HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Uko sahihi.Timu yetu bado sio ya kuwekea matumaini makubwa bado kuna vijana wengi wasio na expirience kubwa.
Ila sasa tusipoweka matumaini na kuwapamba tutawarushaje roho hawa wachawi wanaojazana humu? Lazima tuwapige kwenye mshono na mara nyingi tunakuwa sahihi. Ikitokea tumefungwa ni bahati mbaya na kina Flano ndipo wanapata mwanya wa kuleta vipicha vya ajabu humu.
