Trick mirik
JF-Expert Member
- May 5, 2019
- 555
- 1,294
Ndio maana hata jamaa wanatumia upande ule ila raha ya tomiyasu uwe unaongoza hata goal mojaKiwior leo hapana. Changes needed in the second half
Ndio maana hata jamaa wanatumia upande ule ila raha ya tomiyasu uwe unaongoza hata goal mojaKiwior leo hapana. Changes needed in the second half
kombe hili nachukua kipindi cha pili nau mechi uyo mjerumani anakutoa Sana anacheza kama anacheza na wadogo zakeNyie mpigeni City. Sisi tunakomaa na huyu mjerumani mpaka kieleweke.
Mjerumani tumemtawala vizuri tu sema vimakosa vyetu katumia vuzuri. Mjerumani kwetu ni kama Liverpool. Ni mzuri, ila tumammudu.kombe hili nachukua kipindi cha pili nau mechi uyo mjerumani anakutoa Sana anacheza kama anacheza na wadogo zake
Wanakokota mpira katikati. Partey atasaidia kupunguza hiliBasi Arteta anang'ang'ana na mtoto wake Kai mpaka mwisho wakati anajua hii michuano ni ya Jesus.
Toa na Jorginho weka Partey, tunashinda mechi hii.
Sindio huyu mlisema ni kipa la dunia au?david raya mchezo wake wa kutoka sana leo tena umechangia kufungwa goli la kwanza.. sijui jamaa anawazaga nini yani kuliacha lango lake mbali vile.
Huyu kuku wetu manati ya niniTulikubaliana tunampiga nje ndani lakin, alafu si mlisema Bayern kaisha choka? Em tumuadabishe aisee
Sa sijui itakuajeVip hapa wadau si mliwataka wenyewe Bayern hao hapo sasa
NdiyoVip hapa wadau si mliwataka wenyewe Bayern hao hapo sasa
Moja la wapi ?Trosaaaard, bado moja