Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ndugu zetu Arsenyau leo mpo uwanjani mnakipiga na Wolves halafu mnajifanya mmesusa kama vile hamna habari.
Kama hamtaki kutuletea prediction na kutuchambulia kosi la leo basi tuchambulieni hata mchicha

Masingeli tells us Kai Havertz has some similarities with RVP.
Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwez kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz.

#Wazee wa kudominate league miaka 10+ consecutively tayari pumzi imekata View attachment 2969260
Mambo ya kurudi juu kileleni ndiyo haya sasa
 
Mambo ya kurudi juu kileleni ndiyo haya sasa
Mimi nawaombea mechi yenu ya leo mshinde ili mrudi humu kwenye kijiwe chenu cha kahawa, jukwaa limepoa kama mzinzi aliekaa kwenye benchi la hospitali anasubiria majibu yake ya Ukimwi.
Ila mtaani sasa hivi tunaishi kwa amani sana
 
Chelsea anamtoa City FA inakuwa rahisi kwa Man utd kulibeba kombe
 
kuna mdau alisemaga Simba na Arsenal matokeo hufanana fanana. Sasa sijui leo itakuwaje?
 
Yani kipigo cha wiki moja tu mmepoteana jukwaa zima kweli Wenger orphans mmeisha kama chupi za mtumba🤣🤣🤣bure kabisa.

leo hata mshinde mtakuwa amna furaha na ushindi wenu.
 
Mtu anakuambia mwaka huu ni lazima tuchukue UEFA ukimuuliza nitajie wachezaji wako wakukusaidia kulibeba anakutajia
Ben white Odegard Kai Havetz

BEN WHITEE ODERGAD KAI HAVERZ REALLY....??? MBELE YA WAKINA MODRIC KDB CARVAJAL WALKER KIMMCHI

Kama sio uteja huu au uwendawazimu ni kitu gani

Poor Arsenal
 
Back
Top Bottom