Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ukimkuta Masingeli anavyoiponda manyumbu United yenye carabao Cup msimu jana,
Unaweza dhani timu yake ya maana sana
Kumbe haina kikombe chochote zaidi ya kisinia cha biriyani cha miaka hiyo
Kisinia cha biriani na hiko kikombe cha kahawa vina tofauti gani🤠🤠...carling cup ilitakiwa waweke ziwe zinacheza timu zinazoshika nafasi ya 10 kushuka chini unazichanganya na timu za championship huko
 
Kisinia cha biriani na hiko kikombe cha kahawa vina tofauti gani🤠🤠...carling cup ilitakiwa waweke ziwe zinacheza timu zinazoshika nafasi ya 10 kushuka chini unazichanganya na timu za championship huko
Tangu mwaka 2019,ukitoa Hilo biriyani,una kombe gani la maana?

Wenzio tuna UEFA ambayo wewe umetolewa nje na timu uliyokuwa unaiita mbovu😂
Na ushukuru,ungekutana na real Madrid angekufanyia mauaji ya kimbarii
Nasema uongo ndugu wajumbe?🤣🤣🤣🤣

Sisi tuna EPL ambayo wewe tangu 2004 last born wangu amezaliwa,na sasa kqgraduate chuo, arse8 hajagusa 🤣.

Tuna FA msimu juzi ambayo kwako ni historia.

Tuna Carabao msimu juzi na msimu leo ya moto motooo,unayooita kikombe cha chai ila bado kahawa yenyewe imekupiga chini hujainywa😆.

Hadi sasa timu ipo mikono mitupu haina kombe lolote na haeleweki hatma yake .. aluta continua tunaendelea tulipoishia Makombeless FC 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ramsdale ameona isiwe noma
Mshkaji kaamua kupiga fanta orange kisabato,no way maana asipokaa sawa hata fanta orange itampita babeki😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
 

Attachments

  • 20230317_140105 (1).jpg
    20230317_140105 (1).jpg
    83.7 KB · Views: 8
Carling cup??...hzi final za FA cup tunajuq mnaenda kukamilisha ratiba tu...hamna jipya....mnapigwa comeback na timu ya daraja la 10 halafu unqkuja kutujazia nzi hmu
yani mko mnajivunia sahani la ubwabwa ( community shield )
Wakati wenzio wana progress into the finals twice

The Community Shield is contested by the champions of the Premier League and the winners of the FA Cup.

In the event that the Premier League champions also win the FA Cup, the other place in the Community Shield goes to the league runner-up, rather than the cup's losing finallists.
 
yani mko mnajivunia sahani la ubwabwa ( community shield )
Wakati wenzio wana progress into the finals twice

The Community Shield is contested by the champions of the Premier League and the winners of the FA Cup.

In the event that the Premier League champions also win the FA Cup, the other place in the Community Shield goes to the league runner-up, rather than the cup's losing finallists.
Hyo final unabeba kombe🤠🤠??..au mnaenda kuzurura tu shehe
 
Tangu mwaka 2019,ukitoa Hilo biriyani,una kombe gani la maana?

Wenzio tuna UEFA ambayo wewe umetolewa nje na timu uliyokuwa unaiita mbovu😂
Na ushukuru,ungekutana na real Madrid angekufanyia mauaji ya kimbarii
Nasema uongo ndugu wajumbe?🤣🤣🤣🤣

Sisi tuna EPL ambayo wewe tangu 2004 last born wangu amezaliwa,na sasa kqgraduate chuo, arse8 hajagusa 🤣.

Tuna FA msimu juzi ambayo kwako ni historia.

Tuna Carabao msimu juzi na msimu leo ya moto motooo,unayooita kikombe cha chai ila bado kahawa yenyewe imekupiga chini hujainywa😆.

Hadi sasa timu ipo mikono mitupu haina kombe lolote na haeleweki hatma yake .. aluta continua tunaendelea tulipoishia Makombeless FC 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Ramsdale ameona isiwe noma
Mshkaji kaamua kupiga fanta orange kisabato,no way maana asipokaa sawa hata fanta orange itampita babeki😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌
Natunza hii risiti kwa sababu EPL mlobeba thanks to corona mtaisikia bombani mpk unafikisha miaka 70 tena ndo uje kubeba....UEFA kwli mnabeba sana ndugu zetu...ni kwli Madrid tungekutana naye angweweza kutudunda kama alivyowafumua nyny Tano pale kwenu Anfield na ndo ikawa mwsho wa kucheza UEFA🤠🤠🤠....halafu siku hzi mkitolewa ni mnatolewa kwa kufumuliwa kwlikwli...5 mara 3...yaani ni kipigo hasa
 
Natunza hii risiti kwa sababu EPL mlobeba thanks to corona mtaisikia bombani mpk unafikisha miaka 70 tena ndo uje kubeba....UEFA kwli mnabeba sana ndugu zetu...ni kwli Madrid tungekutana naye angweweza kutudunda kama alivyowafumua nyny Tano pale kwenu Anfield na ndo ikawa mwsho wa kucheza UEFA....halafu siku hzi mkitolewa ni mnatolewa kwa kufumuliwa kwlikwli...5 mara 3...yaani ni kipigo hasa
Yaani hata Hilo kombe la Corona nyie hamna
Wachezaji wetu walikuwa wanacheza sayari nyingine?
Ama walicheza pekeyao uwanjani

