ikiumasema
JF-Expert Member
- Oct 9, 2015
- 923
- 1,302
Sasa acha kuwapangia watu wafurahi vipi........Umeongea maneno mengi yasiyo na maana kwangu
Sasa acha kuwapangia watu wafurahi vipi........Umeongea maneno mengi yasiyo na maana kwangu
umeongea kikubwa sana umefungua portal mature brain yakuona uhalisiaArteta alisema msimu wa 3 tunaenda CL tunatalii tunaondoka.
Msimu unaofuata tunaenda kuchukua kombe kabisa.
Kwa kikosi finyu ilibidi liva apate kimoja kimoja hakuweza kuchukua ligi na cl kwa pamoja. Changamoto hiyo ya kikosi tunayo Arsenal pia.
Nini kitakua tofauti kwetu mpaka kuweza kupata vyote viwili? Notice sisi ni wageni CL, Bayern are shittier ila wana uzoefu mule wanajua kudisrupt rhythm ya mchezo kama Porto walichotufanyia.
Madrid ana mid nzuri, ana wings nzuri, ana goalscorer kijana. Ana beki nzuri pia. Kiukweli timu ambayo naona tunaweza ifunga bila kujiuliza ni PSG na Barca.
😂🙌 huyo Kai anavyosifiwa, utasema ni prime Messi.Ukitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba...
King KaiView attachment 2956276
msifieni na rashidi wenu mkuu😂🙌 huyo Kai anavyosifiwa, utasema ni prime Messi.
Daaaah kulaalekiiiUkitaka kumkaba kama mshambuliaji unamkuta zake anacheza kiungo ,mkishambulia unamkuta zake anacheza beki, tukiwashambulia unakuta anacheza mshambuliaji Tena anafika wa kwanza kutupia kamba...
King KaiView attachment 2956276




.Mkuu unajua kuwakera. Hapo baada ya kusoma yamevimba uso kwa hasiraNdio uhalisia ,jamaa ameongeza sana kitu kwenye defenceDaaaah kulaalekiii.Mkuu unajua kuwakera. Hapo baada ya kusoma yamevimba uso kwa hasira
Miaka kadhaa kuna game City walitupiga. De Bruyne akasema forward line yetu (Auba, Ozil, Martinelli na Laca) Martinelli pekee, ndo alikuwa anasaidia kurudi nyuma na kukaba. Tena hapo Martinelli bado dogo kabisa.Ndio uhalisia ,jamaa ameongeza sana kitu kwenye defence
Kai sio abiria uwanjani
Arsenal mule kukiwa na mchezaji abiria tu hata mmoja Kuna kitu utaona hakipo sawa
Kuna clip kama mbili ivi kwenye game tofauti aisee yule Rashford hapana aisee yan ni abiria kabisa yan hata kuweka presha kwa mchezaji hawez ana jogging tuIli Man U Leo ashinde inabidi apunguze abiria uwanjani , ila Ushindi Wa Man U Ni Sare
Based on stats and form wa kwanza favorite kuchukua CL ni City anakuja Madrid kisha Arsenal.umeongea kikubwa sana umefungua portal mature brain yakuona uhalisia
japo kwa upande mwengine hao uliowataja PSG na Barca wanaweza wasiongelewe sana ila msimu huu wapo upande wa DARK HORSE...
DARK HORSE ni nn hao ni wale tunaoawaitaga underdog kwenye michuano flani unaweza mu underestimate na ukamkuta yupo final na ukicheki kwa upande Wa UEfA phase watakayo pita PSG/BARCA ndio watakao pambana na ATLETICO/DORTMUND nakuwa kuwakuta wapo final na FINAL hainaga mwenyewe
i like people who do football analysis without being bias and i respect your opinion sir
Kabisa hapa jamaa walifurahia sana ile block. Inaonesha ni jinsi gani hii timu imeapa kutokuruhusu goli kirahisi.
Nilifurahi sana kuona walivyoshangilia ile block. Mashabiki tunakuwa na amani kwamba defense inataka isifungwe hata kama tunaongoza kwa mengi.Kabisa hapa jamaa walifurahia sana ile block. Inaonesha ni jinsi gani hii timu imeapa kutokuruhusu goli kirahisi.
Yaani yule kai angekuwa na miguu ya trossard tu, angekuwa hatari mnoo, kai kapoa saana, kai akiwa na mpira hayupo direct sana kwenye goli, mali ndain ya box ana turn analipa goli mgongo.Nadhani uko sahihi pia. Tunabebana. Nataka mengi zaidi kutoka kwa Kai. Na siku hizi nawadai zaidi Martinelli, Saka, Trossard, Jesus na Odegaard. Naamini wako gia #3 na wanaweza kwenda #4 na #5.
