HENRY14
JF-Expert Member
- May 13, 2021
- 3,593
- 6,932
Wamepungua ila wapo mkuukwani kuna mshika bunduki anayemponda mkuu
nimegundua wanaomponda,wakilia artetaout ni timu zingine
Wamepungua ila wapo mkuukwani kuna mshika bunduki anayemponda mkuu
nimegundua wanaomponda,wakilia artetaout ni timu zingine
Mambo ya kurudi juu kileleni ndiyo haya sasaNdugu zetu Arsenyau leo mpo uwanjani mnakipiga na Wolves halafu mnajifanya mmesusa kama vile hamna habari.
Kama hamtaki kutuletea prediction na kutuchambulia kosi la leo basi tuchambulieni hata mchicha
Masingeli tells us Kai Havertz has some similarities with RVP.
Kai ni mzuri kwenye aerial duel, Kai ni mnyumbulifu, Kai ni king of pressing Epl.
Nketiah sio presser Kama Kai ,huwez kutaja wachezaji wanaojua ku press EPL watano ukamuacha Kai havertz.
#Wazee wa kudominate league miaka 10+ consecutively tayari pumzi imekataView attachment 2969260
Mambo ya kurudi juu kileleni ndiyo haya sasa


Mimi nawaombea mechi yenu ya leo mshinde ili mrudi humu kwenye kijiwe chenu cha kahawa, jukwaa limepoa kama mzinzi aliekaa kwenye benchi la hospitali anasubiria majibu yake ya Ukimwi. 


Maumivu juu ya Maumivu kwa citizensChelsea anamtoa City FA inakuwa rahisi kwa Man utd kulibeba kombe
Umeona comment n nyingi kuliko za Yanga ukaamua kukimbilia kwenye views 😂 AssAnal hamjawahi Kuwa na akiliUzi wa Yanga una viewers wengi kuliko wa Site.
Yule mbuzi wao siyo wa kumpa airtime pia
View attachment 2967943
Habari za city humu ganazi inakuaje kaka?Maumivu juu ya Maumivu kwa citizens
and their down fall shall start
Maelekezo lazima yatolewe na maelekezo lazima yazingatiwe FamiliaHabari za city humu ganazi inakuaje kaka?
Uwezo wenu ndo ulipoishia. Hamna tofauti na liverpool. Wote choka mbaya.Mbona kila timu inatukamia sasa hivi jamani?
Sema tenaUwezo wenu ndo ulipoishia. Hamna tofauti na liverpool. Wote choka mbaya.