Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,014
- 95,520
Mzee iki Isha 0-0 SI tuna toka??Experience ni mwalimu mzuri saana
Mzee iki Isha 0-0 SI tuna toka??Experience ni mwalimu mzuri saana
Lile joka kibisa 😂🤣😂Aahh .. kai, kumamae walai 🤣😂😂
Mnaenda wapi?Mzee iki Isha 0-0 SI tuna toka??
kuna wale masecurity guard wanasubiri tufanye vibaya ndo wajazane
humu,kuja kupondea wachezaji wetu
sasa mbona mnajiwahi wakuu mpira bado haujaisha Draw yoyote, muda unaongezwa.Mzee iki Isha 0-0 SI tuna toka??
😂😂😂😂😂😂😂kuna wale masecurity guard wanasubiri tufanye vibaya ndo wajazane
humu,kuja kupondea wachezaji wetu
kuna wale masecurity guard wanasubiri tufanye vibaya ndo wajazane
humu,kuja kupondea wachezaji wetu
Bora trosard ange Anza aiseeIn
Draw yoyote, muda unaongezwa.
Ila ndio tushawekwa chuma moja a striker ndio brother kai 😂
Huyu nae kashalewa goli moja"Mganga wa kai ndio mganga wa ntibazonkiza pale arsenal 😂"
Mchawi leo umechelewa kuingia kilingeni 😂😂😂
Daaah roho inaniuma sana kinachoenda kutokeaMchawi leo umechelewa kuingia kilingeni 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 Mimi ndiomana niliacha ushabiki niliwahi kupasua simu kwa hasira, juzi hapa ndio nimeanza tena…! Huwezi amini ile siku tumefungwa 2 na Aston Villa niliumwaDaaah roho inaniuma sana kinachoenda kutokea
Hizi pimbi zinapigia mahesabu ya ubingwa ,pumbafu sana