ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,601
- 2,263
Nani wa kutuzia Arsenal kuchukua ubingwa 2024/2025...
Haahahaha we jamaa banaMechi ya kesho
Bayern Wana uoga sana , nilikuwa nafanya debate na wajerumani Jana
Wamekata tamaa sana
Game yetu yakufa na kupona ni vs Spurs ,tuna uwezo kabisa kuwapiga ,but watakaza sana , binafsi naomba city na Liverpool wasare mechi moja tu,View attachment 2957810
Siku zote fixture difficulty inategemea timu unayocheza nayo iko home/away, kwa maana home advantage inachukua sehemu kubwa kwenye kusort fixture difficulty regardless na uwezo wa timu pinzani. Nikisema hivyo namaanisha kwa mfano tulipokutana na Liverpool home na tulipoenda ugenini kwa Liverpool, ugumu ulikuwa tofauti coz mwanzo Arsenal v Liverpool ilikua mechi ngumu kwa Liverpool ila mechi ya pili Liverpool v Arsenal mechi ilikua ngumu kwa Arsenal. Same applies kwa games mfano Arsenal v City/City v Arsenal.
Sasa ukiangalia hapo juu, kati ya mechi zilizobaki Liverpool ana mechi 4 away na 3 home na hizo mechi anazocheza home sio nyepesi (Spurs, Wolves), same kwa Arsenal mechi za home pia sio nyepesi (Chelsea) japo tumebaki na mechi 4 home na 3 away tofauti na Liverpool. Hivyo home advantage itatufavor (Liverpool & Arsenal) kwa kiasi tuchezapo nyumbani.
Tukumbuke mechi zetu za ugenini pia zimeshiba!
City amebakiwa na mechi 4 home na 3 away, home opponents wake sio wazuri sana so mategemeo labda adondoshe points akiwa away (vs Spurs, vs Brighton).
Then kuna huyu decisive opponent ambae tutacheza nae wote, Spurs. Hii game ndio ngumu kuliko zote coz ni wapo tayari kupoteza points kwa City na Liverpool lakini sio kwa rival wao Arsenal. Hivyo hii ndio vita yetu kubwa.
Finally niseme tu, sihofii uwepo wa Liverpool pale juu ila atakapokaa City juu kwa tofauti ya point 1 tu basi ndio bye bye hatumpati tena, na hiyo ni kulingana na fixtures zake zilizobaki maana hata tofauti ya magoli haitatusaidia.
Ugumu wa game ni either buyern wawe wazuri kama Man city kwenye kumiliki mpira au wawe na ukuta kuanzia mbele katikati hadi nyuma kama Porto kinyume na hapo ni mafurikoGame itakuwa ngumu.
Bayern have crumpled this season don't be scaredUgumu wa game ni either buyern wawe wazuri kama Man city kwenye kumiliki mpira au wawe na ukuta kuanzia mbele katikati hadi nyuma kama Porto kinyume na hapo ni mafuriko
Kama masihara vile, toka CB mpaka RB namkumbuka ramos kutoka RB kuwa CB wa uhakika.
Huyu bila majeruhi huenda angekuwa moja ya washambuliaji bora kwa kizazi hiki, ika ndio hivyo tena, gari trip shamba, trip gereji.️
Gabriel Jesus on his form: “I don’t remember the last day I played football without pain”.View attachment 2958130
tunapenda kuona wanga wanafanya yao dailyArsenal mkitoka na point 9 Kwa hizi game + game za UEFA basi PL Ni yenu...
Against spurs
Against Chelsea
Against man utd ..
Kudadeki hapa lazima point zidondoke ,kwa kupenda au kutokupenda ....Ni swala la muda tu![]()
Hapo sasa likiwa linabwa hili goma yan hadi mimi uku mwanza hua najihis nawehuka kabisa,sijui tu kwa wachezaji hua inakuaje.Atmosphere ya kesho ni hatari sanaView attachment 2958250