999 chatta
JF-Expert Member
- Apr 17, 2020
- 874
- 1,627
Nilisema mieKwa jinsi nilivyowaangalia liver Kwa game zao kama 3 za mwisho, Nina matumaini Manyumbu Wana uwezo wa kumpunguza Kasi Liverpool, na hasa kwasababu ni mahasimu.
Manyumbu wanatakiwa wapake basi, wacheze counter/ transition


Jürgen Klopp:
