Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Mkuu nimefuruahi sana kuona post yako humu. Nilianza kupata wasiwasi juu ya hali yako.

Pia nafurahi jinsi nyie mijusi milia mlivyokuja kuwa ngoma ya kijiji. Kila mtu anajipigia tu.
Nipo mkuu ni mambo tu yalikua mengi hapa kati , tunashukuru mungu kwa uzima na afya.

Nimerudi mkuu nilimiss sana hopes za humu pamoja na kuwatazama false hopers , nimerudi tumalize hii last chapter ya kitabu hiki cha ma false hopers kama mnavyojua wenyewe " ALL or NOTHING" nadhani unajua mwenywe huwa mnatoka na kipi kati ya hayo mawili .
Kuhusu sisi kupigwa nadhani ni ndani ya process ya mabadiliko na nyingine ni majeruhi ila bado Geordies tunasonga hatuna wasiwasi.
 
Inaonekana una mapenzi na Arsenal zaidi kuliko Liverpool

Karibu chamani 🤗
Kumbe hata wewe umemshtukia huyu ni gunner mwenzetu. 😀

Shida kwake ni kwamba kule jukwaani kwao wanamuita 'miss liverpool', ndiye mwanamke pekee shabiki wa liverpool (sisi huku hatuna wanawake kabisa, bora kwao) so kwa cheo hicho anaona noma kusema yeye ni Gooner.😄😄
 
Kumbe hata wewe umemshtukia huyu ni gunner mwenzetu.

Shida kwake ni kwamba kule jukwaani kwao wanamuita 'miss liverpool', ndiye mwanamke pekee shabiki wa liverpool (sisi huku hatuna wanawake kabisa, bora kwao) so kwa cheo hicho anaona noma kusema yeye ni Gooner.
Cc nifah
 
Kumbe hata wewe umemshtukia huyu ni gunner mwenzetu. 😀

Shida kwake ni kwamba kule jukwaani kwao wanamuita 'miss liverpool', ndiye mwanamke pekee shabiki wa liverpool (sisi huku hatuna wanawake kabisa, bora kwao) so kwa cheo hicho anaona noma kusema yeye ni Gooner.😄😄
Kama shida ni hicho cheo alichopewa kule Jukwaa la Liverpool, ningeshauri ahamie rasmi kwetu tutampa cheo hicho hicho cha "Miss Arsenal " ila sisi tungemwongezea na Ofisi yenye furniture kabisa awe kama event coordinator wa Arsenal hapa Bongo.

Kule Liverpool watamshindisha njaa bure, bora aje kwetu tu 😜
Saint Anne
 
Hii timu itatoka mikono mitupu kama kawaida yenu
Ile party ya kushangilia Ubingwa ipo pale pale, na kama tulivyokubaliana humu wewe ndiyo utakuwa mgeni wetu wa heshima kutuhudumia Mabingwa wapya kwenye Ukumbi tutakaokubaliana.

Najua Cake utatutengenezea wewe ikiwa na ile nembo yetu maarufu ya Washika Bunduki 😜
 
This is what we want to see leo Arsenal ipo quarter finals champions league team kubwa inatakiwa ionyeshe vitendo sio maneno BIG UP tutapewa mkubwa mwenzetu tutafight nae kuona nani ni nani
Vizuri kuona umeweza kutuliza moyo na akili na sasa una amani 😃😃

Maana ulishaanza kuandika zile essays zako na kumtag Hamisi tangu dk ya 75 😀😀

Uhakika wa kuifunga Porto ulikwepo. Ndiyo ni wagumu wale jamaa, takwimu zinaonyesha wao ndiyo timu inayoruhusu nafasi chache kwa timu pinzani kwa Ulaya. Ni wataalam wa mid na low blocks. Baada ya Porto kwa kunyima nafasi timu pinzani ulaya, wa pili ni sisi, watatu Bayern Munich kama sijakosea. Hivyo pambano lingekuwa kali kwa kuwa hata wao wasingepata urahisi wa kutufunga na wangetegemea kupata chance moja au mbili wazitumie vizuri kama mechi ya kwanza.

Pia tulikuwa tumejiandaa vizuri tu kwa penalties, na wachezaji wetu walisema kwamba penalties ni kitu ambacho wanafanyia kazi sana tu mazoezini (si unajua jinsi tunahujumiwa na kila mtu? 😀😀 basi tukasema "isiwe taabu, Raya awe masta wa kuchomoa penalties ili refa akiwapa timu penalty ya mchongo basi aipangue") hivyo tukawa poa kila idara.

