arsenal2004
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 2,328
- 4,315
Kabisa....nasikia wanasema anafata Nyukesto sijuiš¤ š¤ ....Sasa wajiandae usiku wa deni haukawiiiKabisa. Timu ndogo zikisikia sisi ni next zinatetemeka hatari
Kabisa....nasikia wanasema anafata Nyukesto sijuiš¤ š¤ ....Sasa wajiandae usiku wa deni haukawiiiKabisa. Timu ndogo zikisikia sisi ni next zinatetemeka hatari
Nakubali kuwa Odegaard anaangushwa na quality ya umaliziaji wetu. Ile mechi ya liverpool angefunga Kai badala ya Saka kwa umaliziaji mzuri ingependeza mno. Odegaard anatakiwa kuwa na assists nyingi tu sema watu hawafungiOdegard yupo more flexible kuliko KDB.
Odegard ni mchezaji mgumu kumpress ukimlinganisha na KDB.
Odegard ana uwezo mkubwa wa kuhold mpira kuliko KDB. KDB mkija wengiwengi anatoa easy pass,.wakati odegard ana uwezo wa kucheza kwenye hilohilo kundi kubwa la wapinzani.
Odegard magoli yake mengi ni mashuti, ndo maana nasema miaka kama 4 mbele akiwa na uzoefu atampita KDB.
Jana KDB Kuna mipira alikuwa anapata anajipigia krosi tu, kwasababu hayupo flexible kama odegard, kupiga krosi ndiyo option yake pekee.
High vision kwenye kupiga pasi inaletwa na uzoefu, lakini hata hizo pasi mnazomsifia KDB mbona odegard anapigaga sana tu, Tena kuna vipasi vifupivifupi vya assist KDB apigagi tatizo wachezaji wetu hawafungi
Odegard akiendelea kucheza hivi, atakapofikisha umri wa KDB itakuwa disaster
Labyrinth hataki kusikia hii habariKabisa....nasikia wanasema anafata Nyukesto sijuiš¤ š¤ ....Sasa wajiandae usiku wa deni haukawiii
Watu tunaotazama soka almost Kila game tunaona matobo mengi ya timu tofautitofauti....tangu mwanzo tukimuambia hii sio timu Bali ni wafanya vurugu akawa anabisha...Kiko wapi sasa š¤ š¤ š¤Labyrinth hataki kusikia hii habari
Kuna wale wanaojiita mshabiki wa Arsenal ambao timu ikifungwa au kutoa sare wanakuja na maneno kibao ila sasa mechi ya tano mfululizo timu inashinda tena kwa goli nyingi wako kimyaa hawaonekani. Mnafiki ishi nae kinafiki.


Mi wakati naandika ilikua siyo kushindana ilikua ni kuonyesha wapi strength ya Kelvin ilipo.Odegard yupo more flexible kuliko KDB.
Odegard ni mchezaji mgumu kumpress ukimlinganisha na KDB.
Odegard ana uwezo mkubwa wa kuhold mpira kuliko KDB. KDB mkija wengiwengi anatoa easy pass,.wakati odegard ana uwezo wa kucheza kwenye hilohilo kundi kubwa la wapinzani.
Odegard magoli yake mengi ni mashuti, ndo maana nasema miaka kama 4 mbele akiwa na uzoefu atampita KDB.
Jana KDB Kuna mipira alikuwa anapata anajipigia krosi tu, kwasababu hayupo flexible kama odegard, kupiga krosi ndiyo option yake pekee.
High vision kwenye kupiga pasi inaletwa na uzoefu, lakini hata hizo pasi mnazomsifia KDB mbona odegard anapigaga sana tu, Tena kuna vipasi vifupivifupi vya assist KDB apigagi tatizo wachezaji wetu hawafungi
Odegard akiendelea kucheza hivi, atakapofikisha umri wa KDB itakuwa disaster
Mkianza kula mvua ya visago Odegaard na Havertz mnawatukana na kuwaita mashoga na magoigoiShootegard
Chancegard
Passegard
Pressgaard
Ohmygard
Odegaard man he's insane.




Poa , tutakutana tuTuwashukuru kwa lipi...Kila mtu apambane na matatizo yake...hamjatusaidia...mmejisaidia wenyewe...tukikutana na nyie kono la nyani lipo palepale...msijidanganye na matokeo ya jana
6 na 5 zinawadamganya.Naona hivo kabisa
Wewe umelewaOdegard yupo more flexible kuliko KDB.
