OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Yani nyie mapimbi mumeshindwa kabisa kumaliza Ligi na kombe
Tunaenda nusu Leo #COYG
Leo dunia itashangaa
CoYG
Mjerumani hapo alipo anatetemeka sana huku anatamani mechi ihairishwe ila ndiyo hivyo, wakali tupo Munich na muda mfupi tu tutamtema Mjerumani kwenye UCL.
Nasikia Arteta ni classmate wako Carasco PutinArsenyeto Bana
View attachment 2967598ar
kwani kuna mshika bunduki anayemponda mkuuMambo yamekuwa magumu ila ni wakati wa Arteta kuonyesha kukua kiakili na kisaikolojia. Uzuri wake jamaa ameonyesha kuwa mtu wa kujifunza na kurekebisha mambo msimu kwa msimu. Tuendelee kutumaini maana kiukweli amefanya kazi ngumu na nzuri mpaka hapa. Hata sisi #Atretaout tunamtetea na kumuombea mema tu.
Kwamimi sioni maajabu hata wakitoka mikono mitupu. Kujenga timu ya ushindani kwa muda mrefu sio jambo dogo. Wakiongeza wachezaji msimu ujao tutashindana. Wakishindwa tena mwakani!? Kutakua na shidaSi amini kama na msimu huu mnatoka mikono mitupu. Pamoja na kuwa kwenye Pick form lakini makombe yote mnaziacha ivi ivi hapana aisee. Fanyeni juu chini mchukue ipielo lasivyo hamtakuwa na utofauti na burnley anaeshuka daraja
Utabisha sana, ila arsenal tim kubwa duniani. Lesta kachukua EPL ni tim kubwa kama Arsenal.Kweli Kabisa Asenyo ni timu kubwa sana duniani ambayo haijawahi kubeba kombe lolote la Ulaya zaidi ya kua wasindikizaji.
Sahihi.Huu sio msimu wenu wa kwanza CL acheni kudanganyana humu, kikubwa mshukuru tu siku hizi Wajerumani wameanza kua wastaarabu tofauti na miaka 8 iliyopita walipowagonga goli 10.
Lakini hatuendi unhinge.Huu sio msimu wenu wa kwanza CL acheni kudanganyana humu, kikubwa mshukuru tu siku hizi Wajerumani wameanza kua wastaarabu tofauti na miaka 8 iliyopita walipowagonga goli 10.
Baada ya miaka 10 hakuna idadi ya kombe Arsenal atamzidi city labda kombe la wivu tuUzi wa Yanga una viewers wengi kuliko wa Site.
Yule mbuzi wao siyo wa kumpa airtime pia
View attachment 2967943