Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Sawa mkuu chonga ngenga....sisi hyuhyu anatutosha...Bayern wametutoa kwa ajili ya uzoefu wao tu...leo tumeshinda...wacha tuone na ndugu zetu Livakuku kesho watafanya nn
Broo ukitaka kumaliza huu msimu bila ya kupata depression acha kabisa kufikiria kuhusu kombe la Pl, jumanne mko na Chelsea mnafikiri atawaacha salama? Halafu kuna Spurs na Utd zote mnacheza ugenini.
1713646550087.jpg
 
Broo ukitaka kumaliza huu msimu bila ya kupata depression acha kabisa kufikiria kuhusu kombe la Pl, jumanne mko na Chelsea mnafikiri atawaacha salama? Halafu kuna Spurs na Utd zote mnacheza ugenini. View attachment 2969515
oyaa mzee baba,kwahiyo unaamini kabisa hao watoto
wa darajani watakuja kutamba pale emirates
acha utani kiongozi. kifupi hao watoto wanatuletea point zetu 3
niamini bro
 
Mannual na Chelkenge watoe hapo...hao ni laana inayotembea....kila siku majukwaa yao yamejaa malalqmiko....
Broo ukitaka kumaliza huu msimu bila ya kupata depression acha kabisa kufikiria kuhusu kombe la Pl, jumanne mko na Chelsea mnafikiri atawaacha salama? Halafu kuna Spurs na Utd zote mnacheza ugenini. View attachment 2969515
 
Kajisafishe nije nikufi ukojoe Kwa nyuma
Mbaga mimi binafsi hua nakukubali sana ndugu yangu, ila nakuomba acha hizo mambo za kutukanana, ukiona mtu anakukera ni bora tu kumuignore, matusi hua yanapunguza heshima na busara ya mtu.
Tuendelee kuzitania tu hizi Kima za humu lakini tusifikie huko kwenye kutoleana maneno machafu na hizi mbuzi zenye stress ambazo tayari zimeshajikatia tamaa.
 
Arteta asitudanganye na Rice pia Asitudanganye kua yeye ni number 6 bora kabisa, ila mbona kila akicheza namba 8 ndo tunauona ubora wake mkubwa kuliko 6.
 
Mbaga mimi binafsi hua nakukubali sana ndugu yangu, ila nakuomba acha hizo mambo za kutukanana, ukiona mtu anakukera ni bora tu kumuignore, matusi hua yanapunguza heshima na busara ya mtu.
Tuendelee kuzitania tu hizi Kima za humu lakini tusifikie huko kwenye kutoleana maneno machafu na hizi mbuzi zenye stress ambazo tayari zimeshajikatia tamaa.
hakuna mwana arsenal yoyote aliyekata tamaa boss
ukiona mtu najiita muarsenal alafu anasema amekata tamaa,
huyo ni mamluki tu
 
Mbaga mimi binafsi hua nakukubali sana ndugu yangu, ila nakuomba acha hizo mambo za kutukanana, ukiona mtu anakukera ni bora tu kumuignore, matusi hua yanapunguza heshima na busara ya mtu.
Tuendelee kuzitania tu hizi Kima za humu lakini tusifikie huko kwenye kutoleana maneno machafu na hizi mbuzi zenye stress ambazo tayari zimeshajikatia tamaa.
N kweli mkuu ndo mana comment yake ya mwisho nimeshow love then sijamjibu
 
Back
Top Bottom