Kakumamoto
JF-Expert Member
- May 6, 2015
- 1,605
- 2,438
Sikumbuki mkuuMara ngapi umeona mchezaji anatia saini mkataba wake halafu wote waliopo wanacheka?
Sikumbuki mkuuMara ngapi umeona mchezaji anatia saini mkataba wake halafu wote waliopo wanacheka?
Binafsi namtaka MadridKusema kweli mie nawatakia mema kwenye fainali za uefa ndio maana nawaombea mpangwe na vibonde atletico hiyo kesho.
View attachment 2934296
mwisho wenu umefika. Nawakumbusha tu si kwa ubaya.
Nafurahi sana kuona haters wa arsenal wanateseka .. yaan mkiwa mnatuwaza hz inaonyesha jins gan tunavyo watesa.Mtabeba vibuyu Tu , Arsenyetoz ni mwiko kugusa kombe takatifu kama la UEFA
Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
USARA ZA GWIJI WA HIGHBURY
Ukiangalia Namna Arsenal wanacheza mpira unaweza kusema Mpira ni jambo rahisi sana hapana ndugu yangu bali ni jambo Linalo hitaji utimamu kimbinu na Kiufundi bila kusahau uwezo mchezaji mmoja mmoja
Modern football Roles ( Majukumu ) yanachukua nafasi kubwa kuamua nani acheze nani atokee bench hivyo basi Sifa za mchezaji kiuchezaji ndio zinampa nafasi kucheza Mara kwa mara
Niingie Hoja Arsenal kwa sasa Ukizungumza moja kati team ambazo ni nzuri kimbinu uwezi kuacha kuwataja
Tactical Revolution Arsenal imeletwa na Vitu kadhaa Ambavyo kocha aliweza kuviweka kikosi chake
Playing ID ( Identity ) hapa kocha akihakikisha kwanza kuna utambulisho anacheza mpira wa aina gani, Kwa Arsenal tunajua ni posession based football
Baada kujua ID sasa kocha akaanza kusajili profile wachezaji inayoendana na Aina yake uchezaji yani wachezaji watakao Raise Level pia tactical and technical tweak
Alafu Mwisho aka apply sasa Tactical and technical terms mfano wa hivi vitu Arsenal jinsi ana fanya build up, Jinsi ana Fanya Overload, Jinsi anafanya Pressing , Kwa jinsi anafanya positional interchange Nk ni kwenye level kubwa kitu kimefanya team sasa kuweza kucompete na yeyote tactically
Leo tunazungumza Arsenal inayoweza kwenda Anfield na ikacheza mpira,Leo tunazungumza Arsenal inayoweza Kudominate game mbele elite club kama Man city Kitendo City kupiga on target 2 tu Match 2 za mwisho kacheza Arsenal nazani unanielewa
Ifike hatua hapa tulipo tuwape Maua yao bench la Ufundi 
Yan chakushangaza hata zikifika timu 8 kuna timu bado haitashirikiBinafsi namtaka Madrid
Halafu tukizidi kwenda mbele tunaongeza point ambazo zitafanya EPL ipeleke timu 5



Anaitwa ImMrLiverpool🤠🤠🤠Kuna yule mwamba yeye kila Arsenal ikikaribia kucheza, hua anakuja na taarifa za kutoka kuangalia mazoezi ya mpinzani wetu alafu anakuja na taarifa ila baada ya game sikuoni tena..
Oya nakusalimu![]()
Draw ni saa ngapi tucheki LiveBinafsi namtaka Madrid
Halafu tukizidi kwenda mbele tunaongeza point ambazo zitafanya EPL ipeleke timu 5
hi safiiiArsenal vs Bayern Munich
Nilisema jana hapa🤠🤠....huu ni mlima mkubwa sana ila tutacheza nao BoluArsenal vs Bayern Munich
Arsenal vs Bayern Munich
If we beat Bayern, we shall face a winner between Real Madrid vs City. Automatically Arsenal vs City cannot meet in the finalArsenal will start at home
Endeleeni kuota ,kama mnadhani uefa ni kombe la mbuzi kama makombe ya mbuzi ambayo mnabeba ,Nimeipenda hii, finally we get our revenge.