Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kosa lilikuwa kuanza bila kiungo mtuliza timu. Jorginho mzima partey mzima unaanzaje na kiungo kile... ainabidi akubali mmoja wao kati ya jesus au kai aanzie bench
 
🤣🤣🤣🤣🤣hapa hamis77 ndo tuonane msimu ujao jamaa ndo anaenda kupotea jumla.
1694802828839.jpg
 
Ngoma ya watoto haikeshi. Huwezi kutegemea wavulana kuchukua kikombe labda wachukue kikombe cha chai. Mbwa sana nyie!
 
Huwezi kuw unasaka matokeo una kai ndani, mchango wake kwenye kusaka magoli na kutengeneza ni mdogo mnoooo..

Leo kipindi cha kwanza angefunga walau 1.

Kwanza kuna cross ilipigwa yaani ule mpira ni kimo chake, hatimae akaruka kama chura.

Kuna mpira yeye ndio alikuwa mbele, hatimae beki akamkuta na kumzuia.

Mipira mingine mpaka naisahau.

Kacheza LCM lakini ni yupo yupo tu kama mfanyakazi hewa , ye ni kuzuia mpira na kupasia kamaliza,

Ngoja nikatizame updates za wayahudi na wa Persians.
 
Back
Top Bottom