unagongwa na wachawi weweView attachment 2934296
mwisho wenu umefika. Nawakumbusha tu si kwa ubaya.
ABorussia, Barca na PSG ni nafuu kwa hapaView attachment 2934363
Why people want to kill joy?.... football was meant to enjoyed...........this why we build stadium like Emirates....let our lads enjoy every moment.......kama wanakukera achana na football.......
Mmhhh tembo ni tembo hata akikonda hawi sisimiziWanapanga lini ratiba...naiona kabisa Bayern hii hapa🤠🤠🤠...tukawapime pumzi kina Muller
A
Ukitaka kuitwa one of the best lazima upambane na hao the best🤠🤠..mm binafsi nataka tukutane na Bayern...kile kitakuwa kipimo sahihi sana...Hawa kina Atletico sijui Dortmund tutawaonea kwakwliMmhhh tembo ni tembo hata akikonda hawi sisimizi
Ni fahari kuona mkipigana vikumbo na kina Nottingham Forest kule chini...kule Sasa ndo maeneo yenu ya kujidai🤠🤠...timu ya mpira inacheza vurugu na mashabiki nao ni watu wa vurugu...yaani mnaendanaUEFA ni kombe takatifu , haliguswi na vikaragosi kama Arsenyetoz
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
Kharamu football ile ya Porto ndo kama ilivyokua na Game na Newcastle ile waliopewa goli , ndo game zinawafanya kina Ben White, Saliba, GM6 na King Kai kua Wanyama na wakatili kabisa uwanjaniArsenal fainal tunacheza
Porto wamejaa Latin America wengi sana ,wanacheza uhuni mwingi, undava undava halafu ni vijana
Jana zimechezwa faulo karibu 20 , ikabidi Arsenal twende nao hivo hivo ,
Tofauti Yao na inter Milan wanacheza low block lakin wazee ni wengi ,
For me tupewe Barca, BVB ,Psg au Madrid

Ratiba inapangwa keshoWanapanga lini ratiba...naiona kabisa Bayern hii hapa🤠🤠🤠...tukawapime pumzi kina Muller
A
Mtabeba vibuyu Tu , Arsenyetoz ni mwiko kugusa kombe takatifu kama la UEFANi fahari kuona mkipigana vikumbo na kina Nottingham Forest kule chini...kule Sasa ndo maeneo yenu ya kujidai...timu ya mpira inacheza vurugu na mashabiki nao ni watu wa vurugu...yaani mnaendana
Arsenyetoz ni sawa na nuksi ,Ni fahari kuona mkipigana vikumbo na kina Nottingham Forest kule chini...kule Sasa ndo maeneo yenu ya kujidai...timu ya mpira inacheza vurugu na mashabiki nao ni watu wa vurugu...yaani mnaendana
Punguza hasira🤠🤠...sogeeni walau mje nafasi ya Tano ndo tuanze kuongea mkuu...kule chini ni fedhehaMtabeba vibuyu Tu , Arsenyetoz ni mwiko kugusa kombe takatifu kama la UEFA
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app