Miguu ya Jesus tu.Yaa
Yaani yule kai angekuwa na miguu ya trossard tu, angekuwa hatari mnoo, kai kapoa saana, kai akiwa na mpira hayupo direct sana kwenye goli, mali ndain ya box ana turn analipa goli mgongo.
Kama kai ana 6.4 maana yake katifautiana na thierry henry kwa 0.2 maana henry ni 6.2 nafikiri, lakini ilikuwa tofauti unyumbulikaji mpaka mwendo.Miguu ya Jesus tu.
Kuna kitu kimoja, inatarajiwa mtu mfupi mikimbio yake inakua ya mkupuo kuliko mrefu. Mfano waliwahi tabiri mikimbio ya Martinelli itaathirika baada ya kuongezeka urefu ila imekua tofauti.
Tuje kwa Kai.
Wakati yupo Ujerumani hakua mrefu sana, ilimwezesha kunyumbulika kwa urahisi na kufanya runs za msingi zilizofanya awe hatari mpaka kenge wakamtamani wakampeleka darajani. Urefu kaanza kuupatia pale hivyo runs na unyumbulikaji ukapungua, plus uchezaji wa Kenge ukazidi kumfanya awe isolated.
Arsenal tumemchukua Kai, ana miaka 24, ana chansi ya kurefuka zaidi. Kuna picha moja yupo na Mertesacker gunners wa Reddit akasema sasa hapa ndiyo naelewa Kai ni mrefu kiasi gani. Per ni giant ana 6'6 lakini kamuacha Kai points 2 tu.
This means urefu wa Kai ni ishu kwenye acceleration na ishu kwenye unyumbulikaji, nafikiri ndiyo maana hata headers siyo mzuri ingawa ni mrefu.
Jana baada ya kutoa pasi kwa Trossard aliyekua anakimbia kumpa msaada Trossard nadhani ni Martin. Urefu wake unamzuia kuaccelerate fasta na kunyumbulika bila kumshtukia tofauti na Leandro, Martin, Partey, Jesus, Saka na wengine.
Haya ni maoni yangu
Point of correction.. hapo kwenye kurefuka, mtu anamaliza kurefuka anapofikia umri wa miaka 18 kwa mwanaume, kwa mwanamke may be earlier than thatArsenal tumemchukua Kai, ana miaka 24, ana chansi ya kurefuka zaidi. Kuna picha moja yupo na Mertesacker gunners wa Reddit akasema sasa hapa ndiyo naelewa Kai ni mrefu kiasi gani. Per ni giant ana 6'6 lakini kamuacha Kai points 2 tu.
OkPoint of correction.. hapo kwenye kurefuka, mtu anamaliza kurefuka anapofikia umri wa miaka 18 kwa mwanaume, kwa mwanamke may be earlier than that
sidhani kama urefu ni ishu sana kwenye suala la acceleration.. usain bolt kamzidi kai urefu ila ni fastest athlete.Miguu ya Jesus tu.
Kuna kitu kimoja, inatarajiwa mtu mfupi mikimbio yake inakua ya mkupuo kuliko mrefu. Mfano waliwahi tabiri mikimbio ya Martinelli itaathirika baada ya kuongezeka urefu ila imekua tofauti.
Tuje kwa Kai.
Wakati yupo Ujerumani hakua mrefu sana, ilimwezesha kunyumbulika kwa urahisi na kufanya runs za msingi zilizofanya awe hatari mpaka kenge wakamtamani wakampeleka darajani. Urefu kaanza kuupatia pale hivyo runs na unyumbulikaji ukapungua, plus uchezaji wa Kenge ukazidi kumfanya awe isolated.
Arsenal tumemchukua Kai, ana miaka 24, ana chansi ya kurefuka zaidi. Kuna picha moja yupo na Mertesacker gunners wa Reddit akasema sasa hapa ndiyo naelewa Kai ni mrefu kiasi gani. Per ni giant ana 6'6 lakini kamuacha Kai points 2 tu.
This means urefu wa Kai ni ishu kwenye acceleration na ishu kwenye unyumbulikaji, nafikiri ndiyo maana hata headers siyo mzuri ingawa ni mrefu.
Jana baada ya kutoa pasi kwa Trossard aliyekua anakimbia kumpa msaada Trossard nadhani ni Martin. Urefu wake unamzuia kuaccelerate fasta na kunyumbulika bila kumshtukia tofauti na Leandro, Martin, Partey, Jesus, Saka na wengine.
Haya ni maoni yangu
Kila general rule ina exception.sidhani kama urefu ni ishu sana kwenye suala la acceleration.. usain bolt kamzidi kai urefu ila ni fastest athlete.
mchezaji kunyumbulika mara nyingi inakuja na kipaji.. kanu alikuwa mrefu ila wote tuliona uwezo wake.