Ni kweli tulifurahi kukutana na Porto kwa sababu tulimuona yeye ndiye mnyonge kwetu kihistoria. Ila amekuja kuonekana yeye ndo mtihani mgumu, huenda kuliko hata hawa wengine waliopita kuingia robo fainali.
.
 
Jana nilikuwa naangalia gemu ya Atletico na Inter....nilichokuja kugundua hii michuano mtu akikupiga goli kurudisha ni hekaheka aisee🤠🤠
Vizuri kuona umeweza kutuliza moyo na akili na sasa una amani 😃😃

Maana ulishaanza kuandika zile essays zako na kumtag Hamisi tangu dk ya 75 😀😀

Uhakika wa kuifunga Porto ulikwepo. Ndiyo ni wagumu wale jamaa, takwimu zinaonyesha wao ndiyo timu inayoruhusu nafasi chache kwa timu pinzani kwa Ulaya. Ni wataalam wa mid na low blocks. Baada ya Porto kwa kunyima nafasi timu pinzani ulaya, wa pili ni sisi, watatu Bayern Munich kama sijakosea. Hivyo pambano lingekuwa kali kwa kuwa hata wao wasingepata urahisi wa kutufunga na wangetegemea kupata chance moja au mbili wazitumie vizuri kama mechi ya kwanza.

Pia tulikuwa tumejiandaa vizuri tu kwa penalties, na wachezaji wetu walisema kwamba penalties ni kitu ambacho wanafanyia kazi sana tu mazoezini (si unajua jinsi tunahujumiwa na kila mtu? 😀😀 basi tukasema "isiwe taabu, Raya awe masta wa kuchomoa penalties ili refa akiwapa timu penalty ya mchongo basi aipangue") hivyo tukawa poa kila idara.

Ni kweli tulifurahi kukutana na Porto kwa sababu tulimuona yeye ndiye mnyonge kwetu kihistoria. Ila amekuja kuonekana yeye ndo mtihani mgumu, huenda kuliko hata hawa wengine waliopita kuingia robo fainali.
.
 
Raya Raya Raya

Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371

Kuna hii challenge niliikuta youtube, Raya anatumia mpira kama nyundo kugongelea msumari kwenye frame ya picha.

This tells a lot about his ball distribution ability, let alone his footwork and shot stopping master class.

Ndio maana huwa nasisitiza humu tuwe wavumilivu kuhusu professionals wanapofanya maamuzi, wanakuwa na total and sometimes untold details ambazo fan wa kawaida anayeangalia makombe tu ama ushindi hawezi kuelewa.


View: https://youtu.be/xUU5tI34W-Y?si=wpJ1qDHRqOBAgYUG
 
Raya Raya Raya

Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371

Kuna hii challenge niliikuta youtube, Raya anatumia mpira kama nyundo kugongelea msumari kwenye frame ya picha.

This tells a lot about his ball distribution ability, let alone his footwork and shot stopping master class.

Ndio maana huwa nasisitiza humu tuwe wavumilivu kuhusu professionals wanapofanya maamuzi, wanakuwa na total and sometimes untold details ambazo fan wa kawaida anayeangalia makombe tu ama ushindi hawezi kuelewa.


View: https://youtu.be/xUU5tI34W-Y?si=wpJ1qDHRqOBAgYUG
 
Raya Raya Raya

Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371

Kuna hii challenge niliikuta youtube, Raya anatumia mpira kama nyundo kugongelea msumari kwenye frame ya picha.

This tells a lot about his ball distribution ability, let alone his footwork and shot stopping master class.

Ndio maana huwa nasisitiza humu tuwe wavumilivu kuhusu professionals wanapofanya maamuzi, wanakuwa na total and sometimes untold details ambazo fan wa kawaida anayeangalia makombe tu ama ushindi hawezi kuelewa.


View: https://youtu.be/xUU5tI34W-Y?si=wpJ1qDHRqOBAgYUG
 
Raya Raya Raya

Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371

Kuna hii challenge niliikuta youtube, Raya anatumia mpira kama nyundo kugongelea msumari kwenye frame ya picha.

This tells a lot about his ball distribution ability, let alone his footwork and shot stopping master class.

Ndio maana huwa nasisitiza humu tuwe wavumilivu kuhusu professionals wanapofanya maamuzi, wanakuwa na total and sometimes untold details ambazo fan wa kawaida anayeangalia makombe tu ama ushindi hawezi kuelewa.

 
F51YGCDakAAAiwY.jpeg

mwisho wenu umefika. Nawakumbusha tu si kwa ubaya.
 
Back
Top Bottom