraja la saba unaongoza tatu zinarudi .. Jitafakari wewe na tenhug kwanzaBroo ukitaka kumaliza huu msimu bila ya kupata depression acha kabisa kufikiria kuhusu kombe la Pl, jumanne mko na Chelsea mnafikiri atawaacha salama? Halafu kuna Spurs na Utd zote mnacheza ugenini. View attachment 2969515