Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ambacho watu hawajui

Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ilivyo

Swali nani ana enjoy kukutana na Arsenal sasa?


Liverpool asingedondosha point Jana ,na uhakika angedondosha hapo mbele tu, why ,wanaruhusu sana nafasi

Naangalia Ratiba yetu na hao tunaocheza nao wanavyocheza ,kiuhalisia hakuna mgumu hapo ,Tena ukitanguliwa na Arsenal ,wewe fungasha virago tu ,


Liverpool ana mechi 3 mfululizo za away,


Mechi yetu ambayo wachezaji wanatakiwa kujitoa kama kawaida kuhakiksha tunashinda ni Vs Spurs

Mechi mbili ambazo zinasemwa ngumu ni vs Chelsea , Astonvilla zitakuwa Emirates


Chelsea amezidi kuwa ovyo sana kwenye defence hana tofaut na man u


Man u yeye ni dhaifu sana ,ndio maana klopp hiyo mechi imemuuma sana akasema kama ni Arsenal ana uhakika 100% watashinda ,

Maana anajua Arsenal tukishaongoza hata moja halafu tunataka matokeo basi kazi imeisha ,


Chelsea Jana amekuwa outplayed na Sheffield united, Chelsea pale Emirates hawezi kuzuia asipigwe

Astonvilla anakuja bila Douglas Luiz na Kamara , wanakuja wakiwa na midfield dhaifu


Mwisho tunaiona mechi muhimu ambayo tutatakiwa kujitoa sana ni vs Spurs


Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ipoje


Kwasasa Mancity ndiye mwenye ratiba nyepesi , anafata Arsenal ,mwisho Liverpool,


Liverpool zile mechi 3 za away atadondosha point tu
 
Ambacho watu hawajui

Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ilivyo

Swali nani ana enjoy kukutana na Arsenal sasa?


Liverpool asingedondosha point Jana ,na uhakika angedondosha hapo mbele tu, why ,wanaruhusu sana nafasi

Naangalia Ratiba yetu na hao tunaocheza nao wanavyocheza ,kiuhalisia hakuna mgumu hapo ,Tena ukitanguliwa na Arsenal ,wewe fungasha virago tu ,


Liverpool ana mechi 3 mfululizo za away,


Mechi yetu ambayo wachezaji wanatakiwa kujitoa kama kawaida kuhakiksha tunashinda ni Vs Spurs

Mechi mbili ambazo zinasemwa ngumu ni vs Chelsea , Astonvilla zitakuwa Emirates


Chelsea amezidi kuwa ovyo sana kwenye defence hana tofaut na man u


Man u yeye ni dhaifu sana ,ndio maana klopp hiyo mechi imemuuma sana akasema kama ni Arsenal ana uhakika 100% watashinda ,

Maana anajua Arsenal tukishaongoza hata moja halafu tunataka matokeo basi kazi imeisha ,


Chelsea Jana amekuwa outplayed na Sheffield united, Chelsea pale Emirates hawezi kuzuia asipigwe

Astonvilla anakuja bila Douglas Luiz na Kamara , wanakuja wakiwa na midfield dhaifu


Mwisho tunaiona mechi muhimu ambayo tutatakiwa kujitoa sana ni vs Spurs


Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ipoje


Kwasasa Mancity ndiye mwenye ratiba nyepesi , anafata Arsenal ,mwisho Liverpool,


Liverpool zile mechi 3 za away atadondosha point tu
Hizo za klopp ni mind games tuu

Kafungwa FA mkasema atashinda game ya league kiko wap
 
| Coach Roberto De Zerbi explains why Arsenal is a bright candidate for the Premier League championship:

"They don't work too much in their own half, but they play great in the other half. They move the ball at a tremendous speed."

"They also have one of the best players in the Premier League right now, Martin Ødegaard"

"The moment they enter the last 20 meters of the opponent's field , they always do a great job. When they are in that position, they always handle it really well."
 
Ambacho watu hawajui

Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ilivyo

Swali nani ana enjoy kukutana na Arsenal sasa?


