Maumivu juu ya Maumivu kwa citizensChelsea anamtoa City FA inakuwa rahisi kwa Man utd kulibeba kombe
Umeona comment n nyingi kuliko za Yanga ukaamua kukimbilia kwenye views 😂 AssAnal hamjawahi Kuwa na akiliUzi wa Yanga una viewers wengi kuliko wa Site.
Yule mbuzi wao siyo wa kumpa airtime pia
View attachment 2967943
Habari za city humu ganazi inakuaje kaka?Maumivu juu ya Maumivu kwa citizens
and their down fall shall start
Maelekezo lazima yatolewe na maelekezo lazima yazingatiwe FamiliaHabari za city humu ganazi inakuaje kaka?
Uwezo wenu ndo ulipoishia. Hamna tofauti na liverpool. Wote choka mbaya.Mbona kila timu inatukamia sasa hivi jamani?
Sema tenaUwezo wenu ndo ulipoishia. Hamna tofauti na liverpool. Wote choka mbaya.
Cite itabeba uefa kaka, mbona uzi wenu mnamuachia pain kila wengine mnajaa humu?Mtu anakuambia mwaka huu ni lazima tuchukue UEFA ukimuuliza nitajie wachezaji wako wakukusaidia kulibeba anakutajia
Ben white Odegard Kai Havetz
BEN WHITEE ODERGAD KAI HAVERZ REALLY....??? MBELE YA WAKINA MODRIC KDB CARVAJAL WALKER KIMMCHI
Kama sio uteja huu au uwendawazimu ni kitu gani
Poor Arsenal
Vijana wamechoka kweli, Kocha mgumu kufanya rotationUwezo wenu ndo ulipoishia. Hamna tofauti na liverpool. Wote choka mbaya.