Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Timu yetu bado sio ya kuwekea matumaini makubwa bado kuna vijana wengi wasio na expirience kubwa.
Uko sahihi.

Ila sasa tusipoweka matumaini na kuwapamba tutawarushaje roho hawa wachawi wanaojazana humu? Lazima tuwapige kwenye mshono na mara nyingi tunakuwa sahihi. Ikitokea tumefungwa ni bahati mbaya na kina Flano ndipo wanapata mwanya wa kuleta vipicha vya ajabu humu.
 
Naona mmeamua kumloga Palmer wetu sasa hv anaumwa, ila dawa yenu iko pale pale
 
Kesho ni a game of two Kais.

Kutakuwa na Kai White (Havertz) na Kai Black (Jackson) au tuwaite 2Kai (kwa wale wanaowakumbuka wale 2Berry -Berry White na Berry Black wa Zanzibar, wanaweza kuipata hii reference kwa undani zaidi kidogo)
 
Kama upepo unakata mbona mnataka tuwauzie, Havertz tuliwapa kwasababu ndo alifikia mwisho wake c unaona huko alipo mnamsifia dkk 2 then dkk 88 mnamponda.
ni kwamba tu fans hawanaga shukrani nawanajisahau haraka
hawakumbuki jamaa alipotoka ni wapi na sasa perfomance yake kwasasa
ipoje.
huoni hata sasa kuna wanoko wanamponda arteta
 
Pastor Timber yupo kwenye kikosi cha U21 dhidi ya u21 wa Blackburn

Soon atarudi kwenye first team squad
 
Game inaoneshwa @arsenal.com na kwenye official app
20240422_204615.jpg
 
Back
Top Bottom