Liverpool asingedondosha point Jana ,na uhakika angedondosha hapo mbele tu, why ,wanaruhusu sana nafasi

Naangalia Ratiba yetu na hao tunaocheza nao wanavyocheza ,kiuhalisia hakuna mgumu hapo ,Tena ukitanguliwa na Arsenal ,wewe fungasha virago tu ,


Liverpool ana mechi 3 mfululizo za away,


Mechi yetu ambayo wachezaji wanatakiwa kujitoa kama kawaida kuhakiksha tunashinda ni Vs Spurs

Mechi mbili ambazo zinasemwa ngumu ni vs Chelsea , Astonvilla zitakuwa Emirates


Chelsea amezidi kuwa ovyo sana kwenye defence hana tofaut na man u


Man u yeye ni dhaifu sana ,ndio maana klopp hiyo mechi imemuuma sana akasema kama ni Arsenal ana uhakika 100% watashinda ,

Maana anajua Arsenal tukishaongoza hata moja halafu tunataka matokeo basi kazi imeisha ,


Chelsea Jana amekuwa outplayed na Sheffield united, Chelsea pale Emirates hawezi kuzuia asipigwe

Astonvilla anakuja bila Douglas Luiz na Kamara , wanakuja wakiwa na midfield dhaifu


Mwisho tunaiona mechi muhimu ambayo tutatakiwa kujitoa sana ni vs Spurs


Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ipoje


Kwasasa Mancity ndiye mwenye ratiba nyepesi , anafata Arsenal ,mwisho Liverpool,


Liverpool zile mechi 3 za away atadondosha point tu


Ata city Kuna maiti moja itamng'ang'ania, subiri utaona
 
Kikosi cha Bayern kinachotarajiwa kuivaa Arsenal kesho

According to Kicker


Jana nilikuwa nafanya mazungumzo na wajerumani mashabiki wa Bayern ,wamejaa uoga sana ,

Hofu Yao kubwa wanasema kumkosa Palvovic ambaye hatasafiri na timu, na midfield Yao ya Gorteza na Laimer itakuwa a joke vs Arsenal


Pia wanapingana sana kwenye backline, wanasema Davis ni uchochoro na hawataki aanze

Combination ya Kim Min Jae na Upemaguire wanaikubali inaonekana ina quality kuliko combination ya Dier na De Ligt, shida imekuwa combination ya Kim na Upemaguire inakula vipigo na inafanya makosa mengi,

Ndio maana Tuchel chaguo lake imekuwa De Ligt na Dier,

Wanaomba Mazour acheze RB ,na Kimmich acheze midfield, lasivyo wanahisi watapigwa sana pale Emirates


Tuchel pia kapewa mechi ya Arsenal kama ya mwisho , akitolewa atafukuzwa kabla ya msimu kuisha .


Hayo ni machache ambayo Jana nilikuwa najidiliana na Mashabiki wa Bayern kuelekea mechi na Arsenal pale Emirates
20240408_005143.jpg
 
Hii lineup mimi naiona nzuri tu nikitumia jicho langu la kujua majina tu na kuwasikia baadhi ya wachezaji bila kuangalia Bundesliga.

Nataka tuwafunge hawa watu ili tuweke mambo sawa kihistoria, na poa tufike nusu fainali na ikiwizekana hatimae tufike fainali. Naamini uwezo wa kuwafunga tunao na namtakia Arteta kila la heri. Amefanya kazi kubwa sana kurejesha heshima ya Arsenal, tena zaidi amefanya kazi kubwa kuifanya Arsenal iogopwe na timu nyingi.
 
Mie naweza kukuelewa lakini we huwezi nielewa mimi.
Hakuna sehemu nimekosoa movements zake, kwenye movements anajitahidi.

Rudia kusoma tena comment yangu, unaweza rekebisha reply yako kama ukitaka.
Mi nimekuelewa vzr san kai angekuwa mwepesi kuturn kam alivyo watkins au isack angekuwa hashikiki yule mtoto ila ndo hivo mungu hakupi vyote
 
First leg aliyetuchomesha kwa spurs ni Jorginho.

