Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Bado hamjasema
Narathemaa
 
KAI ni bingwa wa UEFA wewe anastahili namba hapo arse8, hata asipofunga tayari ana goals lake la uefa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Basi KAI ni bora kuliko RONALDO de lima kisa tu kainana UEFA na de lima hana uefa
πŸ˜‚πŸ€£
 
Si mlikuwa mnaambiana team yenu haina AbiriaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Vile Arsenal fanboys wakipiga mahesabu kuwa Liverpool atafungwa na Spurs, halafu atatoa sare na Everton, then sisi Arsenal tunashinda mechi zetu zote zilizobakia, kwanza tutapiga Chelsea 3 kavu, Spurs tutapiga 2 halafu tutamaliza na Manchester tunapiga 4.

Hapo ni kabla ya kupata Supp kutoka kwa Aston Villa.

 
Ila huku raha sana...
Kila mwaka, mwenye uhakika wa ubingwa kwa 96% ni Pain Killer. Mpaka akatengeneza ID nyingine ya Herzog ili awe anajiongelesha kwenye uzi wake lakini bado hakuna vibe kama huku, kwa manyumbu, chelkenge na livakuku.

Livakuku na sisi tukejitahidi sana kupambana na kipara ila inaelekea tutafeli tena. Daah.
 
Hakuna mtu alizaliwa kuwa shabiki wa Man city
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…