Arse8
 
Ifike wakati hamis77 atafutwe uko kitaa harudishwe hapa hata kwa viboko jamaa ni muoga sana lakini ndo kiongozi wa kupiga mdomo hapa.

hamis77 come out utueleze Bayern uliesema kibonde ni ipi jamaa ifike wakati aanze kuwajibishwa.View attachment 2970843
Masingeli hana tofauti yoyote na wanasiasa wetu wa bongo wakiwa kwenye kampeni za uchaguzi.
1713776649904.jpg
 
Kuna mtu aliwahi sema hii kauli ila sikumwelewa kwa kipindi kile,ila sasa namwelewa vizuri tu
"Don't project youself in me"naona mashabik wa man u,kenges,liver7 mnatiririka sana hapa.makasiriko ya kufeli kwenu msipoozee machungu kwetu
 
For me football is the most humiliating game.what makes it most humiliating is its nature of uncertainties.hii ndo inafanya tuinjoi
Hatujashinda kitu,but still we had a chance tofauti na miaka mingine tulikuwa tunakufa in a miserable way.we love our club and we are attached not touched
 
Pongezi kwa wanawake wetu kwa kuingia Champions League ya Wanawake. Ni mwendo wa kunyoosha Uingereza kwa kila timu, kuanzia watoto, wanawake mpaka first team. Tutokapo kuna giza ila tuendapo nuru tele.
 
Kuna mtu aliwahi sema hii kauli ila sikumwelewa kwa kipindi kile,ila sasa namwelewa vizuri tu
"Don't project youself in me"naona mashabik wa man u,kenges,liver7 mnatiririka sana hapa.makasiriko ya kufeli kwenu msipoozee machungu kwetu
Hawa jamaa jau sana. Wananikumbusha enzi zile za shule. Unafeli masomo, ila unaona freshi tuu kisa mshkaji wako naye kazingua

Badala yapambane na matimu yao, yametung'ang'ania humu. Wakati sisi ndo kwaaaanzaaa tupo phase phase ya 2.5/5.0

Gari linaanza kuwaka phase ya 3.0/5.0 msimu wa 24/25
 
Tumefikisha mechi 6 ugenini bila kuruhusu goli kwenye ligi kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu yetu.
Raya amekaa kaa kama anatachukua golden glove.
Si haba.
 
''UEFA tunayemuogopa labda Madrid kwa mbali, huyu Bayern tutapiga nje na ndani'' huyu jamaa anawaona mashabiki wa arsenal kama watoto wake.

Kuna mashabiki wa arsenal wakiwa wanaiongelea arsenal hadi unahisi hawa watu kuna majani wanakula au.
 
''UEFA tunayemuogopa labda Madrid kwa mbali, huyu Bayern tutapiga nje na ndani'' huyu jamaa anawaona mashabiki wa arsenal kama watoto wake.

Kuna mashabiki wa arsenal wakiwa wanaiongelea arsenal hadi unahisi hawa watu kuna majani wanakula au.
Hakukosea. Tulizingua tu ila uwezo wa kushinda tulikuwa nao, tofauti na zamani ambapo uwezo wa kuwapiga wale jamaa hatukuwa nao (na tuliwapiga pamoja na udhaifu wetu). Usione kama mshabiki akiona timu yake ina ubora kuliko ya mpinzani kuwa anakosea. Hata Porto tulijua tumewazidi na tulijua tutawafunga lakini haiukutoke. Kwenye ligi ndiyo kabisaaaa, tumefungwa na Wet Ham, Fulham, Aston Villa na tulitoka sare na Chelsea. Hawa wote tulijiamini kabisa, na tulikuwa na sababu za kujiamini, kuwa tutawapiga lakini mambo hayakwenda hivyo,
 
''UEFA tunayemuogopa labda Madrid kwa mbali, huyu Bayern tutapiga nje na ndani'' huyu jamaa anawaona mashabiki wa arsenal kama watoto wake.

Kuna mashabiki wa arsenal wakiwa wanaiongelea arsenal hadi unahisi hawa watu kuna majani wanakula au.
Tena anamalizia kwa kusema haya maneno huku akijiamini kabisa:

"Arsenal atacheza Fainal uwanja wa nyumbani Wembley, ukibisha huna akili"

1713782188650.jpg
 
Hakukosea. Tulizingua tu ila uwezo wa kushinda tulikuwa nao, tofauti na zamani ambapo uwezo wa kuwapiga wale jamaa hatukuwa nao (na tuliwapiga pamoja na udhaifu wetu). Usione kama mshabiki akiona timu yake ina ubora kuliko ya mpinzani kuwa anakosea. Hata Porto tulijua tumewazidi na tulijua tutawafunga lakini haiukutoke. Kwenye ligi ndiyo kabisaaaa, tumefungwa na Wet Ham, Fulham, Aston Villa na tulitoka sare na Chelsea. Hawa wote tulijiamini kabisa, na tulikuwa na sababu za kujiamini, kuwa tutawapiga lakini mambo hayakwenda hivyo,
Timu yetu bado sio ya kuwekea matumaini makubwa bado kuna vijana wengi wasio na expirience kubwa.
 
Back
Top Bottom