Spurs wanafanya high line pressing. Ambayo inasababisha waconcede easily shida ni kwamba wao pia wanaweza kuscore vizuri pia.
Huyu spurs ni mtani wa jadi hakuna namna ataridhika tumfanye jiwe kuelekea ubingwa, yeye na kenge watafosi sana kutuzuia.

Kenge ni wabovu but tulivyocheza nao walikomaa mwanzo mpaka mwisho wa mchezo.

Tusimalize maneno
Point tulizopoteza kwa fulham, saka kutuchoma, kisha Totteham,kisha chelsea, halafu tukafa nyumbani goli 2 mtungi na westham,hizi ni game ambazo leo hii zingetuweka mbali kidogo, ila ndio mchezo wa wanadamu lazima makosa yawepo.
 
Point of correction.. hapo kwenye kurefuka, mtu anamaliza kurefuka anapofikia umri wa miaka 18 kwa mwanaume, kwa mwanamke may be earlier than that
Mabadiliko ya ukuaji yanaenda mpaka miaka 23 baada ya hapo ni nadra sana mtu kuwa na mabadiliko ya ukuaji japo inaweza kutokea
 
Sisemi tu kwa kuwa nimesema, that's the physiology of bone growth. So sijui hizo details unazitoa wapi but ninachojua normally mifupa (epiphysial plates) inaunga mtu anapofika miaka 18 so ukuaji kwa urefu una sieze hapo, otherwise kuwe na delay ya bone fusion.
Mkuu uko sahihi lkn hakuna limitation kwamba ukifika 18 basi huwezi tena kuwa na mabadiliko ya ukuaji ila inasemekana kwamba watu wengi mabadiliko ya ukuaji hukoma baada ya 23 yrs japo pia inaweza kuvuka kutegemea na mtu. Ukija na hoja ya physiological growth of bones huwezi acha kitu muhimu ambacho hormones of growth. Kwahiyo alichosema kwa Kai inaweza kuwa ni sahihi kama kajiridhisha na taarifa zake.

Note. Science ya viumbe sio kama science ya hesabu kwamba ina exactly answer
 
Ambacho watu hawajui

Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ilivyo

Swali nani ana enjoy kukutana na Arsenal sasa?


Liverpool asingedondosha point Jana ,na uhakika angedondosha hapo mbele tu, why ,wanaruhusu sana nafasi

Naangalia Ratiba yetu na hao tunaocheza nao wanavyocheza ,kiuhalisia hakuna mgumu hapo ,Tena ukitanguliwa na Arsenal ,wewe fungasha virago tu ,


Liverpool ana mechi 3 mfululizo za away,


Mechi yetu ambayo wachezaji wanatakiwa kujitoa kama kawaida kuhakiksha tunashinda ni Vs Spurs

Mechi mbili ambazo zinasemwa ngumu ni vs Chelsea , Astonvilla zitakuwa Emirates


Chelsea amezidi kuwa ovyo sana kwenye defence hana tofaut na man u


Man u yeye ni dhaifu sana ,ndio maana klopp hiyo mechi imemuuma sana akasema kama ni Arsenal ana uhakika 100% watashinda ,

Maana anajua Arsenal tukishaongoza hata moja halafu tunataka matokeo basi kazi imeisha ,


Chelsea Jana amekuwa outplayed na Sheffield united, Chelsea pale Emirates hawezi kuzuia asipigwe

Astonvilla anakuja bila Douglas Luiz na Kamara , wanakuja wakiwa na midfield dhaifu


Mwisho tunaiona mechi muhimu ambayo tutatakiwa kujitoa sana ni vs Spurs


Ratiba inakuwa ngumu kutokana na timu yako ipoje


Kwasasa Mancity ndiye mwenye ratiba nyepesi , anafata Arsenal ,mwisho Liverpool,


Liverpool zile mechi 3 za away atadondosha point tu
Sikumbuki Wenger orphans kuchukua point Old Trafford ilikuwa mwaka gani siku iyo hamta amini aise.

tutawapangia wa kina kambwala na lazima tuwarambe.
 
🅱️USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY

✍🏾 Uliwahi jiuliza kwanini baadhi wachezaji wanaumia sana ( Injury prone), tofauti na Wengine, Arsenal wachezaji wa hivi wapo pia Kina Partey, Tomiyasu, zinchenko Nk.

✍🏾 Majeraha kwa mwanamichezo yeyote hayaepukiki, ila sasa majeraha mara kwa mara haya yana sababu za ziada.

✍🏾 Genetic traits: hapa ni gene ambazo mchezaji husika kazipata, kutoka kwa wazazi au ukoo wao wana historia namna hiyo unakuta mchezaji nae anakuwa prone kwenye hali hiyo.

✍🏾 Hali ya mgonjwa: unakuta mchezaji mwenyewe labda ana magonjwa yanayosababisha hali hiyo injury.

✍🏾 Lishe: hili swala muhimu sana ndio maana vilabu vinasajili wataalamu wa lishe, ili kuwaguide wachezaji vyakula vyao ili wabaki kwenye shape na utimamu, kukikosekana mpangilio wa lishe ni rahisi mchezaji kuwa injury Prone.

✍🏾 Risk taking: hapa tunazungumza Action mchezaji kuamua kutake Risk, kufanya tukio fulani inapelekea injury pia.

✍🏾 Historia au Mazingira : unakuta mchezaji ana historia hiyo ya majeruhi, hivyo ataendelea hivyo hivyo , pia mazingira kama sio rafiki.

✍🏾 Nazani wataalamu wa Afya humu watanisaidia, kuna kitu kinaitwa "Hypomobility" na "Hypermobility", Vitu hivi chanzo kikubwa pia injury sababu nature yake.

✍🏾 Mfano "Hypermobility" ni kitendo cha joint kufanya mijongeo kuliko hali ya kawaida, wachezaji wenye hali hii wapo risk kupata majeraha moja kwa moja.

✍🏾 Mwisho nimalize kitu kinaitwa ACL hii injury uwa inatabia kujirudia, au kusababisha injury nyingine kwenye goti, wachezaji walio wengi waliwahi pata jeraha hili uwa hawarudi kwenye utimamu wao 100%, na kuwa injury prone ni rahisi.

Amigos
FB_IMG_1712571169818.jpg
 
IMG_20240408_110936_743.jpg

Siku zote fixture difficulty inategemea timu unayocheza nayo iko home/away, kwa maana home advantage inachukua sehemu kubwa kwenye kusort fixture difficulty regardless na uwezo wa timu pinzani. Nikisema hivyo namaanisha kwa mfano tulipokutana na Liverpool home na tulipoenda ugenini kwa Liverpool, ugumu ulikuwa tofauti coz mwanzo Arsenal v Liverpool ilikua mechi ngumu kwa Liverpool ila mechi ya pili Liverpool v Arsenal mechi ilikua ngumu kwa Arsenal. Same applies kwa games mfano Arsenal v City/City v Arsenal.

Sasa ukiangalia hapo juu, kati ya mechi zilizobaki Liverpool ana mechi 4 away na 3 home na hizo mechi anazocheza home sio nyepesi (Spurs, Wolves), same kwa Arsenal mechi za home pia sio nyepesi (Chelsea) japo tumebaki na mechi 4 home na 3 away tofauti na ilivyo kwa Liverpool. Hivyo home advantage itatufavor (Liverpool & Arsenal) kwa kiasi tuchezapo nyumbani.

Tukumbuke mechi zetu za ugenini pia zimeshiba!

City amebakiwa na mechi 4 home na 3 away, home opponents wake sio wazuri sana so mategemeo labda adondoshe points akiwa away (vs Spurs, vs Brighton).

Then kuna huyu decisive opponent ambae tutacheza nae wote, Spurs. Hii game ndio ngumu kuliko zote coz Spurs wapo tayari kupoteza points kwa City na Liverpool lakini sio kwa rival wao Arsenal. Hivyo hii ndio vita yetu kubwa.

Finally niseme tu, sihofii uwepo wa Liverpool pale juu ila atakapokaa City juu kwa tofauti ya point 1 tu basi ndio bye bye hatumpati tena, na hiyo ni kulingana na fixtures zake zilizobaki maana hata tofauti ya magoli haitatusaidia.
 
Back
Top Bottom