whitemoney
JF-Expert Member
- Nov 9, 2023
- 1,190
- 2,541
sasa mbona inter wenyewe ni wachumba namna hiyo
wanapigwa msako hadi wananikera
wanapigwa msako hadi wananikera
Shangazi yupo busy sana na hii arsenal NDOO kuliko mume wake.![]()
FA hatuhesabii kama kombe, sie sio kama nyie mpk Community Shield mnahesabia ni kombe.Patupu sio🤠🤠...si mpo FA cup ndugu zetu...au mshajukatia tamaa mnaona mnapoteza mda kule
Nipo mkuu ni mambo tu yalikua mengi hapa kati , tunashukuru mungu kwa uzima na afya.Mkuu nimefuruahi sana kuona post yako humu. Nilianza kupata wasiwasi juu ya hali yako.
Pia nafurahi jinsi nyie mijusi milia mlivyokuja kuwa ngoma ya kijiji. Kila mtu anajipigia tu.
Kumbe hata wewe umemshtukia huyu ni gunner mwenzetu. 😀Inaonekana una mapenzi na Arsenal zaidi kuliko Liverpool
Karibu chamani 🤗
Cc nifahKumbe hata wewe umemshtukia huyu ni gunner mwenzetu.
Shida kwake ni kwamba kule jukwaani kwao wanamuita 'miss liverpool', ndiye mwanamke pekee shabiki wa liverpool (sisi huku hatuna wanawake kabisa, bora kwao) so kwa cheo hicho anaona noma kusema yeye ni Gooner.![]()
champions league team kubwa inatakiwa ionyeshe vitendo sio maneno BIG UP tutapewa mkubwa mwenzetu tutafight nae kuona nani ni naniKama shida ni hicho cheo alichopewa kule Jukwaa la Liverpool, ningeshauri ahamie rasmi kwetu tutampa cheo hicho hicho cha "Miss Arsenal " ila sisi tungemwongezea na Ofisi yenye furniture kabisa awe kama event coordinator wa Arsenal hapa Bongo.Kumbe hata wewe umemshtukia huyu ni gunner mwenzetu. 😀
Shida kwake ni kwamba kule jukwaani kwao wanamuita 'miss liverpool', ndiye mwanamke pekee shabiki wa liverpool (sisi huku hatuna wanawake kabisa, bora kwao) so kwa cheo hicho anaona noma kusema yeye ni Gooner.😄😄
Ile party ya kushangilia Ubingwa ipo pale pale, na kama tulivyokubaliana humu wewe ndiyo utakuwa mgeni wetu wa heshima kutuhudumia Mabingwa wapya kwenye Ukumbi tutakaokubaliana.Hii timu itatoka mikono mitupu kama kawaida yenu
Ww timu yako kubwa iko wapUefa siyo ya timu ndogo kama Arse8
Kama huamini subiri utaona mnavyoumaliza mwendo😂
Vizuri kuona umeweza kutuliza moyo na akili na sasa una amani 😃😃This is what we want to see leo Arsenal ipo quarter finals![]()
champions league team kubwa inatakiwa ionyeshe vitendo sio maneno BIG UP tutapewa mkubwa mwenzetu tutafight nae kuona nani ni nani
Vizuri kuona umeweza kutuliza moyo na akili na sasa una amani 😃😃
Maana ulishaanza kuandika zile essays zako na kumtag Hamisi tangu dk ya 75 😀😀
Uhakika wa kuifunga Porto ulikwepo. Ndiyo ni wagumu wale jamaa, takwimu zinaonyesha wao ndiyo timu inayoruhusu nafasi chache kwa timu pinzani kwa Ulaya. Ni wataalam wa mid na low blocks. Baada ya Porto kwa kunyima nafasi timu pinzani ulaya, wa pili ni sisi, watatu Bayern Munich kama sijakosea. Hivyo pambano lingekuwa kali kwa kuwa hata wao wasingepata urahisi wa kutufunga na wangetegemea kupata chance moja au mbili wazitumie vizuri kama mechi ya kwanza.
Pia tulikuwa tumejiandaa vizuri tu kwa penalties, na wachezaji wetu walisema kwamba penalties ni kitu ambacho wanafanyia kazi sana tu mazoezini (si unajua jinsi tunahujumiwa na kila mtu? 😀😀 basi tukasema "isiwe taabu, Raya awe masta wa kuchomoa penalties ili refa akiwapa timu penalty ya mchongo basi aipangue") hivyo tukawa poa kila idara.
Ni kweli tulifurahi kukutana na Porto kwa sababu tulimuona yeye ndiye mnyonge kwetu kihistoria. Ila amekuja kuonekana yeye ndo mtihani mgumu, huenda kuliko hata hawa wengine waliopita kuingia robo fainali.
.
Raya Raya Raya
Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371
Raya Raya Raya
Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371
Raya Raya Raya
Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371
Raya Raya Raya
Nimemuita Mara tatu, huyu mtu akili yake ipo active Sana Sana View attachment 2933371
UEFA Arsenal haiwezi!? Kwani kaingia robo fainiali kwenye mashindano gani?! Una type bila kushirikisha ubongo.Siangalii zote ila ninachojua UEFA hamuiwezi
Na bado...mta type sana hizi...nyny mmeshakuwa Namungo ya Uingereza...hamna namna zaidi ya kutuombea mabaya ila ndo hivyo tena tunqzidi kusonga mbeleView attachment 2934296
mwisho wenu umefika. Nawakumbusha tu si kwa ubaya.