Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Basi Arteta anang'ang'ana na mtoto wake Kai mpaka mwisho wakati anajua hii michuano ni ya Jesus.

Toa na Jorginho weka Partey, tunashinda mechi hii.
Wanakokota mpira katikati. Partey atasaidia kupunguza hili
 
Naona mnamuadabisha huko Bayern, tena mumpige nje ndani huyo sawa?
 
david raya mchezo wake wa kutoka sana leo tena umechangia kufungwa goli la kwanza.. sijui jamaa anawazaga nini yani kuliacha lango lake mbali vile.
Sindio huyu mlisema ni kipa la dunia au?
 
Asenyetoz mnatingisha kalio Kwa waume zenu Bayern Tu ,
Si hawa Bayern mlizokuwa mnasema mnawatamani ?
 
Back
Top Bottom