Odegard ni mchezaji mgumu kumpress ukimlinganisha na KDB.
Odegard ana uwezo mkubwa wa kuhold mpira kuliko KDB. KDB mkija wengiwengi anatoa easy pass,.wakati odegard ana uwezo wa kucheza kwenye hilohilo kundi kubwa la wapinzani.
Odegard magoli yake mengi ni mashuti, ndo maana nasema miaka kama 4 mbele akiwa na uzoefu atampita KDB.
Jana KDB Kuna mipira alikuwa anapata anajipigia krosi tu, kwasababu hayupo flexible kama odegard, kupiga krosi ndiyo option yake pekee.
High vision kwenye kupiga pasi inaletwa na uzoefu, lakini hata hizo pasi mnazomsifia KDB mbona odegard anapigaga sana tu, Tena kuna vipasi vifupivifupi vya assist KDB apigagi tatizo wachezaji wetu hawafungi
Odegard akiendelea kucheza hivi, atakapofikisha umri wa KDB itakuwa disaster
Mmeshaanza kuwa na viburi tena na kidomodomo kama mwajuma ndalandefu au sio ?eti wametusaidia, hizi Kenge ni vichaa Sana
ila Trossard kuna kitu anafanya akiwa false 9 kuliko akiwepo Jesus
Front three ya Nelli Trossard Saka imekuwa ina ushirikiano mzuri sana kuliko akiwepo Jesus ,au mm ndio naona vibaya
Jesus ana bahati sana mechi za UCL ,Toka hata akiwa City
Pep anaringa kwa sababu KDB amerejea kikosini na anakiwashaHii marathon ya ubingwa ni ya mtu che,
After 5 games Kuna uwezekano, klop akatema bungo,
Pep msimu huu yupo vibaya mno msimu huu, tatizo lake ni mbishi sana.
Kuna uwezekano mkubwa nyumbu wakitupia makofi. Yani mchezo miwili kabla ya kumaliza ligi NDOO itakua imetua EmiratesView attachment 2907967
Ili iwe hivyo timu inabidi ichague kufocus na ligi au cl.Hii marathon ya ubingwa ni ya mtu che,
After 5 games Kuna uwezekano, klop akatema bungo,
Pep msimu huu yupo vibaya mno msimu huu, tatizo lake ni mbishi sana.
Kuna uwezekano mkubwa nyumbu wakitupia makofi. Yani mchezo miwili kabla ya kumaliza ligi NDOO itakua imetua EmiratesView attachment 2907967
Ninyi ni vijana wetu wa kuwafanyia mazoezi...tukikutana na nyny ni kama Kawa...ngumi tatu kwa kwnda mbelePoa , tutakutana tu
Uzuri tuna ninyi false hopers kwenye ligi na FA pia
Tutawanyoosha na kuwafunza adabu
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Mkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa SasaIli iwe hivyo timu inabidi ichague kufocus na ligi au cl.
Hatuna kikosi cha kufocus kote kuwili
Porto wanawatoa amini maneno yangu.Mkuu uefa ni michezo ya mkakati na bahati pia. Tukulie uefa kwa Porto tuna mkanda 5, hii ndio standard yetu kwa Sasa
Kwaio wakija home hatutawekeza nguvu kubwa, Hadi robo huko
Robo tubahatike kukutana na city, Madrid, Bayern au Barca ili kazi iwe nyepesi
Nusu final then Final yenyewe.
Ni kuweka mikakati sawa tu, huku upande wa uefa
Ligi ni marathon, huku ndio kazi ipo
Uefa tuwekeze nguvu 40%, tunaanza na Porto. Hii tumeshafudhu hapa
Ligi tuweke nguvu 60%
Na wote humu hatukuwa na amani kwa sababu hatujaleta vyuma vipya January. So far so good lakini. Tuone kama tutamaliza vizuri hivi
Wiki ijayo mechi ya Ligi tutakuwa na vyuma vimekaa pembeni vinaangalia tukimpa mtu goli tatu za fastafasta...halafu wanaingizwa wakaongeze spidi na mashambulizi zaidi....namzungumzia Partey na Jesus na bwana mdgo ESR....yule Zinchenko ahamishiwe nafasi ya golikipa awe anaingia dakika ya 70 kumpokea Raya...ile namba 3 kule hakumfai tena kuna mtu kazi