Kai anatoka Bayer Leverkusen ana 6f 2in (187cm) akiwa na umri wa 21y.Point of correction.. hapo kwenye kurefuka, mtu anamaliza kurefuka anapofikia umri wa miaka 18 kwa mwanaume, kwa mwanamke may be earlier than that
Sisemi tu kwa kuwa nimesema, that's the physiology of bone growth. So sijui hizo details unazitoa wapi but ninachojua normally mifupa (epiphysial plates) inaunga mtu anapofika miaka 18 so ukuaji kwa urefu una sieze hapo, otherwise kuwe na delay ya bone fusion.Kai anatoka Bayer Leverkusen ana 6f 2in (187cm) akiwa na umri wa 21y.
Sasa hivi ana 6f 4f (193cm), umri 24y
Tunamuweka kwenye dua.Man United Hana ubavu wa kulinda ushindi
Kuna siku niliandika kwamba ni swala la muda ila hizi bahati na kubebwa zitafade out ilikua liva wamefululiza kupata late winners na hapo hapo late winner ya mwisho nahisi ilikua na utata.Usimchukulie poa Liver. Mie ndo namuogopa yupo juu kwa point. Huyu Man city anakazi ya kutufukuza. Fikiria wote tukishinda mechi zetu.
Kweli aisee, utafikiri yeye hajui kuwa kushambulia goli ni sehemu ya mchezo.Yaa
Yaani yule kai angekuwa na miguu ya trossard tu, angekuwa hatari mnoo, kai kapoa saana, kai akiwa na mpira hayupo direct sana kwenye goli, mali ndain ya box ana turn analipa goli mgongo.