Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ubingwa wa kunywa ulanzi labda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mashabiki wa Arsenyetoz akili zenu ,na mna roho ngumu mno .
Yaani bado mnapigia kupata ubingwa msimu huu ?
Ubingwa upi labda mtuambie wenzetu
We mhehe kitu kikubwa kuliko vyote kwako ni kunywa ulanzi au siyo
 
#Sane#
#Musiala#
#Kane#
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
 

Attachments

  • Screenshot_20240417_214253_All Goals.png
    Screenshot_20240417_214253_All Goals.png
    927.3 KB · Views: 25
Nimependa hili jibu murua kwa kenge huyu.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20240417_214941_Chrome.png
    Screenshot_20240417_214941_Chrome.png
    188.6 KB · Views: 28
Ubingwa wa kunywa ulanzi labda [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani mashabiki wa Arsenyetoz akili zenu ,na mna roho ngumu mno .
Yaani bado mnapigia kupata ubingwa msimu huu ?
Ubingwa upi labda mtuambie wenzetu
Duh! Watu wanamjibu hatari

😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Don Carlo kagomea hotel aliyotafutiwa akisema kila akifikia hiyo hotel wanafungwa.

Ngoja tuone
 
Mwenye link ya kustream hii game tuone namna ya kuwasaidia gunners
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom